2 of Amerikaz most wanted
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 1,328
- 3,725
goli 30 za ligi ni goli 16 hizo nyengine zote za carabao na europa timu zenyewe omonia na sheriff hujui wafungaji wewe kutoka kwa rud van sahivi useme rashford clinical finisher ! sahivi ana goli ngapi ? mfungaji anakuwa kama huyu hojlund timu imepoteana nafasi hakuna ila akikutana nayo anatupiamchezaji mbaya mwenye 30+goals kwa mwaka jana kwa team ambayo inazidiwa possession na Burnley, huyu rashford angekuwa Chelsea kuna matokeo yasingeisha yalivyo , Chelsea kafungwa Moja Bila na Astonvill na Nottingham, Chelsea kaenda 0-0 na Everton , Chelsea kafungwa 3-1 na kakosa penalt dhidi ya westham , 1-1 na Liverpool, muweke rashford kwa nafasi Chelsea anatengeneza matokeo yasingekuwa hivyo Jackson anakosa goli mpira wa kusuma hata na tumbo . Rashford ni Moja ya clinical finisher yupo team mbovu.
Bado una sononaHiyo namba 4 pekee imeonesha ujinga wako ni wa kiwango gani. Kushinda mechi ya kuondolewa kabisa kwenye mashindano ni bora kuliko kushinda mechi moja ya ligi. Palace hayupo tena Carabao. Bora angeshinda ile akashindwa hii ya ligi. Pima ujinga wako kabla ya kuongea pumba. Charlz ze son conscious
huna akili kama yeyegoli 30 za ligi ni goli 16 hizo nyengine zote za carabao na europa timu zenyewe omonia na sheriff hujui wafungaji wewe kutoka kwa rud van sahivi useme rashford clinical finisher ! sahivi ana goli ngapi ? mfungaji anakuwa kama huyu hojlund timu imepoteana nafasi hakuna ila akikutana nayo anatupia

hata zidane anaweza kuongea nao akishindwa mwingine baasi arudi ole guna.Clinical finisher wa mchongo sijui mapenzi na rashford au ndo huwajui clinical finishersmchezaji mbaya mwenye 30+goals kwa mwaka jana kwa team ambayo inazidiwa possession na Burnley, huyu rashford angekuwa Chelsea kuna matokeo yasingeisha yalivyo , Chelsea kafungwa Moja Bila na Astonvill na Nottingham, Chelsea kaenda 0-0 na Everton , Chelsea kafungwa 3-1 na kakosa penalt dhidi ya westham , 1-1 na Liverpool, muweke rashford kwa nafasi Chelsea anatengeneza matokeo yasingekuwa hivyo Jackson anakosa goli mpira wa kusuma hata na tumbo . Rashford ni Moja ya clinical finisher yupo team mbovu.
David Gea hapa ni kama anasema come down mutherFckrr!! si mlinicheka bana? Tulieni dawa iwaingie.Siku Onana akikutana na Salah Anfield au Haaland Ettihad.. 😂😂
Ngoja niache kuwaza ujinga!
Man United na Chelsea wana point sawa kwenye Champions League msimu huu![]()




Manjesta ana point 0 sawa na kenge fc ambao hawashirikiChelsea ipi inacheza Champion au vipigo vimewachanganya mpaka mnaanza kujifariji kupitia chelsea![]()