Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nimeona watu humu wakimshukia Onana kama mwewe. Niseme tu timu yetu ina matatizo mengi sana ukimaliza kusolve tatizo hili linaibuka hili. Tulianza na beki tukaja kiungo, tumekuja staiker leo tumepata kiungo na straiker beki zimekuwa mbovu.

Kwa uwezo wa shoot stopping naweza sema De gea hakuna kipa anamfikia Duniani. Ila kuna aina ya mchezo De gea hawezi na ndio maana De gea wa utd na De gea wa timu ya taifa ya Espain ni watu wawili tofauti. Hicho ndio kilichomfanya apoteze number timu ya taifa rejea fainal za kombe la dunia kule kwa Putin.

Kuhusu Onana ni mtu asiyejua mpira pekee ndiye anamuona kipa mbaya. Onana kacheza na ajax yenye mafanikio, amecheza fainal ya europe legue 2017 dhidi ya utd, amecheza intermilan tumeona kiwango chake hadi fainal ya UEFA na tuliona jinsi city walivyoteseka siku ile. Onana anabahati mbaya ya kucheza na beki mbovu ya utd bahati mbaya zaidi wale beki wenye nafuu wanaandamwa na majeruhi.
 
Niliwaambia tokea day one kuwa ten hag hawezi kitu sasa ndio mnaelewa.

Msi blame injuries au glazers

Team tuliokuwa nayo ni the best among men.

#TenHagOut
 
Kama makocha tumebadili sana, wachezaji tumesajili sana tena wazuri.
Labda uongozi ndio tatizo???? Sijui
 
Kama kocha ameamua kurudia mfumo ule ule wa mipira mirefu kwa kukwepa buildup kuanzia eneo la ulinzi, kwa nini tumemsajili Onana.

Si tungelibaki na de gea then hela ya usajili wa kipa ikatumika kwengine?

Nimeangalia highlights za Onana kwa mechi ya jana kupitia video hii, amepiga goal kick nyingi sana zisizo na ulazima ambazo hazikufikia target lengwa.

Bila ya shaka ni amri kutoka kwa mwalimu.

Huyu si onana tuliyemuona fainali, inaonekana mwalimu anategemea individual brilliance ya wachezaji ili baadhi ya mambo yake yafanikiwe.

Mpira wa leo ni family, asipokuwepo juma basi bakari acheze kama juma.

Structure, identity, pattern of playing ya timu haipaswi kubadilika kama muandamo wa mwezi wa Tanzania


View: https://x.com/MadnessFc4/status/1709322419247440101?s=20
 
_20231004_071634.JPG
 
Mtakapokiri 7hag Ni kocha wa level ndogo ,ndio mtaanza kupata matokeo
 
Kama kocha ameamua kurudia mfumo ule ule wa mipira mirefu kwa kukwepa buildup kuanzia eneo la ulinzi, kwa nini tumemsajili Onana.

Si tungelibaki na de gea then hela ya usajili wa kipa ikatumika kwengine?

Nimeangalia highlights za Onana kwa mechi ya jana kupitia video hii, amepiga goal kick nyingi sana zisizo na ulazima ambazo hazikufikia target lengwa.

Bila ya shaka ni amri kutoka kwa mwalimu.

Huyu si onana tuliyemuona fainali, inaonekana mwalimu anategemea individual brilliance ya wachezaji ili baadhi ya mambo yake yafanikiwe.

Mpira wa leo ni family, asipokuwepo juma basi bakari acheze kama juma.

Structure, identity, pattern of playing ya timu haipaswi kubadilika kama muandamo wa mwezi wa Tanzania


View: https://x.com/MadnessFc4/status/1709322419247440101?s=20

Ukiondoa pasi mbovu ya Onana iliyopelekea penalty sijaona ni kwa namna gani goalkeeper mwingine angeweza kuokoa hayo magoli waliyofungwa.



Kifupi united hakuna mabeki na kocha pia haeleweki anacheza mfumo gani.
 
Huyu kocha anajiona anajua sana but he won’t survive long enough,kwann hapandishi madogo toka u23?,beki ni mbovu mno lkn anaona sawa Kwa style anayocheza you need runners ambayo hakuna kabisa,wale madogo wangemsaidia sn kuliko hawa mafadha wasiojali chochote
 
Back
Top Bottom