Carlos Tevez
JF-Expert Member
- Jun 8, 2022
- 383
- 1,021
Msaada kwa mwenye link ya gemu
Leo tupo kama prime BarcaLeo twacheza vizuri.
Mambo wasiyo yapenda kusikia humu wakina mc hamissLeo tumepiga pira la kidachi "total football" huwezi kuelewa striker wala beki ni naniwatu wanatembea uwanja mzima.
Amrabat ana-bully tu kale katoto. Dalot na Pellistri wanatembeza visambusa tu.
Hii ndiyo maana ya team-play sasa wakiingia wale walevi wakina Rashford matusi yataanza.
Leo hataleta stats zake uchwara.Mambo wasiyo yapenda kusikia humu wakina mc hamiss
Duh! Ghafla mshafikia huku😂😂😂🙌Tukitulia tunapata one strong line up ya ku compete epl run
Injury tu ndio tatizo
Uzuri tulitoa onyo mapema. Palace leo hawajatimiza maagizo kwasababu ni EFL hivyo basi watakapokuja OT Jumamosi ni lazima waache points 3.Timu yoyote ambayo bado haijacheza na United ijiandae kuachia points 3 na wale wanaosubiri mzunguko wa 2 wajiandae kukutana na dhahma, hasa wale Arsenyani.
AmraCase🥂Watu wa kazi chafu.
View attachment 2763576
Ten Hag: “Pressure is part of life at Man Utd for everyone involved in club”.





