Song of Solomon
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 2,751
- 5,623
Mnamtetea huyo kocha wenu hadi inatia kinyaaWalitakiwa baada ya kupata mwalimu mpya wafanye signings zake mapema.
Siyo unasajili wachezaji ligi tayari imeshaanza.
Dirisha la 2021/2022 mchezaji aliyesajiliwa mwanzoni ni Malacia tu wengine wote walifika siku ya deadline.
Msimu huu wamefanya hivyo kwa Mount wengine wote wamefika deadline day.
Hata mwalimu anaandaaje timu katika mazingira hayo ?
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app

.





Jonny Evans: “I loved every minute of it. Before the game you get a feeling — I couldn't wait, just pure excitement”.
