Bagabeach
JF-Expert Member
- Jun 30, 2021
- 1,351
- 2,786
Bro nmeongea na ETH kasema deni lako atakulipa week ijayo.Kwa tunaofanya analysis za mechi ,kilichompa mafanikio ETH mwaka Jana Ni
Uimara wa Degea ndio Maana ana cleansheet nyingi Wala sio uimara wa Beki
Kuna mechi zaidi ya 10 ambazo ilikuwa alama zidondoke Lakini ziliokolewa na Degea
Mfano manjesta vs Leicester city ambayo ilikuwa dhoofu , mechi inaisha 1-0 lakin Degea anaokoa Sana .zipo mech Kama hizo karibu 10
Form au Peak ya Rashford, mwaka Jana ndio alikuwa anafikia peak yake katika maisha yake ya soka
Factors nyingine Ni kupotea Sana kwa Liverpool na Chelsea
Kukosekana kwa Degea ambaye Ni best shot stopper ,kurudi default settings ya Rashford,Kurejea kwa Liverpool Basi 7HAG atawekwa uchi msimu huu
Manjesta inavyocheza msimu huu Wala haina tofauti na msimu Jana ,playing style Ni ile ile tofauti Ni hizo factors hapo juu
Kikubwa uache kumtukana kisa buku unalomdai, manake hupoi mzee