Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kwa tunaofanya analysis za mechi ,kilichompa mafanikio ETH mwaka Jana Ni

Uimara wa Degea ndio Maana ana cleansheet nyingi Wala sio uimara wa Beki

Kuna mechi zaidi ya 10 ambazo ilikuwa alama zidondoke Lakini ziliokolewa na Degea

Mfano manjesta vs Leicester city ambayo ilikuwa dhoofu , mechi inaisha 1-0 lakin Degea anaokoa Sana .zipo mech Kama hizo karibu 10

Form au Peak ya Rashford, mwaka Jana ndio alikuwa anafikia peak yake katika maisha yake ya soka


Factors nyingine Ni kupotea Sana kwa Liverpool na Chelsea


Kukosekana kwa Degea ambaye Ni best shot stopper ,kurudi default settings ya Rashford,Kurejea kwa Liverpool Basi 7HAG atawekwa uchi msimu huu


Manjesta inavyocheza msimu huu Wala haina tofauti na msimu Jana ,playing style Ni ile ile tofauti Ni hizo factors hapo juu
Bro nmeongea na ETH kasema deni lako atakulipa week ijayo.
Kikubwa uache kumtukana kisa buku unalomdai, manake hupoi mzee
 
Kocha atakayeamini falsafa yake.
Ten hag alipaswa ashikilie mpira wake tuliouona pre season dhidi ya crystal palace msimu uliopita hata kama atapoteza alama muhimu baadhi ya mechi.

Ukiwa kama kocha huu si ulimwengu wa kuwaridhisha wachezaji, bali ni kuwalazimisha wachezaji wafuate matakwa yako.

Angalia PSG ya enrique wanavyocheza licha ya kwamba ana miezi mitatu.
Kalinda identity yake.

Mchezaji asiyekufaa muondoe, ndio kanuni ya guardiola
Hapo umemaliza
 
Bro nmeongea na ETH kasema deni lako atakulipa week ijayo.
Kikubwa uache kumtukana kisa buku unalomdai, manake hupoi mzee
Sijawahi kutoa tusi Kama lipo nioneshe nitaomba nipigwe ban ya mwaka mzima

Shida yenu hamtaki 7hag asemwe ,ila endeleeni kumtetea kwasisi Ni furaha Maana Sion akiwafikisha popote ,mtakuja kushtuka kashawafikisha shimoni

Kipindi hicho hata kuchezea conference league haiwezekani

Believe me ,mabos wa manjesta walimtoa Ajax wakiamini analeta Modern football,wangetaka hii papatupapatu wangemuajili Tony pulis,Big Sam au Sean Dyche
 
ajitokeze demu mmoja tu aseme kwamba Rashford amemfanyia violence basi sisi huku hadi Africa tuta msapoti huyo mwanamke kwa mara ya kwanza na picha na video za vidonda tutatengeneza, Rashford ni takataka inayoishi serious

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Kuwapa kandarasi mpya halikuwa baya kwa sababu timu haisajili sasa angefanya nini kama mwalimu.

Amemtaka Harry Kane kaletewa Hojlund, alimtaka De Jong kaletewa Casemiro, dirisha dogo aliletewa loanee Wachovu wachovu.
Hary Kane ulikuwa uamuz sahihi kunyimwa ,Ni Yale Yale ya casemiro

De Jong mwenyewe alikataa

Hakuna kocha aliyepewa nguvu kubwa toka aondoke Fergie Kama 7hag ,

7hag ana had kampuni linahusika na usajili man u ,anasema ana Veto kwenye usajili kasema mwenyewe 7hag

Sajili za Hojlund ,Malacia,Weghost,Amrabat, mount , eriksen , Martinez , reguilon , zote zina mkono wa 7hag

Na Baadhi ya wachezaji wanasimamiwa na Hilo kampuni ambalo mtoto wake 7hag Nigel anafanya kazi humo

Mtakuja kushtuka mwishon kabisa kuwa kocha wenu hakuwa na uwezo wakufundisha timu Kama manjesta EPL ,

7hag namfananisha na Samia Suluhu ,wamepata bahati ya kuongoza taasisi kubwa lakin uwezo wao mdogo .
 
ajitokeze demu mmoja tu aseme kwamba Rashford amemfanyia violence basi sisi huku hadi Africa tuta msapoti huyo mwanamke kwa mara ya kwanza na picha na video za vidonda tutatengeneza, Rashford ni takataka inayoishi serious

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app


Majanga tu...
 
Mnamtetea huyo kocha wenu hadi inatia kinyaa

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Klopp ilimchukua misimu mitano kwa Liverpool kupata walau kikombe kimoja tu.

Ilimchukua Arteta misimu minne angalau kuwa na timu inayocheza kwa muunganiko mzuri.

Tulimtetea Ole kwa hoja hizi hizi leo hii iwe nongwa kumtetea Ten Hag?

Au alitakiwa kubadili kila kitu overnight ?
 
Hakuna kocha mle Mimi nitakuwa mtu wa mwisho kuaminin uwezo wa 7 Hag jamaa hajui kabisa bolu eti linakuja kenge Moja lenye mavidole marefu linaandika makala ndefu eti wachezaji wa Manchester United kiwango kibovu unajiuliza kiwango Cha wachezaji wa Wolves, Brighton na hawa Burnley ni kikubwa kuliko akina Casemiro, Bruno, ONANA, Hojlund, Luke Shaw, Mactomey huyu ambae national team ni moto wa kuotea mbali, Varane, The butcher, linderlof ambae ni regular starter wa national team, Sancho ambae alikotoka alikuwa wembe mkali sana ifike mahali tukubali kuwa tuna average coach katoka ligi dhaifu kaja ligi ya wanaume kweli, unatoka kushindana na PSV unajiona wewe kocha? Mashabiki wa United tukubali kuwa pamoja na matatizo yetu ya menenimenti lkn hatujapa mwl sahihi huyu ni uozo United ni kubwa kuliko yeye au basi hii mikikimikiki ya EPL haiwezi KAMWE

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Watu wenye mawazo tofauti na wewe ni kenge siyo ?
 
1695551920408.png

Refa alisema ni goli.
1695551957393.png

Refa alisema offside
 
Hivi mnapata wapi nguvu ya kumtetea huyo mwl wakati alipewa fungu akawaleta Antony, Malacia etc? Kocha wa Brighton ana only six months kibaruani huyu kipara ana mwaka na miezi kadhaa lkn mpaka sasa hatujui anafundisha nini, timu hata pass 10 hazifiki tunapigiwa pass 28 na Brighton OT hadi goli bila kugusa mpira huyu kweli ni mwl wa mpira? Sifa mojawapo ya mwl ni kukuza viwango vya wachezaji je huyo kocha wenu kakuja kiwango Cha mchezaji gani hapo matofalini?

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Unamzungumzia De Zerbi ambaye katika miezi sita tayari amesajili wachezaji 11 au mwingine ?
 
Kwa tunaofanya analysis za mechi ,kilichompa mafanikio ETH mwaka Jana Ni

Uimara wa Degea ndio Maana ana cleansheet nyingi Wala sio uimara wa Beki

Kuna mechi zaidi ya 10 ambazo ilikuwa alama zidondoke Lakini ziliokolewa na Degea

Mfano manjesta vs Leicester city ambayo ilikuwa dhoofu , mechi inaisha 1-0 lakin Degea anaokoa Sana .zipo mech Kama hizo karibu 10

Form au Peak ya Rashford, mwaka Jana ndio alikuwa anafikia peak yake katika maisha yake ya soka


Factors nyingine Ni kupotea Sana kwa Liverpool na Chelsea


Kukosekana kwa Degea ambaye Ni best shot stopper ,kurudi default settings ya Rashford,Kurejea kwa Liverpool Basi 7HAG atawekwa uchi msimu huu


Manjesta inavyocheza msimu huu Wala haina tofauti na msimu Jana ,playing style Ni ile ile tofauti Ni hizo factors hapo juu
BRAZAA nyumbu kanyimwa akili ya kuvuka mto wenye mamba, we si unaonaga wakiwa wana hama pale serengeti, hawawez awa kuku elewa, mbona mda mrefu sana uliwapa fact

man u, mnacheza pira bovu, mpaka hamvutii sasa sisi tutabishana na naniii kama sio nyie, hata sipendi kinachoendelea
 
hamis77 Wew ungetulia, kwa hiyo unatuombea tupate kocha mzuri ili tufanikiwe.
Acha unafiki, sisi sio ndugu zenu na haiwezekani wewe ututakie mema.
ETH ni kocha Bora, mbn arteta msimu juzi game nne za mwanzo alikuw na point 4.
Arteta miaka 4, kaingia top 4 mara moja, ETH 1 year na top 3 yumo.
Deni lako utalipwa, hasira zikuishe.
United hatuwez kushauriwa na arsenal😅😅😅
 
Back
Top Bottom