Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nahisi internal talks zisha anza teari na management isha anza slowprocess zakutafuta mbadala wake 10hag na hii ndio shida ya ku coach big teams huwa zinataka matokeo tu no further excuses

Swali
1 nani (kocha gani) atakaeweza kuja kuhimili miki miki za glazzerz na kina rashidi bruno sancho

2 atadumu au naye atapewa muda then tutamfurusha

3 jee tutazidi kwenda mbele au ndo tunazidi kujichimbia kaburi
Kama makocha tushabadili wa kutosha lakini hali ni ileile tu,
Kama wachezaji nao tushabadilisha wengi tu lakini mambo ni yaleyale tu.
Kilichobaki sasa hivi ni kubadilisha wamiliki, timu akikabidhiwa mwarabu halafu mambo yakaendelea kua vilevile kilichobaki itakua kutafuta jiwe kubwa kisha tunaliviringisha kwenye club na kwenda kuitosa baharini.
 
Script ya wachezaji wa United iko obvious kwa makocha watatu sasa.
Rashford
Martial
Luke shaw

Ndio wachezaji pekee waliobakia waliofundishwa na makocha watatu.
Wawili kati yao tayari wameshapewa kandarasi mpya na ten hag, tafsiri yake ni kwamba anawaamini.

Kama wanamgeuka asilie, amewaamini mwenyewe
 
Nani ataenda kumreplace Ten Hag ?
De Zerbi ? Bielsa ? Au Conte ?
Hata akija Guardiola kwa hii management ya United nae ataonekana mbovu tu.
Shughuli ya hapo anaijua vizuri Mourinho.
1694680193541.jpg
 
Wanachotakiwa kufanya hao makocha ni tendo la kishujaa...
Toka mbele ya camera na uzungumze yanayokusibu hata kama utavunja maadili.

Usisubirie mashabiki wameshafurahia kuondoka kwako ndio uteme ya moyoni juu ya klabu na yaliyo nyuma ya pazia.

Kukaa kwao kimya na kukaribisha matusi dhidi yao.

Hayo unayoyazungumza nayafahamu vizuri sana, solution pekee ninayoiona mimi ndio hiyo.
Mtu hawezi kususa kazi kwa uzembe wa bodi.

Watamtimua halafu watamalipa chake vizuri tu.

Ila kwa working environment hiyo ni toxic sana kwa kocha kufanikiwa.

Klopp last season alisema squad yetu haikuwa ya malengo ya muda mrefu na inajidhihirisha sasa hivi.

Transfer window ya last season tulihitaji wachezaji wapya atleast sita, dirisha dogo atleast wanne.
This window atleast watano tena then tuanze kujenga timu.

Kwenye hiyo squad kila position inahitaji mtu mpya wa kuingia first eleven kwa level ya united
 
Nani ataenda kumreplace Ten Hag ?
De Zerbi ? Bielsa ? Au Conte ?
Kocha atakayeamini falsafa yake.
Ten hag alipaswa ashikilie mpira wake tuliouona pre season dhidi ya crystal palace msimu uliopita hata kama atapoteza alama muhimu baadhi ya mechi.

Ukiwa kama kocha huu si ulimwengu wa kuwaridhisha wachezaji, bali ni kuwalazimisha wachezaji wafuate matakwa yako.

Angalia PSG ya enrique wanavyocheza licha ya kwamba ana miezi mitatu.
Kalinda identity yake.

Mchezaji asiyekufaa muondoe, ndio kanuni ya guardiola
 
Kocha ana tatizo gani na sub? Kwanini uwa hafanyi sub kwa wakati? Rashford makosa yake ni yaaaaleee yale ila kila mechi yupo.
 
Anachokifanya ten hag ni kujenga falsafa yake kwa kutegemea zaidi usajili na si uwanja wa mazoezi, jicho langu dhaifu limeona hivyo.

Msimu ujao atamsajili frimpong wa leverkusen.

Atasajili RCB mwengine.

Winga mmoja

Nafikiri na midfield
 
Rashford
Martial
Luke shaw

Ndio wachezaji pekee waliobakia waliofundishwa na makocha watatu.
Wawili kati yao tayari wameshapewa kandarasi mpya na ten hag, tafsiri yake ni kwamba anawaamini.

Kama wanamgeuka asilie, amewaamini mwenyewe
Kuwapa kandarasi mpya halikuwa baya kwa sababu timu haisajili sasa angefanya nini kama mwalimu.

Amemtaka Harry Kane kaletewa Hojlund, alimtaka De Jong kaletewa Casemiro, dirisha dogo aliletewa loanee Wachovu wachovu.
 
Kocha atakayeamini falsafa yake.
Ten hag alipaswa ashikilie mpira wake tuliouona pre season dhidi ya crystal palace msimu uliopita hata kama atapoteza alama muhimu baadhi ya mechi.

Ukiwa kama kocha huu si ulimwengu wa kuwaridhisha wachezaji, bali ni kuwalazimisha wachezaji wafuate matakwa yako.

Angalia PSG ya enrique wanavyocheza licha ya kwamba ana miezi mitatu.
Kalinda identity yake.

Mchezaji asiyekufaa muondoe, ndio kanuni ya guardiola
Man united ikipoteza mechi moja ni big news kupoteza tatu si angeachishwa kazi ?

Na sisi humu tulisema atafute matokeo kwanza falsafa zake atazifuata akipata wachezaji sahihi

Hao wachezaji ameshawapata ?
 
Kocha atakayeamini falsafa yake.
Ten hag alipaswa ashikilie mpira wake tuliouona pre season dhidi ya crystal palace msimu uliopita hata kama atapoteza alama muhimu baadhi ya mechi.

Ukiwa kama kocha huu si ulimwengu wa kuwaridhisha wachezaji, bali ni kuwalazimisha wachezaji wafuate matakwa yako.

Angalia PSG ya enrique wanavyocheza licha ya kwamba ana miezi mitatu.
Kalinda identity yake.

Mchezaji asiyekufaa muondoe, ndio kanuni ya guardiola
Uliona Rangnick alipofuata falsafa zake kilichotokea.

Wakati anaondoka alisema timu hili linahitaji Surgery kubwa ila wenyewe wakafanya minor
 
Anachokifanya ten hag ni kujenga falsafa yake kwa kutegemea zaidi usajili na si uwanja wa mazoezi, jicho langu dhaifu limeona hivyo.

Msimu ujao atamsajili frimpong wa leverkusen.

Atasajili RCB mwengine.

Winga mmoja

Nafikiri na midfield
Kwahiyo Ten Hag ni kocha mbovu ?
 
United hata wangempata Gakpo au Nunez sasa hivi tungekuwa tofauti kidogo
 
Man united ikipoteza mechi moja ni big news kupoteza tatu si angeachishwa kazi ?

Na sisi humu tulisema atafute matokeo kwanza falsafa zake atazifuata akipata wachezaji sahihi

Hao wachezaji ameshawapata ?
Anaendelea kuwapata...
Onana
Malacia
Martinez
Casemiro
Mount
Hojlund
Anthony
Amrabat - loan


Hawa ni wachezaji 8, sijamjumuisha eriksen.

Anapaswa kuanza na hawa kwanza.

Hapo bado dumfries/ frimpong
Mlinzi wa kulia
Midfield
Winga wa kulia


Ina maana hii ni timu kamili
 
Kocha atakayeamini falsafa yake.
Ten hag alipaswa ashikilie mpira wake tuliouona pre season dhidi ya crystal palace msimu uliopita hata kama atapoteza alama muhimu baadhi ya mechi.

Ukiwa kama kocha huu si ulimwengu wa kuwaridhisha wachezaji, bali ni kuwalazimisha wachezaji wafuate matakwa yako.

Angalia PSG ya enrique wanavyocheza licha ya kwamba ana miezi mitatu.
Kalinda identity yake.

Mchezaji asiyekufaa muondoe, ndio kanuni ya guardiola
Shida ya big teams huna muda wakufanya experiment hence wewe umeajiriwa as a top coach uko proven as referred to ulivo sema "luis Enrique na psg" wewe ukifika ni ku implement na execution of your football style philosophy and work ethics mbali na hapo utatimuliwa

Kwa story ya huku matofali ya kuchoma wewe kama top coach utakuja na cv yako imeshiba uko very well proven una playing style nzur then moment una implement tu kweny mechi zako za kwanza unapewa notifications kutoka kwa wakuu wameku doubt style yako haifananinii na culture history na playing style ya timu kumbuka kwenye board yupo mzee fergie huyu atakuambia bwana mdogo acha mbwembwe na ujuaji mpira hauchezi hivo venye wewe unafundisha sawa kijana hapa tuna park bus na counter attack Football wenzio wote kina van gal moyes Mourinho wamepita humo acha ukaidi

Mfano wewe ndio Guardiola au de zerbi ungetoboa hapo..???
 
Wangepata striker anayeweza kulink up vizuri na timu.

Wana energy ya kutosha, wana track back vizuri.
Wanaweza kucheza either left wing or right wing.

Probably the selfish Rashford angepoteza nafasi ya kuwa regular upande wa kushoto au angeweza kucheza vizuri kama ilivyokuwa wakati Weghost yupo.
 
Back
Top Bottom