Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kwa kundi la wachezaji alilonalo Ten Hag mtamtukana bure tu.

Ni kundi hilo hilo walishindwa kufanya pressing chini ya Rangnick wakawa wanacheza dakika 30 zingine wanarudi default mode.

Mwanzo wa msimu wa 2021/2022 Ten Alitaka kucheza mpira wake kilichotokea sote tuliona, aliamua kubadili mbinu kumitigate risks timu ilikaa sawa.

Msimu huu pia amejaribu kurudi kwenye mfumo wake tumeona yanayotokea ni pattern ya hao wahuni.

Hata wakifundishwa na Mungu hawatabadilika.

They are uncoacheable.
Ok tuchukulie hayo yote yana ukweli,
Je hao makocha hawafundishwi elimu ya kulinda heshima zao.

Si uvunje mkataba kwa mutual agreement.
 
Script ya wachezaji wa United iko obvious kwa makocha watatu sasa.

Ila kuna uwezekano mkubwa sana hawana fitness coach.

Hiyo squad fitness yake ni ndogo sana ndiyo maana hata basics za kawaida wanashindwa.

Wamebadilisha makocha wengi ila sijaona wakibadili fitness coaches ilihali the script is obvious.
 
Kama ni hivyo basi awajibike hata kama hana makosa.

Ndio maana wao makocha wanakuwa wa kwanza kufukuzwa.

Huwezi kufukuza wachezaji kwa kumlinda kocha mmoja
Yes lakini atakuwa na excuse ya kutokuwa backed kwenye transfer window.

Unasajiliwa wachezaji too late na bado unaletewa fifth choice.

Unafanikiwaje kwenye working environment ya hivyo.
 
Kama ni hivyo basi awajibike hata kama hana makosa.

Ndio maana wao makocha wanakuwa wa kwanza kufukuzwa.

Huwezi kufukuza wachezaji kwa kumlinda kocha mmoja
Anawajibika sana tena kwa nguvu kubwa timu hiyo inahitaji overhaul otherwise tunarudi kutafuta care taker mwingine.

Halafu Ten Hag ataenda kukusanya vikombe kwingine
 
Wanetu #Chelsea mtupasulie aston Villa mje tukae nafasi za juu huku taratibu kwa pira letu papatu tunaenda kwenda kwenye vinafasi vyetu uchwara ila ndivo ilivo pangwa maana mkubwa ni mkubwa tu skuzote

As brothers we win together lose together
Man utd Chelsea to top 7 our first priority then we aim more further
 
Anawajibika sana tena kwa nguvu kubwa timu hiyo inahitaji overhaul otherwise tunarudi kutafuta care taker mwingine.

Halafu Ten Hag ataenda kukusanya vikombe kwingine
Wanachotakiwa kufanya hao makocha ni tendo la kishujaa...
Toka mbele ya camera na uzungumze yanayokusibu hata kama utavunja maadili.

Usisubirie mashabiki wameshafurahia kuondoka kwako ndio uteme ya moyoni juu ya klabu na yaliyo nyuma ya pazia.

Kukaa kwao kimya na kukaribisha matusi dhidi yao.

Hayo unayoyazungumza nayafahamu vizuri sana, solution pekee ninayoiona mimi ndio hiyo.
 
Nahisi internal talks zisha anza teari na management isha anza slowprocess zakutafuta mbadala wake 10hag na hii ndio shida ya ku coach big teams huwa zinataka matokeo tu no further excuses

Swali
1 nani (kocha gani) atakaeweza kuja kuhimili miki miki za glazzerz na kina rashidi bruno sancho

2 atadumu au naye atapewa muda then tutamfurusha

3 jee tutazidi kwenda mbele au ndo tunazidi kujichimbia kaburi
Kama makocha tushabadili wa kutosha lakini hali ni ileile tu,
Kama wachezaji nao tushabadilisha wengi tu lakini mambo ni yaleyale tu.
Kilichobaki sasa hivi ni kubadilisha wamiliki, timu akikabidhiwa mwarabu halafu mambo yakaendelea kua vilevile kilichobaki itakua kutafuta jiwe kubwa kisha tunaliviringisha kwenye club na kwenda kuitosa baharini.
 
Script ya wachezaji wa United iko obvious kwa makocha watatu sasa.
Rashford
Martial
Luke shaw

Ndio wachezaji pekee waliobakia waliofundishwa na makocha watatu.
Wawili kati yao tayari wameshapewa kandarasi mpya na ten hag, tafsiri yake ni kwamba anawaamini.

Kama wanamgeuka asilie, amewaamini mwenyewe
 
Nani ataenda kumreplace Ten Hag ?
De Zerbi ? Bielsa ? Au Conte ?
Hata akija Guardiola kwa hii management ya United nae ataonekana mbovu tu.
Shughuli ya hapo anaijua vizuri Mourinho.
1694680193541.jpg
 
Back
Top Bottom