Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,870
- 16,425
Kama makocha tushabadili wa kutosha lakini hali ni ileile tu,Nahisi internal talks zisha anza teari na management isha anza slowprocess zakutafuta mbadala wake 10hag na hii ndio shida ya ku coach big teams huwa zinataka matokeo tu no further excuses
Swali
1 nani (kocha gani) atakaeweza kuja kuhimili miki miki za glazzerz na kina rashidi bruno sancho
2 atadumu au naye atapewa muda then tutamfurusha
3 jee tutazidi kwenda mbele au ndo tunazidi kujichimbia kaburi
Kama wachezaji nao tushabadilisha wengi tu lakini mambo ni yaleyale tu.
Kilichobaki sasa hivi ni kubadilisha wamiliki, timu akikabidhiwa mwarabu halafu mambo yakaendelea kua vilevile kilichobaki itakua kutafuta jiwe kubwa kisha tunaliviringisha kwenye club na kwenda kuitosa baharini.