Bro na sisi tuko kwenye fezi wani, malengo ya fezi wani Mayai7 anataka kila mchezaji ajue kupiga danadana, so sasa hichi Carrington wachezaji wanafundishwa na kufanya mazoezi ya kupiga danadana tu.Kumdomineti Burney nayo inamuhitaji Grazzer?
Kuna huyo manywele kazi yake kugongana na wenzake tu hapo kati sijui kwanini hamtoiHii mechi aingie ericksen japo nae kachoka lakini ndo kiungo mwenye ana uwezo wa kukaa na mpira tu wote hao Kati ni defense midfielder ndo maana butua nyingi hapo Kati.


Aisee nikajua teyari wamechomoaKwa nini tulimsajili Onana haliyakuwa matej kovar alikuwa ana uwezo wa kutupa kinachoendana na mpira wetu?
Poor talent IDKwa nini tulimsajili Onana haliyakuwa matej kovar alikuwa ana uwezo wa kutupa kinachoendana na mpira wetu?
Huwezi kuiona faida ya Onana ikiwa progressive wako ni casemiro na scott.Poor talent ID
Utakuja kuelewa siku hapo man utd kocha sio tatizo namba 1...Watu wanahoji brand gani ya football inafundishwa na 7hagView attachment 2759958
Kwahiyo yaliyosemwa na cristiano kuhusu hawa watoto ni kweli kabisa.Utakuja kuelewa siku hapo man utd kocha sio tatizo namba 1...
10hag ataondoka kisha atakuja kocha mwengine soon then utaona wachezaji kama kawaida yao watajituma 5-10 games watakusanya points na kucheza vizuri then after that watarudi tu into their default settings... Na mtaanza kumsema humu na wachezaji wataanza ajenda zao aondoke
Hio ndio tabia ya most of those players wa hapo Carrington
Nahisi internal talks zisha anza teari na management isha anza slowprocess zakutafuta mbadala wake 10hag na hii ndio shida ya ku coach big teams huwa zinataka matokeo tu no further excusesKocha wenu hana mipango...
Jamaa alimaliza kila kitu kwenye ile interview na piere morganKwahiyo yaliyosemwa na cristiano kuhusu hawa watoto ni kweli kabisa.
