Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Burney Ni watoto wadogo bado
20230923_230701.jpg
 
Hii mechi aingie ericksen japo nae kachoka lakini ndo kiungo mwenye ana uwezo wa kukaa na mpira tu wote hao Kati ni defense midfielder ndo maana butua nyingi hapo Kati.
Kuna huyo manywele kazi yake kugongana na wenzake tu hapo kati sijui kwanini hamtoi
 
Angalia alichofanya dalot dakika ya 50.
Usipopenda kumiliki mpira unajitengezea mazingira ya kufanya makosa mengi mara kwa mara.
 
Watu wanahoji brand gani ya football inafundishwa na 7hagView attachment 2759958
Utakuja kuelewa siku hapo man utd kocha sio tatizo namba 1...

10hag ataondoka kisha atakuja kocha mwengine soon then utaona wachezaji kama kawaida yao watajituma 5-10 games watakusanya points na kucheza vizuri then after that watarudi tu into their default settings... Na mtaanza kumsema humu na wachezaji wataanza ajenda zao aondoke

Hio ndio tabia ya most of those players wa hapo Carrington
 
Utakuja kuelewa siku hapo man utd kocha sio tatizo namba 1...

10hag ataondoka kisha atakuja kocha mwengine soon then utaona wachezaji kama kawaida yao watajituma 5-10 games watakusanya points na kucheza vizuri then after that watarudi tu into their default settings... Na mtaanza kumsema humu na wachezaji wataanza ajenda zao aondoke

Hio ndio tabia ya most of those players wa hapo Carrington
Kwahiyo yaliyosemwa na cristiano kuhusu hawa watoto ni kweli kabisa.
 
Kocha wenu hana mipango...
Nahisi internal talks zisha anza teari na management isha anza slowprocess zakutafuta mbadala wake 10hag na hii ndio shida ya ku coach big teams huwa zinataka matokeo tu no further excuses

Swali
1 nani (kocha gani) atakaeweza kuja kuhimili miki miki za glazzerz na kina rashidi bruno sancho

2 atadumu au naye atapewa muda then tutamfurusha

3 jee tutazidi kwenda mbele au ndo tunazidi kujichimbia kaburi
 
Back
Top Bottom