Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,697
- 32,447
Kuwapa kandarasi mpya halikuwa baya kwa sababu timu haisajili sasa angefanya nini kama mwalimu.Rashford
Martial
Luke shaw
Ndio wachezaji pekee waliobakia waliofundishwa na makocha watatu.
Wawili kati yao tayari wameshapewa kandarasi mpya na ten hag, tafsiri yake ni kwamba anawaamini.
Kama wanamgeuka asilie, amewaamini mwenyewe
Amemtaka Harry Kane kaletewa Hojlund, alimtaka De Jong kaletewa Casemiro, dirisha dogo aliletewa loanee Wachovu wachovu.










Bruno Fernandes has gifted his Man of the Match Award to Jonny Evans 
