Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kama ni hivyo basi awajibike hata kama hana makosa.

Ndio maana wao makocha wanakuwa wa kwanza kufukuzwa.

Huwezi kufukuza wachezaji kwa kumlinda kocha mmoja

Last year alifurukuta sababu ya wachezaji kucheza kwa juhudi kubwa sababu ya kumdhihirishia kocha kuwa wanamsapoti

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Last year hakuwa na majeruhi mengi kama ilivyo sasa kama hujui mpira ni bora ukae kimya.Hakuna kocha anayesumbuliwa na majeruhi wengi pale EPL kama Ten hag na ni toka msimu uliopita hivyo ni ngumu kwa kocha na timu kupata utulivu muulize Klop kilichomkuta mwaka jana baada ya kuwa na majeruhi alikuja kupata auheni mwishoni mwa ligi.
 
ajitokeze demu mmoja tu aseme kwamba Rashford amemfanyia violence basi sisi huku hadi Africa tuta msapoti huyo mwanamke kwa mara ya kwanza na picha na video za vidonda tutatengeneza, Rashford ni takataka inayoishi serious

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Haaahaa yaani unawaza kama mimi mkuu yaani huyu kima nimetokea kumchukia balaa yaani anatupotezea chance nyingi sana za magoli yaani halafu hata majeruhi halipati.
 
Bruno Fernandes’ children celebrating his goal last night.

His son doing his celebration is the cutest thing you’ll see today.


#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
 
Gary Lineker on Rasmus Hojlund: “I have watched him in his first two or three games and he has only scored one goal, against Bayern, but he looks to me like he will score goals. I like his movement.”

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230924_191458_820.jpg
 
Marcus Rashford was involved in a car accident after the match against Burnley. He was shaken, but suffered no injuries.

Nikajua 𝐊𝐀𝐅𝐀 kumbe kapona🥸.


[The Sun]
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230924_191252_903.jpg
 
Police spoke to Marcus Rashford and the other driver, both unharmed, and gave them a breathalyzer test before allowing them to return home. No ambulance was needed.


[The Athletic]
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230924_191313_725.jpg
 
Bruno Fernandes was also there and stopped to help.


[The Sun]
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
 
Back
Top Bottom