hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,282
- 26,677
Hapo mwishoMchezaji yeyote akiwa Brighton ya sasa ni tofauti.
Hata akienda Maguire, nina uhakika mtaenda kumnunua tena kwa £100 mil.
Kama unabisha kamuangalia Caicedo wa Chelsea!![]()


Hapo mwishoMchezaji yeyote akiwa Brighton ya sasa ni tofauti.
Hata akienda Maguire, nina uhakika mtaenda kumnunua tena kwa £100 mil.
Kama unabisha kamuangalia Caicedo wa Chelsea!![]()


Mchezaji yeyote akiwa Brighton ya sasa ni tofauti.
Hata akienda Maguire, nina uhakika mtaenda kumnunua tena kwa £100 mil.
Kama unabisha kamuangalia Caicedo wa Chelsea!![]()






et CaceidoBrighton Leo wamewawekea wachezaji wa kawaida Sana sababu wana Europa alhamisVAR itafanya mashabiki tuache kushangilia magoal sasa maana mkifunga goal unakuwa na wenge wenge tu.
Nilitaka kushangaa Rashidi atoe assist ndani ya box kumbe alijua mpira tayari umeshatoka njeUkisia pro Max gundu ndio hili Sasa
Goal rejected as usual




Flano njoo Arsenal rafiki anguNilitaka kushangaa Rashidi atoe assist ndani ya box kumbe alijua mpira tayari umeshatoka nje
Poor Rashidi
HAWA mkitulia mnawafunga kabisa Hawa....muongeze umakini tu pale mbeleNilitaka kushangaa Rashidi atoe assist ndani ya box kumbe alijua mpira tayari umeshatoka nje
Poor Rashidi
Hahaha!Onana kwenye shot stopping na reflexes hawezi kumfikia De Gea miaka 100.
Onana kwenye timu yenye defence na midfield kama United ipo siku mtamkumbuka De Gea.
Mimi sikubaliani na De Gea kuwa #1 msimu ujao ila Onana siyo kipa sahihi wa kucheza United kwasasa.


Hii kauli taratibu inaanza kueleweka presha ni nzito sana kwa onana...tutam miss degeaTafuteni kipa watani zangu
