Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ukweli ni kuwa hii timu yetu ilikuwaga mbovu sana na hasa mabeki na viungo na De gea alitufichia sana hayo madhaifu kwa uwezo wake binafsi, Onana sio kipa mbaya ila kwa beki hizi cha moto tutakiona maana hata aina ya mpira anaocheza Onana beki na viungo hawahuwezi so hakunq chemist yeyote.
 
Hii Ni dharau

Mnamchukulia poa Sana master tactician Roberto Di zerbi


Brighton's starting XI against Manchester United includes:

Steele: £0
Dunk: £0
Dahoud: £0
Lallana: £0
Welbeck: £0
Veltman: £0.9m
Mitoma: £2.4m
Gross: £3.1m
Lamptey: £1.5m

£7.9m for nine players.
 
Mashabiki wanamzomea 7hag kumtoa nje Hojlund


Kidogo kidogo wanaanza kuelewa Kocha ana shida
 
Ukweli ni kuwa hii timu yetu ilikuwaga mbovu sana na hasa mabeki na viungo na De gea alitufichia sana hayo madhaifu kwa uwezo wake binafsi, Onana sio kipa mbaya ila kwa beki hizi cha moto tutakiona maana hata aina ya mpira anaocheza Onana beki na viungo hawahuwezi so hakunq chemist yeyote.
Kiufupi timu inaungwa ungwa na super glue... Unaleta kipa la possession football kwenye squad ya counter attack football lazima wa mrambe maana kikawaida onana sio shot stopper mzuri hio hela ni tungeenda kwa maigan ya ac Milan au kwa diogo costa wa benfica
At that time kulikuwa na raya aliyetoka Brentford who was even more cheap [emoji174]
 
Mashabiki wanamzomea 7hag kumtoa nje Hojlund


Kidogo kidogo wanaanza kuelewa Kocha ana shida
Ten Hag kubadilisha tu mfumo kwasababu Antony hayupo nishajua ni tapeli. Yani Pellistri yupo ila hafai mpaka anabadili mfumo.
 
Man utd Tatizo sio Kocha Tatizo ni Uongozi Wa Juu, wanan'gang'ania Aina ya Wachezaji ambao inaonekan kabsa Ni Project iliyofeli.
Siku uongoz utakapo toka ndipo watakapo amini ubovu upo hapo badili wachezaji unaowataka makocha unaowataka kwa amount unayotaka still you wont solve man utd's problem

Its start with the poor management hierarchy
 
Back
Top Bottom