Bagabeach
JF-Expert Member
- Jun 30, 2021
- 1,351
- 2,786
ETH is cooking, inabidi aweke standards kwa players wake, refer jinsi pep alikuw unexpected kwa decision ya etoo, gaucho, Toure. Surely hakuna mkubwa kukiko ETH pale United kwa sasa.
Me naamin hii timu jamaa anaiweza,sio tusipoelewa mwanzon, ttamwelewa mwishoni.
OGS tulimwelewa mwanzon, mwishon akatuchanganya.
Me naamin hii timu jamaa anaiweza,sio tusipoelewa mwanzon, ttamwelewa mwishoni.
OGS tulimwelewa mwanzon, mwishon akatuchanganya.
