Grau
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 4,825
- 4,729
Kweli man utd tumekuwa timu ya ajabu sana kutoka kwenye forward ya End Cole, Tedy, Ole guna, Folan, Tevez, Rooney , Ronaldo eti leo tuna Martial na Rashford yaani hawajui hata wanatafuta nini kwenye soka ukiwatizama hata sura zao.



eti ukiwatazama hata sura zao.



Commentator: