Aeko
JF-Expert Member
- Apr 15, 2021
- 599
- 1,362
Siku uongoz utakapo toka ndipo watakapo amini ubovu upo hapo badili wachezaji unaowataka makocha unaowataka kwa amount unayotaka still you wont solve man utd's problemMan utd Tatizo sio Kocha Tatizo ni Uongozi Wa Juu, wanan'gang'ania Aina ya Wachezaji ambao inaonekan kabsa Ni Project iliyofeli.
Its start with the poor management hierarchy

