Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Man utd Tatizo sio Kocha Tatizo ni Uongozi Wa Juu, wanan'gang'ania Aina ya Wachezaji ambao inaonekan kabsa Ni Project iliyofeli.
Siku uongoz utakapo toka ndipo watakapo amini ubovu upo hapo badili wachezaji unaowataka makocha unaowataka kwa amount unayotaka still you wont solve man utd's problem

Its start with the poor management hierarchy
 
Kiufupi timu inaungwa ungwa na super glue... Unaleta kipa la possession football kwenye squad ya counter attack football lazima wa mrambe maana kikawaida onana sio shot stopper mzuri hio hela ni tungeenda kwa maigan ya ac Milan au kwa diogo costa wa benfica
At that time kulikuwa na raya aliyetoka Brentford who was even more cheap
Yani eti Raya anakaa bench Arsenyani sisi huku tunateseka.
 
Ukweli ni kuwa hii timu yetu ilikuwaga mbovu sana na hasa mabeki na viungo na De gea alitufichia sana hayo madhaifu kwa uwezo wake binafsi, Onana sio kipa mbaya ila kwa beki hizi cha moto tutakiona maana hata aina ya mpira anaocheza Onana beki na viungo hawahuwezi so hakunq chemist yeyote.
De Gea aliikoa sana Manchester United but Ten Bichwa akamuona Fala haya cha 3 hicho 2 matches 6 goals conceded
 
Nightmare
FB_IMG_16948785785049030.jpg
 
Hua mnanicha hoi msivyochoka kuamini kua kupaki basi na kucounter siyo game plan.
 
Kweli man utd tumekuwa timu ya ajabu sana kutoka kwenye forward ya End Cole, Tedy, Ole guna, Folan, Tevez, Rooney , Ronaldo eti leo tuna Martial na Rashford yaani hawajui hata wanatafuta nini kwenye soka ukiwatizama hata sura zao.
eti ukiwatazama hata sura zao.
 
Back
Top Bottom