Kweli man utd tumekuwa timu ya ajabu sana kutoka kwenye forward ya End Cole, Tedy, Ole guna, Folan, Tevez, Rooney , Ronaldo eti leo tuna Martial na Rashford yaani hawajui hata wanatafuta nini kwenye soka ukiwatizama hata sura zao.
Ukiangalia timu pinzani unaona wanampango wa goli ila sisi unaona kina Rashford wanakimbiq kimbia tu hawapo kwa ajili ya timu. Yaani ingekuwa enzi ya Sir Ferg Rasford angeshaozea makumbusho.
André Onana has faced 10 shots on target since the start of the season.Unachotakiwa kufanya ni kulenga goal tu
Chuma 3 kwa sauti ya mkojani![]()

Huu ni ukweli ambao wengi wana ukataa lakin de gea haku deserve


We kenge sikupatii picha hayo maumivu iliyokuwa nayoLeo tunashinda! Nashindwa kuelewa kwanini watu wana wasiwasi.
Tusiposhinda na-deactivate account.
Uingereza unambeba na watafungwa sana mpaka wachakaeHivi Pelistri kamkosea nini Ten hag mbona huyu ndio anafaa aanze na Hodjlund pamoja Garnacho kwenye number ya Rashford.