Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kweli man utd tumekuwa timu ya ajabu sana kutoka kwenye forward ya End Cole, Tedy, Ole guna, Folan, Tevez, Rooney , Ronaldo eti leo tuna Martial na Rashford yaani hawajui hata wanatafuta nini kwenye soka ukiwatizama hata sura zao.
Kama EtH ataendelea na kiburi chake akamchezesha Rushford mchoyo na Højlund, tutaanza kumtukana Højlund. Sijui ni kwanini leo Garnacho na Facundo hawakuanza. Kuna muda kinachomponza EtH ni upangaji wake wa timu inayoanza.
 
Ukiangalia timu pinzani unaona wanampango wa goli ila sisi unaona kina Rashford wanakimbiq kimbia tu hawapo kwa ajili ya timu. Yaani ingekuwa enzi ya Sir Ferg Rasford angeshaozea makumbusho.
Tuna wachezaji, hatuna timu.
 
Commentator:

“Tactically Erik ten Hag has been completely outclassed by Roberto De Zerbi.”
 
Yaani hii timu ugonjwa upo hasa kule mbele magoli hatufungi na yakifungwa yanafungwa na viuongo yaani kocha anashindwa kufanya maamuzi kuaacha na forward ya Rashford yaani huyu ndio mchawi wa hii timu kwa sasa, alikuwepo Pogba, Martila, Maguire na Rashford sasa mmoja kaondoka hawa wengine wanaanzia benchi sasa kama Rashford ataendelea kuanza tutamuona Hodjlund ni kama Mavugo tu.
 
Back
Top Bottom