Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mechi nne Goli NANE, bado tunapata ujasiri wa kumtetea golikipa kama huyu, mwisho wa msimu tukijakua na - ve GD tutaanza kushikana uchawi
Kwa ukuta wa kina Maguire hata aje kipa gani - ve GD haiepukiki.
Maguire ana magoli na assists nyingi kwenye goli la timu yake kuliko mchezaji yoyote tokea kuanzishwa kwa Epl

Maguire ni foward by nature ni vile makocha tu wanaforce kumchezesha CB, huyu mwamba akipangiwa hata msimu mmoja tu kucheza pale mbele lazima achukue kiatu
 

 









 
Maguire amekuwa mbuzi wa kafara vipi kocha wenu hajui hilo
 
 
Yani mashabiki wa arsenal hata aibu hawana kwa mpira ule matokeo ya 3-1 ushindi wa papatu papatu basi wana amini tutakimbia jukwaa dah


Yani mtu umeona kabisa sub zile zimekupa mwanya bila hivo chao wasingekuwa nacho jana
Mbona nyie huo wa papatu papatu hamjaupata?
 
SHABIKI wa Manchester United mjini Eldoret, nchini Kenya, Thomas Kiptanui Kemboi, maarufu Kapkeno amekimbizwa hospitalini baada ya kujaribu kula trei la mayai ya kuchemsha, baada ya kuwekeana dau (ku-bet) na marafiki zake ambao ni mashabiki wa Arsenal.

Kapkeno aliweka dau la kula trei nzima ya mayai ya kuchemsha iwapo Man United wangeshindwa na Arsenal, na waliposhindwa ilibidi atimize ahadi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…