Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wewe ndio 'mjinga wa mwisho' yaani unamlaumu Anthony!! Anthony anashambulia ana spidi kubwa na anarudi haraka kumsaidia Wan Bissaka mpaka Maetineli na Saka wakapotea kabisa. Kwa hiyo unamsifu Martial sio...rubbish.
Tabia za kipumbavu hizi,

Mwenzio Katoa maoni ,unamjibu kwa lugha chafu

Haya Leta msimamo

Halafu aliyekwambia Saka na Nell walipoteana Nani

Unajua Wanabisaka Leo kafanya tackling ngapi na kusababisha Kona ngapi
 
Acha utoto jaribu kujiheshimu, wala sina hasira yeyote bali ndio mpira ulivyo maana huwezi kushinda kila mechi.
Kuna tusi nimetoa ?

Hamtaki kutaniwa kabisa ,

Kaangalie kejeli na kashfa wenzako walizomwaga jukwaan Kwetu tulivyotoa sare na Fulham,


Kwahiyo na nyie vumilieni


Tena mm nawapiga banter za kistaarabu
 
Hapa sasa ndiyo watu wataelewa jinsi gani Ten Hag ni fala.

Mimi suala la kumpanga tu Antony kila mechi najua kuna namna anafanya wachezaji wengine wasicheze. Eneo la RW ndiyo analocheza Sancho na Pellistri.

Kinachoendelea ni kama issue ya Ronaldo na EtH. Anatuaminisha Antony ndiyo bora wakati wengine hawapi nafasi ni kwasababu tu hatupati access ya kinachoendelea Carrington ila Ten Hag ni fala.

Antony ndiyo mchezaji aliyesajiliwa na akaingia first 11 moja kwa moja na ndiyo kiazi kuliko wote.
Nitakuwa mtu wa mwisho kuamini Sancho anafeli sababu Hana uwezo

Mchezaji anachezeshwa out of position

Hapewi game time ,akifanya vzr anakuwa wakwanza kupigwa sub

Bora leo kalimwaga
 
wew mwenyewe bado una Timu mbovu ni vile umemkuta united ni mbovu zaidi utaishia kugombea Top four tu kama unataka ubigwa una safari ndefu sana

Sent from my Pixel 3a using JamiiForums mobile app
Wahovyo sana asenane..dakika 80 wamecheza kwenye lango la United na wameshindwa kufunga magoli.
The same last week wakiwa na Fulham walicheza kwenye goli ya Fulham walio pungufu na hawakupata kitu.
Mkitaka mpate angalao top 4 tafuteni forward muuaji kama Hujland.
 
Dah! Ndo Mpira na Ndo Sheria ambazo still hazieleweki! Kongole kwa Arsenal kwa Ushindi ni moja ya timu zikitoa Ushindani ligi inachangamka
Game ya ya leo imekuwa Suprise kwa Wengi, Arsenal hawakutegemea Upinzani wa namna hii {1st Half hata Possession wanaojinasibu kui-master UTD iliwazidia}

Kikosi cha Leo kilichoanza Usajili Mpya ni Onana tu. Arteta Karibu Wachezaji wote ni usajili wake, So Project yake imefika Phase ya mbali. UTD imedhihirika kuna Players walotakiwa wawe wanaanza huko Crystal Palace! Martinelli kam-Bully AWB game yote, Kuumia kwa Martinez then unaona tunamweka Evance inakupa taswira ya tulipo, Martial ni talent ilopotea kwa Attitude Mbovu, Rashy usipofanya Counter hana anachokupa cha ziada {Game kubwa nyingi anang'aa sababu zinampa Uhuru wa Kukimbia} Tulikuwa na Timu yenye CR7, WAZZA, TEVEZ, DIMITAR, NANI et al. Hamna namna yoyote Rashy anaanza kwa hao so Kumtetea sana ni kukiri kushuka kwa Standard UTD!

AWB Positioning ni 0, Rice anatuliza mpaka anashoot hana hata wa kumgasi na akifanya Overlap hutegemei Afunge ama Atoe Assist Same Case kwa Dalot. Hojlund amekuwa na DK Chache tu ila unaona DEF wanajua wanakabana na CF sio hawa kina Martial, Rashy,

My wishlist bado naamni UTD inahitai RB {Bah /Vanderson/ Fresneda/ Hakimi} LW {Leao / Kvaratshelia} CB's {Diomande & Antonio Silva} na CF wa kusaidiana na Hojlund karata yangu ni Evan Ferguson. {Walau tukuze Standard tuna Deadwoods nyingi sana na Management ilikuwa ya Hovyo wamezifunga na Mikataba mikubwa kuwauza inakuwa kazi sana mana timu nyingi Wanashindwana kwenye Mishahara}

Kongole hamis77 mkorea Game Lazima iwe na Matokeo leo yamekuwa Upande wenu, Kiroho safi Hongereni.

Ukweli ni kwamba man u mmecheza vizuri kuliko arsenal hasa kipindi Cha kwanza
Man u wakiwa na mpira kwenye kushambulia mlikua hatari kuliko arsenal

Kuna muda man u mlikua mnacheza kiume, Arsenal walikuwa wanacheza kivulana

Yule hojlund ambae hamisi anamkataa ni mzuri na atawasaidia Sana Sana Sana
Rashford akiwa na consistency ni mchezaji mzuri
Onana anahitaji mabeki wakufanya nae zile one-two-one-two

Tafuteni mbadala wa Eriksen na casimiro mapema

Garnacho ni kinda mwenye potential kubwa Sana

Martial sio mchezaji wa kuvaa jez ya Manchester United ata watu wakibaki 11 dunia. Inabidi akose namba

Martinez bado hajapata partner wake pale nyuma, namaanisha varane, Maguire, lindeloaf, Evans sio wa kuwategemea

Bisaka ni mzuri lakini kwa ukumbwa wa man u, inabidi muingie sokoni

Kadri siku zinavyokwenda man u inapunguza ubora wa Bruno
Ulishawai fikiria Bruno akiichezea timu Kama man city?

Big u kwa dalot, amejua kutufichia star boy SAKA

All in all
Man u changamoto zenu ni ndogo kulinganisha Chelsea

Man u inahitaji muunganikano tu wa wachezaji, ubaya ni kuwa hao wachezaji ambao wengi wao ni tegemezi umri imeenda

mchezo ulikua mzuri, Hadi dakika ya 80 ypyote alikua anaweza kutapika points tatu, bahati ilikua upande wa arsenal. Yeah, that's a football
 
Timu yetu imeisha aisee. Kuna watu wanasifia kabisa upuuzi unaoendelea.

Antony ni fala mmoja tu, leo kabahatisha moves kadhaa naona sifa zimeanza. Wan-Bissaka naye hastahili kucheza United, ndiyo ame-improve ila kwa timu inayotaka makombe huwezi kuwategemea Bissaka na Dalot.

Tuna wachezaji wengi wa kawaida sana, inapotokea mchezaji kafanya vizuri kidogo tu sifa zinaanza. Namba kubwa ya wachezaji wa kawaida inafanya hata wale bora wasionekane.
Kabisa yani wengi hawafai kuvaa ile badge basi tu.
 
Rashford anakubaliana na Sancho kuwa 7hag Ni muongo
20230903_231327.jpg
 

Ukweli ni kwamba man u mmecheza vizuri kuliko arsenal hasa kipindi Cha kwanza
Man u wakiwa na mpira kwenye kushambulia mlikua hatari kuliko arsenal

Kuna muda man u mlikua mnacheza kiume, Arsenal walikuwa wanacheza kivulana

Yule hojlund ambae hamisi anamkataa ni mzuri na atawasaidia Sana Sana Sana
Rashford akiwa na consistency ni mchezaji mzuri
Onana anahitaji mabeki wakufanya nae zile one-two-one-two

Tafuteni mbadala wa Eriksen na casimiro mapema

Garnacho ni kinda mwenye potential kubwa Sana

Martial sio mchezaji wa kuvaa jez ya Manchester United ata watu wakibaki 11 dunia. Inabidi akose namba

Martinez bado hajapata partner wake pale nyuma, namaanisha varane, Maguire, lindeloaf, Evans sio wa kuwategemea

Bisaka ni mzuri lakini kwa ukumbwa wa man u, inabidi muingie sokoni

Kadri siku zinavyokwenda man u inapunguza ubora wa Bruno
Ulishawai fikiria Bruno akiichezea timu Kama man city?

Big u kwa dalot, amejua kutufichia star boy SAKA

All in all
Man u changamoto zenu ni ndogo kulinganisha Chelsea

Man u inahitaji muunganikano tu wa wachezaji, ubaya ni kuwa hao wachezaji ambao wengi wao ni tegemezi umri imeenda

mchezo ulikua mzuri, Hadi dakika ya 80 ypyote alikua anaweza kutapika points tatu, bahati ilikua upande wa arsenal. Yeah, that's a football
Hojlund sijamkataa ila takwimu zake zinaonesha mwanga

Kumbuka Anthony masebene alianza kwa kufunga na ikasemwa humu Ni new Arjen Rooben
 
Huu ujinga Sancho ndio kaukataa hadharani

saying Sancho hasn’t been good enough but he literally starts Antony in every match
 
Hojlund sijamkataa ila takwimu zake zinaonesha mwanga

Kumbuka Anthony masebene alianza kwa kufunga na ikasemwa humu Ni new Arjen Rooben
Okey
But so far ten hag anaweza akafanya vizuri kuliko pochetino ambae unamkubali, kila siku unawaambia Kenge wampe muda

Nilichokiona kwa ten hag ni aina ya makocha wazuri kutafuta matokeo
Ten hag ana u-jose Mourinho flani hivi kwa mbali
 

Ukweli ni kwamba man u mmecheza vizuri kuliko arsenal hasa kipindi Cha kwanza
Man u wakiwa na mpira kwenye kushambulia mlikua hatari kuliko arsenal

Kuna muda man u mlikua mnacheza kiume, Arsenal walikuwa wanacheza kivulana

Yule hojlund ambae hamisi anamkataa ni mzuri na atawasaidia Sana Sana Sana
Rashford akiwa na consistency ni mchezaji mzuri
Onana anahitaji mabeki wakufanya nae zile one-two-one-two

Tafuteni mbadala wa Eriksen na casimiro mapema

Garnacho ni kinda mwenye potential kubwa Sana

Martial sio mchezaji wa kuvaa jez ya Manchester United ata watu wakibaki 11 dunia. Inabidi akose namba

Martinez bado hajapata partner wake pale nyuma, namaanisha varane, Maguire, lindeloaf, Evans sio wa kuwategemea

Bisaka ni mzuri lakini kwa ukumbwa wa man u, inabidi muingie sokoni

Kadri siku zinavyokwenda man u inapunguza ubora wa Bruno
Ulishawai fikiria Bruno akiichezea timu Kama man city?

Big u kwa dalot, amejua kutufichia star boy SAKA

All in all
Man u changamoto zenu ni ndogo kulinganisha Chelsea

Man u inahitaji muunganikano tu wa wachezaji, ubaya ni kuwa hao wachezaji ambao wengi wao ni tegemezi umri imeenda

mchezo ulikua mzuri, Hadi dakika ya 80 ypyote alikua anaweza kutapika points tatu, bahati ilikua upande wa arsenal. Yeah, that's a football
kongole mkorea hapa umeongea kama shabiki wa kweli wa soka sio ndugu yako Masingeli yeye ni kukandia mwanzo mwisho.
 
Back
Top Bottom