Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread


Ukweli ni kwamba man u mmecheza vizuri kuliko arsenal hasa kipindi Cha kwanza
Man u wakiwa na mpira kwenye kushambulia mlikua hatari kuliko arsenal

Kuna muda man u mlikua mnacheza kiume, Arsenal walikuwa wanacheza kivulana

Yule hojlund ambae hamisi anamkataa ni mzuri na atawasaidia Sana Sana Sana
Rashford akiwa na consistency ni mchezaji mzuri
Onana anahitaji mabeki wakufanya nae zile one-two-one-two

Tafuteni mbadala wa Eriksen na casimiro mapema

Garnacho ni kinda mwenye potential kubwa Sana

Martial sio mchezaji wa kuvaa jez ya Manchester United ata watu wakibaki 11 dunia. Inabidi akose namba

Martinez bado hajapata partner wake pale nyuma, namaanisha varane, Maguire, lindeloaf, Evans sio wa kuwategemea

Bisaka ni mzuri lakini kwa ukumbwa wa man u, inabidi muingie sokoni

Kadri siku zinavyokwenda man u inapunguza ubora wa Bruno
Ulishawai fikiria Bruno akiichezea timu Kama man city?

Big u kwa dalot, amejua kutufichia star boy SAKA

All in all
Man u changamoto zenu ni ndogo kulinganisha Chelsea

Man u inahitaji muunganikano tu wa wachezaji, ubaya ni kuwa hao wachezaji ambao wengi wao ni tegemezi umri imeenda

mchezo ulikua mzuri, Hadi dakika ya 80 ypyote alikua anaweza kutapika points tatu, bahati ilikua upande wa arsenal. Yeah, that's a football
kongole mkorea hapa umeongea kama shabiki wa kweli wa soka sio ndugu yako Masingeli yeye ni kukandia mwanzo mwisho.
 
Kuna mpya gani Unyumbuni?
Screenshot_20230903-235314_X.jpg
 
Nimeangalia mechi ya leo sikutegemea kama vijana wangejitahidi kiasi kile wamecheza vizur kwa upande wangu sijaona baya huyu Rasmus Højlund ana kitu Tusubiri Amrabat tuone ila narudia Rasmus Højlund ana kitu goli la ganacho lilikataliwa alifanya muunganiko mzur sana
 
Kuna mpya gani Unyumbuni? View attachment 2738099
Hii sasa haitakua nzr kwa Dressing room.

Nan anazungumza kwl ndo changamoto mpr umekua wakurushiana kama rede kwny hii saga.

Ten hag awe makin hawa wachezaj wa sik izi kukuuza kocha wafanye mgomo bard ni sekunde tu unafukuzwa.. Sancho hapo akikamata na Makame(Rashford) mmalikia mwenzie wakajazana ujinga lzm ten atakua mbuzi wa kafara siku ya sherehe.
 
kongole mkorea hapa umeongea kama shabiki wa kweli wa soka sio ndugu yako Masingeli yeye ni kukandia mwanzo mwisho.
mnataka kusifiwa ujinga enhee

Mpira mwingi mmecheza kwenye zone yenu tu ,Hakuna zaidi ya hapo Kuna muda ilifika walionesha mmeingia box la Arsenal mara 2 tu

Yule onana atatobolewa Sana ,
 
ni sawa kocha kusema hadharani kuhusu sancho vile ? na nikosa sancho kujibu hadharani ?
Ni Sawa kabisa

Sababu sancho hapangwi mara nyingi na kaona afunguke

Ten Hag Ana shida sana niamini mimi

Yale maneno aliyaleta kwa klopp kabla hatujawatandika saba manyu

Nkajua hamna mtu hapa
 
Okey
But so far ten hag anaweza akafanya vizuri kuliko pochetino ambae unamkubali, kila siku unawaambia Kenge wampe muda

Nilichokiona kwa ten hag ni aina ya makocha wazuri kutafuta matokeo
Ten hag ana u-jose Mourinho flani hivi kwa mbali
Pochetino anaangusgwa na eneo la GK ,na average players wengi , ukiangalia anacheza kwa mipango kuliko 7hag

Manjesta ukiacha Onana anayewafanya angalau wapige pasi 2 tatu, wakifika eneo la kiungo hawawez kutawala mechi hata kidogo ,

Arsenal tulijua ku press onana Ni kupoteza muda tukawa tunawasubiri wavuke zone ya kiungo tuchukue Mali

Wamepiga pass 200+ kwenye zone Yao ya backline na ndipo walipopata possession, eneo la Kati walivurugwa na £105m
 
Nimeangalia mechi ya leo sikutegemea kama vijana wangejitahidi kiasi kile wamecheza vizur kwa upande wangu sijaona baya huyu Rasmus Højlund ana kitu Tusubiri Amrabat tuone ila narudia Rasmus Højlund ana kitu goli la ganacho lilikataliwa alifanya muunganiko mzur sana
Kama unaona vile mmejitahidi Basi bado mna safari ndefu
 
Goal Expectation

Halafu mtu anakwambia anarudhika na walivyocheza

Arsenal (2.53) 3-1 (0.98) Man Utd
 
Pass 200 zimepigwa eneo la Beki

"Man utd mfumo wanaotumia ni kumwambia Onana piga mpira mbele mtafute Rashford aangalie namna ya kufunga goli"

Ian wrighty
20230903_211835.jpg
 
Back
Top Bottom