Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,873
- 233,408
Hapa sasa ndiyo watu wataelewa jinsi gani Ten Hag ni fala.
Mimi suala la kumpanga tu Antony kila mechi najua kuna namna anafanya wachezaji wengine wasicheze. Eneo la RW ndiyo analocheza Sancho na Pellistri.
Kinachoendelea ni kama issue ya Ronaldo na EtH. Anatuaminisha Antony ndiyo bora wakati wengine hawapi nafasi ni kwasababu tu hatupati access ya kinachoendelea Carrington ila Ten Hag ni fala.
Antony ndiyo mchezaji aliyesajiliwa na akaingia first 11 moja kwa moja na ndiyo kiazi kuliko wote.







we zombiii 









BREAKING: A third woman has now showed up accusing Antony of physical assault.
@Manchester_Utdfc