Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Alejandro Garnacho and Rasmus Hojlund have been nominated for the 2023 Golden Boy Award

#𝙏𝙧π™ͺπ™¨π™©π™π™π™šπ™‹π™§π™€π™˜π™šπ™¨π™¨π™€π™π™ƒ
#π™π™£π™žπ™©π™šπ™™π™›π™€π™§π™©π™π™šπ™π™–π™£π™¨
#π™Žπ™π™šπ™žπ™ π™π™…π™–π™¨π™¨π™žπ™’π™„π™£π˜Όπ™©π™ˆπ™–π™£π™π™©π™™
#π™‚π™‘π™–π™―π™šπ™§π™Šπ™π™
#π™‚π™‚π™ˆπ™

man utd |
IMG_20230906_202001_444.jpg
IMG_20230906_202001_839.jpg
 
Kwa mechi ya jana nimekubaliana na DAEMUSHIN alipokuwa akipiga kelele kwamba De Gea anatukosti kwenye suala la kutawala eneo lake kwa miguu. Arsenal jana walikuwa wanaogopa kumvamia Onana kama walivyokuwa wakifanya kwa DeGea sababu ya uwezo wake wa kupiga pass bila uoga.
Sema kitu pekee alikosa watu wa kuwapasia zaidi ya Eriksen aliyekuwa akishuka chini kuzifuata pasi zake.
 
Mechi nne Goli NANE, bado tunapata ujasiri wa kumtetea golikipa kama huyu, mwisho wa msimu tukijakua na - ve GD tutaanza kushikana uchawi
Kwa ukuta wa kina Maguire hata aje kipa gani - ve GD haiepukiki.
Maguire ana magoli na assists nyingi kwenye goli la timu yake kuliko mchezaji yoyote tokea kuanzishwa kwa Epl
Maguire ni foward by nature ni vile makocha tu wanaforce kumchezesha CB, huyu mwamba akipangiwa hata msimu mmoja tu kucheza pale mbele lazima achukue kiatu
 
Kwa ukuta wa kina Maguire hata aje kipa gani - ve GD haiepukiki.
Maguire ana magoli na assists nyingi kwenye goli la timu yake kuliko mchezaji yoyote tokea kuanzishwa kwa Epl
Maguire ni foward by nature ni vile makocha tu wanaforce kumchezesha CB, huyu mwamba akipangiwa hata msimu mmoja tu kucheza pale mbele lazima achukue kiatu

IMG_4796.jpg
 
Kwa ukuta wa kina Maguire hata aje kipa gani - ve GD haiepukiki.
Maguire ana magoli na assists nyingi kwenye goli la timu yake kuliko mchezaji yoyote tokea kuanzishwa kwa Epl
Maguire ni foward by nature ni vile makocha tu wanaforce kumchezesha CB, huyu mwamba akipangiwa hata msimu mmoja tu kucheza pale mbele lazima achukue kiatu






IMG_4802.png



 
Kwa ukuta wa kina Maguire hata aje kipa gani - ve GD haiepukiki.
Maguire ana magoli na assists nyingi kwenye goli la timu yake kuliko mchezaji yoyote tokea kuanzishwa kwa Epl
Maguire ni foward by nature ni vile makocha tu wanaforce kumchezesha CB, huyu mwamba akipangiwa hata msimu mmoja tu kucheza pale mbele lazima achukue kiatu
Maguire amekuwa mbuzi wa kafara vipi kocha wenu hajui hilo
 
Hapa sasa ndiyo watu wataelewa jinsi gani Ten Hag ni fala.

Mimi suala la kumpanga tu Antony kila mechi najua kuna namna anafanya wachezaji wengine wasicheze. Eneo la RW ndiyo analocheza Sancho na Pellistri.

Kinachoendelea ni kama issue ya Ronaldo na EtH. Anatuaminisha Antony ndiyo bora wakati wengine hawapi nafasi ni kwasababu tu hatupati access ya kinachoendelea Carrington ila Ten Hag ni fala.

Antony ndiyo mchezaji aliyesajiliwa na akaingia first 11 moja kwa moja na ndiyo kiazi kuliko wote.
 
Back
Top Bottom