hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,282
- 26,677
Ten egg anakosaje lawama ikiwa ananunua kipa mzuri kwenye based possession,Lakini yeye anacheza kaunta attackMnamlaumu Ten Hag sjui mnafanya maksudi tuuu, De gea anakupa matokeo mazur kama timu inategemea mfumo wa counter attack , De gea hawezi kukupa matokeo mazur kwenye mfumo wa pressing sababu kupiga Pasi kwake ni shida lazima achome tuu.... Onana huo uwezo anao , changamoto ni kuwa kama defence ni mbovu au timu inaruhusu mashambulizi Sana Kipa kama onana hawez kukupa matokeo
Huon anachofanya 7hag Ni sawa na kumfanyia operation kichwa mgonjwa wa miguu
Moja ya wachezaji walioisadia manjesta last season sababu ya mfumo wa kaunta Ni Degea

