Namfurahiaje mjomba Magwaya, yaani confo zero ila kwa Southgate humwambii kitu. Sijui ni shemejiye au mwanaupinde mwenzie?
Nilikaa na huyo jamaa akasema Hawa jamaa wanapiga Sana msako hata hatupumui,na hapo anaingia magwaya ,kelele za kutosha
Nikamwambia twende nje ,kidogo hatujatulia nasikia kelele,nikajua magwaya kafanya yake
Hii Timu tulipokuwa tunawaambia Ferguson alikuwa akibebwa na Marefa makakazenu walitupinga! Ona sasa tokea astaafu Ferguson na Howard Webb imekuwa ni Mateso na maumivu makali kwenu.View attachment 2738806View attachment 2738807
Inasikitisha sana 🙁Masebene kashatimuliwa timu ya taifa kwa kupiga mwanamke
Soon atatimuliwa manjesta ,kwangu itakuwa huzuni Sana![]()
Tungeamua sisi kucheza kwenye eneo la backline yetu kwa dk 10 tu tungepata goli ndani ya hizo dakika. Hii ni kwa sababu Onana angetoka na kuingia midfield, na sisi tungempiga chop kwa mbali.Mbinu ilikuwa kutompress onana
Manjesta wakapiga pass 200 eneo lao la Backline
Kwa Takwimu hizi wanasema walikuwa vzr![]()
Ilifikia kipindi FA na marefa wakawa wanamuona SAF kama boss wao.Allegation za kipumbavu sana. Ferguson hakubebwa na marefu. He was elite coach, kuwachukua manu ilipukuwa ina sua sua, uwezo wa kubadili wachezaj wasio hawakuwa na jina mpaka wakajulukana
Kwa record yake huwe ipata eti kwa kubebwa hakuna kitu kama hiko
Kumbe unanifatiliiaga huyo jamaaMajirani, nina swali.
Je kuna 'mutiny' pale United? Ok, mutiny ni strong sana. Yaani je kuna mvutano kati ya manager na baadhi ya wachezaji na kocha? Ukiacha Sancho, nani mwingine anavutana na kocha nyuma ya pazia?
Napendaa kuangalia posts za Mark Goldbridge YouTube. Ni bonge la ManUtd fan na he seems to think something is up, mpaka katumia neno 'mutiny'.
Mpira upi?Aseno walituzidi mpira mbali sana.
yes. napenda anavyoongea na mara nyingi yuko objective, hana bias kwa timu yake tu anapoeleza hisia na maoni yake.Kumbe unanifatiliiaga huyo jamaa