hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,254
- 26,641
Kapata content,halafu anawapiga penyewe kabisa anarusha clip ,Mason anachambua anapiga miwaAdmin wa Getafe huko Twitter / X anapiga tu kwenye mshono. Feminists hawaamini wanachokiona.![]()
Kapata content,halafu anawapiga penyewe kabisa anarusha clip ,Mason anachambua anapiga miwaAdmin wa Getafe huko Twitter / X anapiga tu kwenye mshono. Feminists hawaamini wanachokiona.![]()
Admin wa Getafe hizi sifa sasaAdmin wa Getafe huko Twitter / X anapiga tu kwenye mshono. Feminists hawaamini wanachokiona.![]()
Anatembelea upepo... Mashabiki wengi Wa Man U bado wapo na Greenwood...wamevamia post za GetafeAdmin wa Getafe hizi sifa sasa
Feminists wanareply kuwa "Getafe will be relegated next season".View attachment 2739690View attachment 2739691
Hahahaha hahaaaaaaaaaaaa.....Jana Maguire alivyokuwa anaingia sub nilikaa na jamaa mmoja wa manjesta gafla akapata BP ya moyo palepale kibanda umiza
Nikatoka nae nje akapate pepsi big ya barid, hatujakaa hata robo saa tunasikia kibanda umiza kelele za kutosha, tukajua tayarii
HII TIMU ITAWUAAA AISEEView attachment 2739190
Mtu kaziMtu nzima huyu hapa kashuka rasmi kuanza kazi Wenger orphans mkija OT mtalia sana yani.View attachment 2739777
Getafe wanatrend balaaAdmin wa Getafe huko Twitter / X anapiga tu kwenye mshono. Feminists hawaamini wanachokiona. 😄
Mwaka huu tunataka points 6 kwenuMtu nzima huyu hapa kashuka rasmi kuanza kazi Wenger orphans mkija OT mtalia sana yani.View attachment 2739777
Hahahaha hahaaaaaaaaaaaa.....
Magwaya le kepteein.



Hawa wazee mnaowaleta watakuja kufia uwanjaniMtu nzima huyu hapa kashuka rasmi kuanza kazi Wenger orphans mkija OT mtalia sana yani.View attachment 2739777
Casemiro has been dribbled past (12) more than any other player in the Premier League this seasonHawa wazee mnaowaleta watakuja kufia uwanjani
Casemiro has been dribbled past (12) more than any other player in the Premier League this season
Namfurahiaje mjomba Magwaya, yaani confo zero ila kwa Southgate humwambii kitu. Sijui ni shemejiye au mwanaupinde mwenzie?
Nilikaa na huyo jamaa akasema Hawa jamaa wanapiga Sana msako hata hatupumui,na hapo anaingia magwaya ,kelele za kutosha
Nikamwambia twende nje ,kidogo hatujatulia nasikia kelele,nikajua magwaya kafanya yake
Hii Timu tulipokuwa tunawaambia Ferguson alikuwa akibebwa na Marefa makakazenu walitupinga! Ona sasa tokea astaafu Ferguson na Howard Webb imekuwa ni Mateso na maumivu makali kwenu.View attachment 2738806View attachment 2738807