Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ukweli ni kwamba, Ten Hag ameshafeli na hakuna cha maana atafanya. Sajili zake nyingi hazijaleta mabadiliko kwenye timu.

Amefeli kuanzia sajili alizofanya (Malacia, Antony, straika lile ngogoti Vegosti, Onana, Eriksen, Mount na Sabitizer-sina hakika na speliing za jina)

Amefeli kwenye staili ya uchezaji (hadi sasa timu inacheza kubahatisha matokeo).

Bora hata Mourinho mzee wa kupaki basi ama mara 10 ya Sosha.

Ten Hag ameshafeli, tusubiri kocha ajaye tuone atafanya nini.
 
Antony naye wazungu watamla kichwa. Domestic violence inatafuna right wingers zetu zote.

Nasubiri kuona mtoto wa Ten Hag akipata treatment aliyopata Greenwood.

Sancho naye akiadhibiwa Ten Hag atabaki na Pellistri. 😂

Life comes at you fast!
 
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230905_024315_339.jpg
 
Official, confirmed. Eric Bailly signs in as new Besiktas player on permanent deal from Man United

One year contract, completed.

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230905_024520_772.jpg
 
#Arsenal tulimaliza mechi na 55% possession, but mashabiki wa manjesta wanadai walicheza vizuri

Arsenal tulizalisha xG ya 2.53 dhidi ya 0.98 man united ,Two big chances Kai & Saka

Tulipiga 209 passes katika final third ya manjesta wakati wao walipiga pass 74 tu kwenye final third ya Arsenal,kwa dakika 100

Ni 16% tu ya pass zote za man united ndio walipiga kwenye final third ya Arsenal ,nyingine zote walipiga kwenye backline Yao na chache eneo la kiungo , compared to Arsenal walipiga 40 % ya pass zote kwenye final third ya man u

Key area domination.
Kama wewe ni shabiki kweli wa mpira huwezi kujifariji kwa ushindi wa jana. Kama mlikiwa na full kikosi na mkacheza mpira kama ule na ushindi wa papatu papatu ambao kwa kiasi kikubwa ulichangiwa na maamuzi yenye utata utata kwa kweli safari yenu sio nzuri sana na nadhani mda sio mrefu mtaanza kumtukana kocha kama sio wachezaji.

Ikiwa utd yenye majeruhi wengi kiasi kile iliwasumbua vile nawashauri jiandaeni kisaikolojia tusije tukalaumiana humu, nakumbuka mwaka jana tuliwaambia hamna uwezo wa kuchukua ubingwa kwa kuwa wachezaji wenu wana utoto mwingi, mkaturushia matusi mkadai tunawaonea wivu. Msimu huu pia kocha wenu kasajili wachezaji ambao hawajawahi hata kuliona kombe la EPL lina rangi gani ila mnajipa matumani ya kuchukua kombe, sawa imani ni yenu msije sema hatukuwaambia.
 
Utakua ni mjinga sana kama huelewi impact ya majeruhi kwenye soka, especially majeruhi ya first eleven. Na budget aliopewa haikuruhusu kupata wachezaji bila kutoa waliopo hata kama dirisha lisingefungwa.

United ina watu 6 wanaoweza cheza CB, wachezaji wanne ambao ni chaguo la kwanza la kocha wameumia, tunamaliza game na 5th & 6th choice CB, kama una akili timamu lazima utegemee ubora wa defence line yetu upungue, Na huo ndio muda ambao tumepoteza mechi.

Pia kuna game plan za kucheza na tim kama arsenal, city na barca ya zamani, mpira lazima uwaachie wao then wewe utegee counter.
Kuzidiwa kila kitu haimaanishi ulikua mbovu, ila ndo game plan inavotaka, kama unaangalia mpira kwa mda mrefu, game tatu za nyuma tulizomfunga arsenal tulizidiwa kila kitu ila counter ndo zinatupa matokeo.

Usiite uchambuzi wa mwenzio Uharo.
Angalia stats za Match day 3 kati ya Brighton na Westham ujifunze kitu
View attachment 2739538View attachment 2739537
Na wewe ndio walewale,ni kupoteza muda kujibishana na nyie ambao mnataka kutuaminisha kwamba tuna Timu wakati ni UHARO tu,dakika 100 tupige Kona 3 halafu tuseme tuli-dominate mchezo!!!hii ni Man U UHARO kuliko Man U zote tangu Timu ianzishwe
 
Na wewe ndio walewale,ni kupoteza muda kujibishana na nyie ambao mnataka kutuaminisha kwamba tuna Timu wakati ni UHARO tu,dakika 100 tupige Kona 3 halafu tuseme tuli-dominate mchezo!!!hii ni Man U UHARO kuliko Man U zote tangu Timu ianzishwe
SAWA TUISHIE HAPA KONA BOY.
MTAALAM WA KONA
 
Kama wewe ni shabiki kweli wa mpira huwezi kujifariji kwa ushindi wa jana. Kama mlikiwa na full kikosi na mkacheza mpira kama ule na ushindi wa papatu papatu ambao kwa kiasi kikubwa ulichangiwa na maamuzi yenye utata utata kwa kweli safari yenu sio nzuri sana na nadhani mda sio mrefu mtaanza kumtukana kocha kama sio wachezaji.

Ikiwa utd yenye majeruhi wengi kiasi kile iliwasumbua vile nawashauri jiandaeni kisaikolojia tusije tukalaumiana humu, nakumbuka mwaka jana tuliwaambia hamna uwezo wa kuchukua ubingwa kwa kuwa wachezaji wenu wana utoto mwingi, mkaturushia matusi mkadai tunawaonea wivu. Msimu huu pia kocha wenu kasajili wachezaji ambao hawajawahi hata kuliona kombe la EPL lina rangi gani ila mnajipa matumani ya kuchukua kombe, sawa imani ni yenu msije sema hatukuwaambia.
Aseno walituzidi mpira mbali sana.
 
Kuna taarifa hizi sijui Kama Zina ukweli ,

Amrabat’s out for 6 weeks…
 
Tensions have been building between Ten Hag and Sancho, with the #mufc manager unhappy with the winger’s performances in training for weeks, leading to the selection of academy prospects Hannibal Mejbri and Dan Gore on the substitutes’ bench ahead of the 23-year-old on Sunday.

[Guardian]
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
 
Sancho’s riposte has not gone down well at Old Trafford and club insiders were debating on Monday whether the former Borussia Dortmund man would play for the club again. That said, the transfer window is closed except for in a few countries outside Europe, including Saudi Arabia and Qatar

[Times]
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
 
Ten Hag is bitterly disappointed by Sancho’s actions given the lengths to which he has gone to try to help to kickstart Sancho’s career since taking over as United manager.

[TelegraphDucker]
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
 
It has emerged that Erik ten Hag’s preference for starting Antony on the right wing is believed to be one of Jadon Sancho’s gripes with the #mufc manager.

[Daily Mail]
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
 
Jadon Sancho could face disciplinary action at #MUFC with Erik ten Hag standing by his explanation for his absence from the squad yesterday

[Tyrone Marshall]
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
 
Admin wa Getafe huko Twitter / X anapiga tu kwenye mshono. Feminists hawaamini wanachokiona. 😄
 
Nnachotaka kuona ni Official Statement kutoka United kuhusu Antony.

Kusiwe na double standards. Antony akae pembeni uchunguzi ufanyike.
20230905_130829.jpg
 
Back
Top Bottom