Mbabani
JF-Expert Member
- Jun 20, 2022
- 2,368
- 6,717
Ukweli ni kwamba, Ten Hag ameshafeli na hakuna cha maana atafanya. Sajili zake nyingi hazijaleta mabadiliko kwenye timu.
Amefeli kuanzia sajili alizofanya (Malacia, Antony, straika lile ngogoti Vegosti, Onana, Eriksen, Mount na Sabitizer-sina hakika na speliing za jina)
Amefeli kwenye staili ya uchezaji (hadi sasa timu inacheza kubahatisha matokeo).
Bora hata Mourinho mzee wa kupaki basi ama mara 10 ya Sosha.
Ten Hag ameshafeli, tusubiri kocha ajaye tuone atafanya nini.
Amefeli kuanzia sajili alizofanya (Malacia, Antony, straika lile ngogoti Vegosti, Onana, Eriksen, Mount na Sabitizer-sina hakika na speliing za jina)
Amefeli kwenye staili ya uchezaji (hadi sasa timu inacheza kubahatisha matokeo).
Bora hata Mourinho mzee wa kupaki basi ama mara 10 ya Sosha.
Ten Hag ameshafeli, tusubiri kocha ajaye tuone atafanya nini.







️
️
Arsenal tulizalisha xG ya 2.53 dhidi ya 0.98 man united ,Two big chances Kai & Saka
