Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hii timu inashika nafasi ya 3 mkiani kwa kuingia mara chache kwenye box la mpinzani


Kuna watu wanakwambia tupo vzr
Ajabu wewe mwenye touches nyingi unazidiwa nafasi hadi goal difference na wenye touches chache kama City, Liverpool na Westham.

Hii inamaanisha nini? Maana yake bado hata wewe unajitafuta ukizembea utaikosa top four msimu huu watu wanauwasha kweli kweli kulinganisha na msimu uliopita.
IMG_20230904_194411.jpg
 
View attachment 2738747


Hapa kuna mtu sijui sasa rashford na anthony kama wataweza kwenda nae sambamba wakiacha ubinafsi hili ni tatizo pale mbele ni moto haswaa kuna beki jana kaacha mpira kamdaka mwili mzima kwenye 18

Rasmus Højlund
beki mwenyewe ni Magalasa, alikua anapelekewa moto mpaka anakaba kwa mikono.
Tena hii ilikua penalt kabisa lakini kwa masikitiko makubwa refa na chumba cha VAR wote jana waliibetia Arsenyo hawakua tayari kuchana mikeka yao.
1693845737918.jpg
 
Wachambuzi nguli wanahoji playing style

Hakika wachambuzi nguli tuna hoja


Darren: “What’s their style of play?”

Andy: “It’s a work in progress. I’ll answer that question when everyone is fit.”

Darren Bent & Andy Goldstein debate if Erik ten Hag has implemented a style at #MUFC
 
Mnaenda kucheza na Bayern. Kule Bundesliga Harry kane anaongoza kwa Short on target. Yajayo yanafurahisha.
Tafuteni kipa wa kueleweka
 
beki mwenyewe ni Magalasa, alikua anapelekewa moto mpaka anakaba kwa mikono.
Tena hii ilikua penalt kabisa lakini kwa masikitiko makubwa refa na chumba cha VAR wote jana waliibetia Arsenyo hawakua tayari kuchana mikeka yao. View attachment 2739036
Endeleeni kudanganyana tu mkija kushtuka mmeng'ang'aniwa nafasi ya 12


Brighton ya master Di zerbi inawasubiri ,bado hujaacha point 9 away kwa city, Liverpool, Astonvilla,

Mkija kushtuka January hii hapa ,onana anaenda AFCON ,anadaka huyo pazia mwingine ,

Kufika February Hali tete
 
Rasmus alimaind kwenye hii move. Baada ya Rashid kupiga ule mpira ukaishia kwa mabeki akarusha mikono juu kwa hasira,yaan ingekuwa inawezekana kuingia ndani ya Tv basi jana ningeingia nkampige mawe yule umbwa Rashid
Kajinga sana ka rashford
 
𝐍𝐈 𝐀𝐈𝐁𝐔

.....Natumaini Mmeiona Timu Hii Yenye Mang'amu Ng'amu Anatolewa Beki Aliesababisha Goli La Kwanza Kwa Arsenal Anaingia Aliesababisha Goli La 2 Kwa Arsenal Kuna Nyakati Nilisema Timu Inahitaji Beki Wa Kati Hii Kuna Waliosema Evans Anatufaa Sana.

Beki Maguire Ana Miaka 31 Anaefuata Varane 32 Harafu Kuna Evans 33 Kweli Timu Iko Siriazi Na Mashindano Hii Ukiachana Na Hayo Bissaka Kazuia Cross Za Martinel 8 Zote Kona Na Alipokosekana Tu Upande Wake Lindelof Hakuonekana Kuzuia Mpira Uliomfikia Ødegard .

Kabla Hamjampa Lawama Onana Mmeangalia Big Chance Zilizotengenezwa Na Timu Yenu ?
Arsenal Katengeneza 2 Manchester United 1 Saves 2 Kwa Onana Na 1 Kwa Ramsdale .

Timu Imepiga Mashuti 2 On Target 8 Off Target Huku Arsenal Akipiga 12 Off Target Na 5 On Target Kona Akiwa Nazo 13 Na Manchester United Akiwa Nazo 3 Tu..

Ten Hag Arudi Tena Uwanja Wa Mazoezi Huu Mfupa Anao Na Ligi Ndio Hiyo Inaanza Machday Ya 4 Hii Point 6 Ni Kama Msimu Uliopita Tu Kwenye Mechi 4 Za Kwanza Point 6 .

Kingine Nilicho Kiona Ni Team Nzima Ya Arsenal Wamecheza Kwenye Rate Ya 7.0 Kwenda Juu Ambao Walikua Chini Ya Kiwango Ni Havertz Na Ramsdale Wenye 6.8 Tu.

Take Note: Nje Kuna Maguire Na Evans Na Kocha Kashaona Martinez Ana Njano Ndie Beki Anae Mtegemea Ukiachana Na Varane Harafu Kaumia Utafanya Nini Kama Wewe Ndie Ten Hag ?

Mjumbe Nakwenda
 
Jana Maguire alivyokuwa anaingia sub nilikaa na jamaa mmoja wa manjesta gafla akapata BP ya moyo palepale kibanda umiza

Nikatoka nae nje akapate pepsi big ya barid, hatujakaa hata robo saa tunasikia kibanda umiza kelele za kutosha, tukajua tayarii

HII TIMU ITAWUAAA AISEE
20230904_222824.jpg
 
Back
Top Bottom