Kumar Singh
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 1,027
- 2,316
Ajabu wewe mwenye touches nyingi unazidiwa nafasi hadi goal difference na wenye touches chache kama City, Liverpool na Westham.Hii timu inashika nafasi ya 3 mkiani kwa kuingia mara chache kwenye box la mpinzani
Kuna watu wanakwambia tupo vzr![]()
Hii inamaanisha nini? Maana yake bado hata wewe unajitafuta ukizembea utaikosa top four msimu huu watu wanauwasha kweli kweli kulinganisha na msimu uliopita.


Darren: “What’s their style of play?”
Andy: “It’s a work in progress. I’ll answer that question when everyone is fit.”


