Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mimi na kazi kubwa na namiliki kampuni inayoingiza million 50 kwa mwezi,huenda ukawa mmoja wa mfanyakaz wangu,Kuna mwenzako yupo humu Ni dereva wangu na hajijui , naongoza watu 100+ as manager ,

Ukitaka tuweke payslip hapa

Kuwa na adabu kijana ,sio wote wanafanya kazi physical wengine brain tu .

Huna bhana hata nafsi yako inakusutu kwa utoto wako
 
Ukuta wa Berlin
20230901_093527.jpg
 
Nasema hivi kuanzia jumapili nalitaka hili jukwaa

Nendeni kwa mwamposa labda atawaepusha na kipigo View attachment 2735305
wewe piga porojo zako tu humu ila mwenyewe unajua zimebaki siku 2 tu ujipige ban mwenyewe.
Hio jumapili tukiwafunga Mc Masingeli utapigwa mande na sisi pamoja na mashabiki wenzako wa Arsenyau waliochoka na hiyo mipasho yako ya taarabu.
 
Kwenu kule mbna hamtoi support kwa nabii wenummekataa shetani na kazi zake zote
Kule the Gunner Sasa hivi tunaongea lugha moja

Ukiona tunarumbana kwa hoja, elewa kuwa watu wanataka kilicho Bora zaidi
 
Nawapongezeni sana kwa kusajili goli kipa. Nadhani mmefata ushauri wangu niliwaambia Onana sio kipa wa kuja nae Anfield maana ni pazia. At least huyu mliosajili anajitahidi.
 
Nawapongezeni sana kwa kusajili goli kipa. Nadhani mmefata ushauri wangu niliwaambia Onana sio kipa wa kuja nae Anfield maana ni pazia. At least huyu mliosajili anajitahidi.
Huyo ni backup GK namba 1 atabaki Onana punguza ujuaji kumbe ni ushamba tu
 
Inaonekana mpira unaangalia kwenye comment za jf..

Chidi kawapiga goli 3 game mbili za mwisho, kama una akili timamu inatakiwa uogope.
Hakuna mchezaji hapo kasharud default settings

Jumapili anaweza asipate hata on target
 
wewe piga porojo zako tu humu ila mwenyewe unajua zimebaki siku 2 tu ujipige ban mwenyewe.
Hio jumapili tukiwafunga Mc Masingeli utapigwa mande na sisi pamoja na mashabiki wenzako wa Arsenyau aliochoka na hiyo mipasho yako ya taarabu.
Mimi Ni Jeshi halafu muhuni ,pastor ,mwisho mchambuzi nguli niliyebobea


Jumapili omba Sana tusishinde


Huna timu ya kuzuia msako pale Emirates
 
7hag anaingia kwenye list ya makocha wa mchongo niliowahi waona

Sajili za kubahatisha

No playing style installed

No proper tactics

Anajifanya ana maamuzi magumu ,kumbe tapeli

20230831_141733.jpg
 
Back
Top Bottom