Dish
JF-Expert Member
- Jun 3, 2019
- 628
- 930
Mimi na kazi kubwa na namiliki kampuni inayoingiza million 50 kwa mwezi,huenda ukawa mmoja wa mfanyakaz wangu,Kuna mwenzako yupo humu Ni dereva wangu na hajijui , naongoza watu 100+ as manager ,
Ukitaka tuweke payslip hapa
Kuwa na adabu kijana ,sio wote wanafanya kazi physical wengine brain tu .
Huna bhana hata nafsi yako inakusutu kwa utoto wako



mmekataa shetani na kazi zake zote
