Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nawapongezeni sana kwa kusajili goli kipa. Nadhani mmefata ushauri wangu niliwaambia Onana sio kipa wa kuja nae Anfield maana ni pazia. At least huyu mliosajili anajitahidi.
Huyo ni backup GK namba 1 atabaki Onana punguza ujuaji kumbe ni ushamba tu
 
Inaonekana mpira unaangalia kwenye comment za jf..

Chidi kawapiga goli 3 game mbili za mwisho, kama una akili timamu inatakiwa uogope.
Hakuna mchezaji hapo kasharud default settings

Jumapili anaweza asipate hata on target
 
wewe piga porojo zako tu humu ila mwenyewe unajua zimebaki siku 2 tu ujipige ban mwenyewe.
Hio jumapili tukiwafunga Mc Masingeli utapigwa mande na sisi pamoja na mashabiki wenzako wa Arsenyau aliochoka na hiyo mipasho yako ya taarabu.
Mimi Ni Jeshi halafu muhuni ,pastor ,mwisho mchambuzi nguli niliyebobea


Jumapili omba Sana tusishinde


Huna timu ya kuzuia msako pale Emirates
 
7hag anaingia kwenye list ya makocha wa mchongo niliowahi waona

Sajili za kubahatisha

No playing style installed

No proper tactics

Anajifanya ana maamuzi magumu ,kumbe tapeli

20230831_141733.jpg
 
Most of football fans wanasema kwa pira makande pira butua butua la a Dutch David Moyes Erik 7 Egg

Hawaioni manjesta ikitoboa makundi UCL


Zaidi ya fans 100,000+ wanasema kwa manjesta hii ,Baryen na Gala ndio watavuka

Cha ajabu watakuja wapuuzi fulan humu wataniandama Mimi


Mimi Ni mjumbe tu
20230901_120312.jpg
 
Unamuuza Henderson ,Kovar magoal kipa wazuri ,

Unaleta kipa wa Majaribio toka kilabu kinaitwa anatanyalisp huko,

Means safari hii Carabao energy drink cup ,FA cup na January,Omama akienda AFCON huyu mcheza movie za uturuki ndio akae Golini

Nyumbu mko serious kweli


7hag ruined talents coz ana ZERO TALENT ID

20230901_122138.jpg
 
Unamuuza Henderson ,Kovar magoal kipa wazuri ,

Unaleta kipa wa Majaribio toka kilabu kinaitwa anatanyalisp huko,

Means safari hii Carabao energy drink cup ,FA cup na January,Omama akienda AFCON huyu mcheza movie za uturuki ndio akae Golini

Nyumbu mko serious kweli


7hag ruined talents coz ana ZERO TALENT ID

View attachment 2735502
Wewe auna uwezo wa kunifunga hata goal 4 toka miaka na miaka unapiga kelele tu.
 
Ina maana hawamuoni a Dutch David Moyes Erik 7 Egg


| Jamie Redknapp on Roberto De Zerbi:


“He’s potentially one of the great managers of all time.”

[@SkySportsPL]
 
tuwekane sawa wakuu ⚽️
mara ya mwisho kunyenyua kwapa kwenye EPL ni msimu wa 2012/2013. hivyo mnamiaka 10 sasa punde itakuwa 11.

mara ya mwisho kuchukua UCL ni 2008
miaka 15 mpaka sasa bila UCL.

Utabiri wangu
EPL mtachukua baada ya miaka 40😇
UCL mtachukua baada ya miaka 60😁
 
Back
Top Bottom