Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hii season tutacheza moira mzuri kuliko last season.
second phase in EPL table ( kwenye ligi tunakaa namba mbili)
UEFA ni quarter au semi, me naamini ten hag anajua sana.
7hag Hana mbinu za kufundisha mpira mzuri ,acha kuwadanganya wenzako


7hag Ni kocha mbahatishaji,

Angalia hata sajili zake nyingi anasajili akisubiri miujiza itokee
 
The last time a player Scored against Arsenal on his Debut flopped....
Rasmus don't you dare
20230830_105408.jpg
 
Amrabat Amesaidia Florentina kubeba kombe gani?
Mkopo kwa €10m ,

Mchezaji amekuja sababu ya connection ya 7hag

Another Utapeli

7hag Ni dalali

Kwa Weghost alipata commission

Kwa Hojlund alimwambia amfukuze wakala wake ajiunge na wakala ambaye ni wa 7hag , wakala akapata 10% , 7hag ana commission

Amrabat hivo hivo wanajuana toka Utriech,akamwambia asiende timu nyingine ,atamleta unyumbuni kwa vyovyote , now kasajiliwa kwa mkopo wa €10m , hapo 7hag ana commission yake
 
Lile pira magimbi pira kokoto butua butua pira makande ndio mpira mzuri?

Aisee hapa ndo nnapokubaliana na PogbaView attachment 2735749
Ametumia £400m+ timu haiwez kupiga hata pass 10 kwa usahihi

Halafu wanadanganyana manjesta itacheza mpira mzuri

Naomba mnoti jina huyo jamaa

Nataka tuwe tunamkumbusha hapa

Najua atakimbia Kama mwenzake ARV ,yeye anatokea timu ikishinda tu
 
Ametumia £400m+ timu haiwez kupiga hata pass 10 kwa usahihi

Halafu wanadanganyana manjesta itacheza mpira mzuri

Naomba mnoti jina huyo jamaa

Nataka tuwe tunamkumbusha hapa

Najua atakimbia Kama mwenzake ARV ,yeye anatokea timu ikishinda tu
Wanabadili I'd hao utawaweza kina milangomitatu
 
Mkopo kwa €10m ,

Mchezaji amekuja sababu ya connection ya 7hag

Another Utapeli

7hag Ni dalali

Kwa Weghost alipata commission

Kwa Hojlund alimwambia amfukuze wakala wake ajiunge na wakala ambaye ni wa 7hag , wakala akapata 10% , 7hag ana commission

Amrabat hivo hivo wanajuana toka Utriech,akamwambia asiende timu nyingine ,atamleta unyumbuni kwa vyovyote , now kasajiliwa kwa mkopo wa €10m , hapo 7hag ana commission yake
Kwa weghost kumbe alipata permission
 
Mkopo kwa €10m ,

Mchezaji amekuja sababu ya connection ya 7hag

Another Utapeli

7hag Ni dalali

Kwa Weghost alipata commission

Kwa Hojlund alimwambia amfukuze wakala wake ajiunge na wakala ambaye ni wa 7hag , wakala akapata 10% , 7hag ana commission

Amrabat hivo hivo wanajuana toka Utriech,akamwambia asiende timu nyingine ,atamleta unyumbuni kwa vyovyote , now kasajiliwa kwa mkopo wa €10m , hapo 7hag ana commission yake
Inaonekana una stress bro! Pole
 
Bukayo Saka ametaja goli dhidi ya nyumbu msimu uliopita ni bao analopenda zaidi alilofunga wakati wa uchezaji wake hadi sasa.

Mechi Inayofuata Ni vs manjesta
20230901_164915.jpg
 
Back
Top Bottom