AlooInaonekana una stress bro! Pole
So it means hatuchukui kombe lolote msimu huu then unasema 7Hag anajua? Anajua nini sasa?Hii season tutacheza moira mzuri kuliko last season.
second phase in EPL table ( kwenye ligi tunakaa namba mbili)
UEFA ni quarter au semi, me naamini ten hag anajua sana.
Huyu mount alikuwa target ya Liverpool before hatujamchukua... Unataka kusema Klopp nae hana talent Id... Mpaka kuwa target kuna kitu kimeonekana kwake... Hata Kai si alikuwa anatakiwa na Bayern kuna kitu anacho.... Ni swala la Muda kocha ndo anayejua mkuuSasa hayo ni maneno yangu au ya Rio?
Halafu Kwan uongo mount hamjapigwa ?
ni mchezaji wa kawaida sana. Msiwe na imani nae kupitiliza . Ukiweka mctomny na amrabat namfata mctomnyAmbrat keshatua naimani kubwa sana na kazi zake, kuna kitu timu yetu inaenda ongeza.
Anaweza kuwa mchezaji mzuri ila jiulize 7hag alimsajili kwa malengo maalumu au kubahatishaHuyu mount alikuwa target ya Liverpool before hatujamchukua... Unataka kusema Klopp nae hana talent Id... Mpaka kuwa target kuna kitu kimeonekana kwake... Hata Kai si alikuwa anatakiwa na Bayern kuna kitu anacho.... Ni swala la Muda kocha ndo anayejua mkuu View attachment 2735781
Na hakuna atayekuzuia kumfuatani mchezaji wa kawaida sana. Msiwe na imani nae kupitiliza . Ukiweka mctomny na amrabat namfata mctomny
Anatoa Baba ako hiyo commission?Mkopo kwa €10m ,
Mchezaji amekuja sababu ya connection ya 7hag
Another Utapeli
7hag Ni dalali
Kwa Weghost alipata commission
Kwa Hojlund alimwambia amfukuze wakala wake ajiunge na wakala ambaye ni wa 7hag , wakala akapata 10% , 7hag ana commission
Amrabat hivo hivo wanajuana toka Utriech,akamwambia asiende timu nyingine ,atamleta unyumbuni kwa vyovyote , now kasajiliwa kwa mkopo wa €10m , hapo 7hag ana commission yake
Mchezaji alifanya vzr mech 3 za world cup ,ni mchezaji wa kawaida sana. Msiwe na imani nae kupitiliza . Ukiweka mctomny na amrabat namfata mctomny
Watakuja kumkataa .. waache wajifanye wanamjua sanaMchezaji alifanya vzr mech 3 za world cup ,
Big teams zilikuwa zinatafuta DM , wakapambania signing za Caicedo, Rice ,Palhinha ,
Hawakumuona huyo Amrabat kwa £21m?
He is average player
Usiwe na hasira kaa kwa kutuliaAnatoa Baba ako hiyo commission?
Acha kujipa umuhimu kwenye yasiyokuhusu
Wapo desperate na sajili ,wanasahau 7hag anabahatisha tu ,Ni juzi alikuwa anamtaka Kukubela , Chelsea wamewakazia kwenye loan fee ,Watakuja kumkataa .. waache wajifanye wanamjua sana
Mkuu kajulikania world cup au wewe na wenzio ndio mmemjulia world cup? Kuna tofauti kubwa sana hapo.Wapo desperate na sajili ,wanasahau 7hag anabahatisha tu ,Ni juzi alikuwa anamtaka Kukubela , Chelsea wamewakazia kwenye loan fee ,
Huyu Amrabat yupo fiorentina miaka yote ,walishajiuliza kwann kajulikania world cup kwa mechi 3
Tumejiandaa vizuri kabisapesa ya usajili wa Mason Mount ilipaswa iwekezwe kwa james maddison.
sijawahi kuyafikiria maisha bila ya bruno kwa siku za karibuni.
Je tumejiandaa?