IamMrLiverpool
JF-Expert Member
- Apr 27, 2014
- 4,735
- 7,080
Amrabat Amesaidia Florentina kubeba kombe gani?
7hag Hana mbinu za kufundisha mpira mzuri ,acha kuwadanganya wenzakoHii season tutacheza moira mzuri kuliko last season.
second phase in EPL table ( kwenye ligi tunakaa namba mbili)
UEFA ni quarter au semi, me naamini ten hag anajua sana.
Lile pira magimbi pira kokoto butua butua pira makande ndio mpira mzuri?Hii season tutacheza moira mzuri kuliko last season.
second phase in EPL table ( kwenye ligi tunakaa namba mbili)
UEFA ni quarter au semi, me naamini ten hag anajua sana.
Mkopo kwa €10m ,Amrabat Amesaidia Florentina kubeba kombe gani?
Cr7 alisema 7hag Hakuna kochaLile pira magimbi pira kokoto butua butua pira makande ndio mpira mzuri?
Aisee hapa ndo nnapokubaliana na PogbaView attachment 2735749
Yule alisajiliwa kwa ajili ya mikimbio yake mizuriCr7 alisema 7hag Hakuna kocha
Walimuona mbaya
Akamuondoa Cr7 akamleta mpwa wake Weghost ,ambaye had anaondoka EPL ana goli 0
Ametumia £400m+ timu haiwez kupiga hata pass 10 kwa usahihiLile pira magimbi pira kokoto butua butua pira makande ndio mpira mzuri?
Aisee hapa ndo nnapokubaliana na PogbaView attachment 2735749
Kocha mzuri utamjua kwa sajili zake analenga NiniYule alisajiliwa kwa ajili ya mikimbio yake mizuriView attachment 2735750
Wanabadili I'd hao utawaweza kina milangomitatuAmetumia £400m+ timu haiwez kupiga hata pass 10 kwa usahihi
Halafu wanadanganyana manjesta itacheza mpira mzuri
Naomba mnoti jina huyo jamaa
Nataka tuwe tunamkumbusha hapa
Najua atakimbia Kama mwenzake ARV ,yeye anatokea timu ikishinda tu
Kwa weghost kumbe alipata permissionMkopo kwa €10m ,
Mchezaji amekuja sababu ya connection ya 7hag
Another Utapeli
7hag Ni dalali
Kwa Weghost alipata commission
Kwa Hojlund alimwambia amfukuze wakala wake ajiunge na wakala ambaye ni wa 7hag , wakala akapata 10% , 7hag ana commission
Amrabat hivo hivo wanajuana toka Utriech,akamwambia asiende timu nyingine ,atamleta unyumbuni kwa vyovyote , now kasajiliwa kwa mkopo wa €10m , hapo 7hag ana commission yake





Inaonekana una stress bro! PoleMkopo kwa €10m ,
Mchezaji amekuja sababu ya connection ya 7hag
Another Utapeli
7hag Ni dalali
Kwa Weghost alipata commission
Kwa Hojlund alimwambia amfukuze wakala wake ajiunge na wakala ambaye ni wa 7hag , wakala akapata 10% , 7hag ana commission
Amrabat hivo hivo wanajuana toka Utriech,akamwambia asiende timu nyingine ,atamleta unyumbuni kwa vyovyote , now kasajiliwa kwa mkopo wa €10m , hapo 7hag ana commission yake
Wamemaliza miaka 7 bila UEFA Champions league, Arteta tangu 2019 hana anachofanya wanachukua makombe ya mpira mzuri.Kuna kejeli nyingi humu za mashabiki wa arsenal, hawa kila wakati wanataka kujilinganisha na sisi lakini kiuhalisia wanajijua hamna kitu, mwaka jana tumewazidi mafanikio na mwaka huu tutawizidi pia.
Cry moreWamemaliza miaka 7 bila UEFA Champions league, Arteta tangu 2019 hana anachofanya wanachukua makombe ya mpira mzuri.
AlooInaonekana una stress bro! Pole