allypipi
JF-Expert Member
- May 10, 2020
- 3,322
- 10,887
Moyes alisepaTen hag hawez kazi, asepe.
Van ga alisepa
Mourinho alisepa
Ole alisepa
Tatizo la man u ni zaidi ya kocha.
Moyes alisepaTen hag hawez kazi, asepe.
😂 Kweli kabisa leo sijaangalia mechi. Nilitaka kushawishika kuangalia (nalipenda sana chama langu) ila huo muda wa kuangalia upuuzi leo sina.Zima hiyo TV bwanaaa
Uongozi mzimaMoyes alisepa
Van ga alisepa
Mourinho alisepa
Ole alisepa
Tatizo la man u ni zaidi ya kocha.
Kwa miaka yangu 20 ya kufuatilia manchester united nakumbuka nilipumzika wakati wa louis van gaal baada ya kufungwa goli 5 na leicester city.😂 Kweli kabisa leo sijaangalia mechi. Nilitaka kushawishika kuangalia (nalipenda sana chama langu) ila huo muda wa kuangalia upuuzi leo sina.
Labda siku Antony akianzia bench ndiyo nitachungulia kidogo. Kumpanga Antony kila mechi ni kudhoofisha timu. Imagine kila mtu Duniani anajua Antony hapaswi kuanza ila kila mechi yupo. Wachezaji wenzie lazima waone siyo haki.
Naw si magwaya wa watuKweli kabisa leo sijaangalia mechi. Nilitaka kushawishika kuangalia (nalipenda sana chama langu) ila huo muda wa kuangalia upuuzi leo sina.
Labda siku Antony akianzia bench ndiyo nitachungulia kidogo. Kumpanga Antony kila mechi ni kudhoofisha timu. Imagine kila mtu Duniani anajua Antony hapaswi kuanza ila kila mechi yupo. Wachezaji wenzie lazima waone siyo haki.
Link ya games jamani wengine huku TANESCO wanatusomesha namba.






Safari hii sio zamu ya kocha kusepa, hii ni zamu ya Glazers na management nzima kusepa.Moyes alisepa
Van ga alisepa
Mourinho alisepa
Ole alisepa
Tatizo la man u ni zaidi ya kocha.
Rashford anakwenda anakwenda mpk anapoteza kizembe wakati Bruno kapambana kiume mpaka kumpa pasi.
Wachezaji wote wangekuwa na fighting spirit kama Bruno timu ingekuwa mbali.