Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Zima hiyo TV bwanaaa
😂 Kweli kabisa leo sijaangalia mechi. Nilitaka kushawishika kuangalia (nalipenda sana chama langu) ila huo muda wa kuangalia upuuzi leo sina.

Labda siku Antony akianzia bench ndiyo nitachungulia kidogo. Kumpanga Antony kila mechi ni kudhoofisha timu. Imagine kila mtu Duniani anajua Antony hapaswi kuanza ila kila mechi yupo. Wachezaji wenzie lazima waone siyo haki.
 
Msisahau..baadae ataingia Elanga..na hii beki yetu ya Dalot na Martinez tumekwisha.
 
😂 Kweli kabisa leo sijaangalia mechi. Nilitaka kushawishika kuangalia (nalipenda sana chama langu) ila huo muda wa kuangalia upuuzi leo sina.

Labda siku Antony akianzia bench ndiyo nitachungulia kidogo. Kumpanga Antony kila mechi ni kudhoofisha timu. Imagine kila mtu Duniani anajua Antony hapaswi kuanza ila kila mechi yupo. Wachezaji wenzie lazima waone siyo haki.
Kwa miaka yangu 20 ya kufuatilia manchester united nakumbuka nilipumzika wakati wa louis van gaal baada ya kufungwa goli 5 na leicester city.

Kwangu manchester united ni uraibu mgumu kuachana nao
 
Kweli kabisa leo sijaangalia mechi. Nilitaka kushawishika kuangalia (nalipenda sana chama langu) ila huo muda wa kuangalia upuuzi leo sina.

Labda siku Antony akianzia bench ndiyo nitachungulia kidogo. Kumpanga Antony kila mechi ni kudhoofisha timu. Imagine kila mtu Duniani anajua Antony hapaswi kuanza ila kila mechi yupo. Wachezaji wenzie lazima waone siyo haki.
Naw si magwaya wa watu
 
Na timu yetu inau gonjwa wa tukifungwa tu tukaingia kipindi cha pili kupigwa goal la fast fast.
 
Kama nilivyosema sina mzuka sana na hili litimu baada ya kumfanyia Bwana mdogo vile, eti kusikiliza wanawake wakati timu ilianza ya wananume.

Sawa basi nasemje watandikwe kisawasawa ikiwezekana waifanye timu ya wanawake ichukue ya wanaume.


Wapumbavu wakubwa.


Awoniyi another one please.

Alafu cha kushangaza eti tunaogopa Elanga akiingia hatupati ushindi wakati akiwa kwetu tulimuona takataka asee maajabu.
 
Na hapo mechi ijayo ni ya Arsenal vs man utd

Pipa vs mfuniko mechi ya sare hio
 
Moyes alisepa

Van ga alisepa

Mourinho alisepa

Ole alisepa

Tatizo la man u ni zaidi ya kocha.
Safari hii sio zamu ya kocha kusepa, hii ni zamu ya Glazers na management nzima kusepa.
GettyImages-1481996154-1140x760.jpg
 
Back
Top Bottom