Safari hii sio zamu ya kocha kusepa, hii ni zamu ya Glazers na management nzima kusepa.Moyes alisepa
Van ga alisepa
Mourinho alisepa
Ole alisepa
Tatizo la man u ni zaidi ya kocha.
Rashford anakwenda anakwenda mpk anapoteza kizembe wakati Bruno kapambana kiume mpaka kumpa pasi.
Wachezaji wote wangekuwa na fighting spirit kama Bruno timu ingekuwa mbali.
Mwanzo umesha anza mashabiki wengi wanacheki game kwenye simu au live score ili wasipate preshaKuna team tutakuja kucheza nazo mechi za mbele huko, tutashindwa kuingia mitandaoni na kukimbia jukwaa. Kazi ipo
Nilijua atamtia scott licha ya hawa jamaa kuwa pungufuNileteeni alvaro fernandez na danny gore.
Tafadhali kipara
Narudia tena kuwasihi tafuteni kipa bado siku tatu dirisha lifungwe. Msije Anfield na Onana between the sticks aloo.