Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hapa jukwaani wala hakuna anayefanya uchambuzi.

Football analysis siyo maandishi, hapa wengi wanaandika facts. Antony ni kiazi tu, hatukatai anayo potential ya kuwa mchezaji mzuri ila huu muda anaopewa unaigharimu timu yetu.

Rashford hata kama anafanya vibaya huwezi kumuweka bench kirahisi, LW hatuna options za kutosha. Garnacho bado ni raw talent sana.

Ukitaka kujua Ten Hag ni fala yupo radhi Fernandes acheze RW ila siyo Sancho au Pellistri waanze. Kama mnamsifia Antony ana work-rate kubwa basi bado hamjamuona Pellistri (talent + work-rate)

Ten Hag kiburi chake kitamfikisha pabaya!

YANI pellistri amuweke nje antony??
 
Halikuwa kosa hata kidogo kumuacha, kosa lipo kwenye gharama tulizotumia kuziba nafasi yake.

Ni sawa soko la usajili limebadilika ila brighton wamepata kipa kwa paundi millioni 20.

Kipa ambaye hata sisi tulimgombania na ndiye kipa wao namba 1.


Hatuchezi possession based kama barcelona au man city hivyo golikipa anayemzidi de gea kwa footwork kidogo tu angelitufaa.

Onana ni kipa mzuri tuliyekuwa hatuna ulazima nae kwa mujibu wa hizi mechi 3 nilivyoziangalia.

Style yetu ya kiuchezaji ndio ile ile
Well. Umeelezea vizuri.
Ubaya Ten Hag anatakaga watu ambao mara nyingi amewahi fanya nao kazi.
Mfano huyu Rumoured GK anaetakiwa (Bundyr) kuja kua competition wa Onana for €5-7m aliwahi kua target wa Ajax wakati Ten Hag yupo kule.
 
Hujaangalia game unamcritize Onana. Una ugomvi nae binafsi? Hujaona Crucial save aliyofanya dk ya 87?huyo De Gea ambaye ni Quality Player Bayern wamemkataa, Madrid wameona bora Kepa..... Hana namba timu ya taifa na ni siku 4 tu zimebaki dirisha lifungwe.
Hivi kwanini mnapenda kutunga maneno yenu? Hapo wapi nimem-criticise Onana? Hapo nimeuliza kwanini timu yetu haina quality players kila position maana yake Onana ni mmoja wa quality players kwenye kikosi chetu.

Tumemuacha De Gea bure, tunauza makipa wote ili tutumie £15m kuleta kipa mypa (MBOVU).

Haya ni matumizi mabaya ya funds, scouts wangekuwa serious tungetumia hiyo pesa kupata mchezaji kinda wa maana.
 
Hivi kwanini mnapenda kutunga maneno yenu? Hapo wapi nimem-criticise Onana? Hapo nimeuliza kwanini timu yetu haina quality players kila position maana yake Onana ni mmoja wa quality players kwenye kikosi chetu.

Tumemuacha De Gea bure, tunauza makipa wote ili tutumie £15m kuleta kipa mypa (MBOVU).

Haya ni matumizi mabaya ya funds, scouts wangekuwa serious tungetumia hiyo pesa kupata mchezaji kinda wa maana.
Ungeniambia kwamba makosa yamefanyika kumuuza Matej Kovàr ningekuelewa ila kusema kwamba kipa wetu mbovu hapana.
 
Hivi kwanini mnapenda kutunga maneno yenu? Hapo wapi nimem-criticise Onana? Hapo nimeuliza kwanini timu yetu haina quality players kila position maana yake Onana ni mmoja wa quality players kwenye kikosi chetu.

Tumemuacha De Gea bure, tunauza makipa wote ili tutumie £15m kuleta kipa mypa (MBOVU).

Haya ni matumizi mabaya ya funds, scouts wangekuwa serious tungetumia hiyo pesa kupata mchezaji kinda wa maana.
Mshahara wa De Gea wa mwaka mzima ulikuwa ni zaidi ya thamani ya huyo kipa hebu fanya hisabati

Halafu wamemchukua kwa €7m ambayo ilikuwa inakaribia mara 3 ya mshahara wa DDG.
 
Well. Umeelezea vizuri.
Ubaya Ten Hag anatakaga watu ambao mara nyingi amewahi fanya nao kazi.
Mfano huyu Rumoured GK anaetakiwa (Bundyr) kuja kua competition wa Onana for €5-7m aliwahi kua target wa Ajax wakati Ten Hag yupo kule.
Niliisoma hiyo habari mchana wa leo nikabaki nashangaa.

Hatujui amebakisha wachezaji wangapi anaowahitaji ambao aluwahi kufanya kazi nao.

Nimemkumbuka jose mourinho nyakati zile anahamia chelsea, alikuja pamoja na carvalho na perreira
 
Hivi kwanini mnapenda kutunga maneno yenu? Hapo wapi nimem-criticise Onana? Hapo nimeuliza kwanini timu yetu haina quality players kila position maana yake Onana ni mmoja wa quality players kwenye kikosi chetu.

Tumemuacha De Gea bure, tunauza makipa wote ili tutumie £15m kuleta kipa mypa (MBOVU).

Haya ni matumizi mabaya ya funds, scouts wangekuwa serious tungetumia hiyo pesa kupata mchezaji kinda wa maana.

Man utd haina shinda kwny funds acha wachezee maana glazers wanachota parefu
Man utd inaweza kumaccomodate hata mbappe ila una uza players gani u balance vitabu
 
Ungeniambia kwamba makosa yamefanyika kumuuza Matej Kovàr ningekuelewa ila kusema kwamba kipa wetu mbovu hapana.
Kingine ambacho anapaswa kufahamu Kovar anataka kuwa regular starter na sio backup GK na hiyo ndio imefanya pia Suzuki aamue kwenda Ubelgiji katika timu atayoanza first 11 anaona katika umri wa miaka 20 hapaswi kukaa benchi itaua potential yake.
So hata timu ingetaka kumbakisha asingekubali that's why hata msimu uliopita alitumia wakati wake mzuri Sparta Praha.

Kipa yoyote mdogo mwenye ndoto anataka kuonesha alichonacho that's why wametaka kwenda watapopata dakika na mechi nyingi.
 
Niliisoma hiyo habari mchana wa leo nikabaki nashangaa.

Hatujui amebakisha wachezaji wangapi anaowahitaji ambao aluwahi kufanya kazi nao.

Nimemkumbuka jose mourinho nyakati zile anahamia chelsea, alikuja pamoja na carvalho na perreira
Same to Smalling, Abraham na Matic Roma. Sometimes ni kawaida ila kwetu kama imezidi hivi
 
Goal la kizembe hili.
 
Hii ina maana scouting yetu haifanyi kazi yao ipasavyo.

Kwenye eneo la academy tupo vizuri sana kwenye recruitments kwa miaka ya karibuni.

Ila huku juu ukiangalia hizi target zetu haziridhishi hata kidogo
Kabisa halafu inashangaza tunapigwa gap la chapu chapu hata hatuelewi. Check kwa Disasi na Kim Min Jae... Hata Gakpo. Yani hatupo proactive kabisa.

Kwa mwenendo huu sitashangaa hata Amrabat tukimkosa.
 
Hii ina maana scouting yetu haifanyi kazi yao ipasavyo.

Kwenye eneo la academy tupo vizuri sana kwenye recruitments kwa miaka ya karibuni.

Ila huku juu ukiangalia hizi target zetu haziridhishi hata kidogo
Kosa lake hajaomba kuletewa Technical director mwenye brain ya soka.

Sijajua kama Ralf alifukuzwa au lah ila ni kati ya watu aliotakiwa kuwashikilia sawasawa.

Kama tukiingia chini ya Mmiliki mpya yule mtu aletwe pale juu atamboost sana kocha kwenye kuchagua wachezaji sahihi
 
Back
Top Bottom