Mi kwa Hilo nam-Support sana ETH aina ya Sajili tunafanya Nje ya Hizi zinazokuja Badili Mentality, Una uwezo wa kuuza kadhaa mana kundi kubwa halijafika kwenye 'Peak' ambayo kwa wachezaji wengi ni 25 na kuendelea ndo wanafikia hatua Hiyo.
UTD Ina wachezaji wengi wa timu ndogo, Rashy huyo amekiwasha kutafta Mkataba Mpya ila still ana mapungufu Mengi sana ya kuwa starting 11 wa kudumu kwa timu kama UTD. kuna wakati ETH alishasema UTD inahitaji LW watu wakamshangaa mpaka kulipokuja Emergency ya Garnacho ila alishahusishwa na Jesper Karlsson ambae ameenda Bologna kirahisi sana kaungana na Jina lingine kubwa kwenye Coaching linachipukia Taratibu THIAGO MOTTA!
Sajili anafanya ni nzuri Malacia ni Back up lakini ukiweka sokoni unaweza okota hata 25m+ sasa na kuuza kote ujue kuna wachezaji hewa wengi timu imepata 30m tu mpaka sasa! UTD Bado sana ETH anahitaji sajili nyingi kuweka anachokitaka na-refer sana kauli ya Rangnick yule Bwana ni DoF mzuri sana na kukwambia UTD inahitaji zaidi ya sajili 10 aliona Mengi ndani yake. Arteta wanamwimba ila ana Sajili zaidi ya 26, Pep, Klopp mpaka wamepata Rhymes wanataka wamesali na kuuza sana!
Still tunahitaji elite FB's My Wishlist ningependa sana kama tungetizama hawa RB {Alexander Bah/Vanderson} CB {Diomande/Silva} LW {Lauriente (Sassuolo Thiery Henry), Bradley Barcola} ST {Turudi kwa Sesko or Amount ikiruhusu tuchukue Osimhen /Vlahovic} CM {Nunez/ Locatelli/ Andre Trindade/ Alan Varela Porto kashawahi miaka miwili Mbele Boehly anaenda toa 130m/ Enzo la Fee/ Seko Fofana angeongeza kitu ila Waarabu washawaza mengine} Tuna Alvaro Fernandez kwa Upande wa LB na CM Mainoo na Isak Aaaroensen wanaweza ingia taratibu. Kuna kundi kubwa la Kupunguza na kutengeneza timu Nzuri kiwanjani na ipo Balanced kwenye Mishahara.