Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Unaweza nitajia Winga mmoja tu LW ambaye anapatikana kwa €80M na ana Goal contrinution zaidi ya 30 kwa msimu?
Goals contribution bila consistency ni utopolo

Angekuwa anaenda hivyo kwa misimu hata 3 mfululizo ningempaisha daraja ila ni homa za vipindi.

Msimu huu karudi yule utopolo na akifikisha goal contributions hata 15-20 najikata vidole
 
Goals contribution bila consistency ni utopolo

Angekuwa anaenda hivyo kwa misimu hata 3 mfululizo ningempaisha daraja ila ni homa za vipindi.

Msimu huu karudi yule utopolo na akifikisha goal contributions hata 15-20 najikata vidole
Misimu 4 iliopita kaperform mitatu hajaperfom mmoja na huo ambao hajaperform ni timu nzima ilikua ovyo na alianza msimu kama majeruhi alicheza kama nusu msimu.

Sio kosa lake timu haina wafungaji zigo lote anabebeshwa yeye,

Sawa leo kaanza contribution moja, 14 to go ukate vidole.
 
Brighton anapigwa goli la 2 uwanjani pake.
Mpira ameachiwa yeye acheze
Anaingia joao pedro
Soka lina maajabu hawa jamaa wana kichaa ila nikashangaa siku inapigwa 5 na Everton halafu nyumbani.

Sema West Ham wamebadilika pia mido zao zipo vyema Ward Prowse pamoja na mkata umeme aliyekuwa kijana wa Ten Hag,Alvarez.

Sasa bwana upara si angetuletea huyu pia tukamtumia muda mrefu maana Case kapungua vibe
 
Back
Top Bottom