D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,636
- 121,032
Sanaa ya kukabia kwa juu ipo Ujerumani
Goals contribution bila consistency ni utopoloUnaweza nitajia Winga mmoja tu LW ambaye anapatikana kwa €80M na ana Goal contrinution zaidi ya 30 kwa msimu?
Misimu 4 iliopita kaperform mitatu hajaperfom mmoja na huo ambao hajaperform ni timu nzima ilikua ovyo na alianza msimu kama majeruhi alicheza kama nusu msimu.Goals contribution bila consistency ni utopolo
Angekuwa anaenda hivyo kwa misimu hata 3 mfululizo ningempaisha daraja ila ni homa za vipindi.
Msimu huu karudi yule utopolo na akifikisha goal contributions hata 15-20 najikata vidole
Soka lina maajabu hawa jamaa wana kichaa ila nikashangaa siku inapigwa 5 na Everton halafu nyumbani.Brighton anapigwa goli la 2 uwanjani pake.
Mpira ameachiwa yeye acheze
Anaingia joao pedro

Nasikia tuliweka a significant sell on clauseMatej kovar ndiye kipa namba 1 wa bayer leverkusen
Yupo nje ya uwanja kwa majeraha mpaka Septemba.Kwan Mount leo hajacheza?
Similar profile na ETH tofauti ni experience tu.Xabi Alonso
Thiago motta
Amorin
Kufungwa kawaida hata Klopp the master sometimes huwa anaingia kwenye 18 za watuKuna mchambuzi uchwara humu hua anapiga kelele sana de zerbi de zerbi
Hehehe hii ni EPL
huyu jamaa alikuwaga beki mbili lakini kahamia namba 9 na anacheza vizuri kuliko Antony MartialAntonio anapiga msumari wa 3.
Huyu jamaa anayevaa jezi namba 4 wa brighton hatousahau usiku wa leo.
Antonio anamtesa sana