Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kosa lake hajaomba kuletewa Technical director mwenye brain ya soka.

Sijajua kama Ralf alifukuzwa au lah ila ni kati ya watu aliotakiwa kuwashikilia sawasawa.

Kama tukiingia chini ya Mmiliki mpya yule mtu aletwe pale juu atamboost sana kocha kwenye kuchagua wachezaji sahihi
Alitaka kufanya kazi mwenyewe ndivyo nilivyomuelewa interview yake ya kwanza
 
Sijaangalia mechi ila najua ulichoandika hapa ni uongo.

Antony huyuhuyu awe amecheza vizuri leo!? Kazi ya Winger inajulikana Antony ni mhuni tu kama kocha wake. Timu haina aina ya uchezaji unategemea Sancho au Pellistri watacheza vipi?
Mjinga wewe unakiri hujaangalia mechi halafu unabisha Antony hajacheza vizuri.
 
Kabisa halafu inashangaza tunapigwa gap la chapu chapu hata hatuelewi. Check kwa Disasi na Kim Min Jae... Hata Gakpo. Yani hatupo proactive kabisa.

Kwa mwenendo huu sitashangaa hata Amrabat tukimkosa.
Hiyo sajili ya Min Jae inaniuma hadi leo.

Na second option nayo imewahiwa na Chelsea.

Halafu kuna wengine pia huwa anawakosa.
Huenda kuna tatizo pale juu sometimes tusimhukumu kwa kuamua kuchukua wachezaji ambao ana connection nao maybe huwa hana namna.
 
Kosa lake hajaomba kuletewa Technical director mwenye brain ya soka.

Sijajua kama Ralf alifukuzwa au lah ila ni kati ya watu aliotakiwa kuwashikilia sawasawa.

Kama tukiingia chini ya Mmiliki mpya yule mtu aletwe pale juu atamboost sana kocha kwenye kuchagua wachezaji sahihi
Wamchukue hata Matheu Alemany. Mastermind kwenye Negotiations.
About Rangnick aliamua mwenyewe kustep down baada ya kupata kazi ya Headcoach kule Austria.
 
Kosa lake hajaomba kuletewa Technical director mwenye brain ya soka.

Sijajua kama Ralf alifukuzwa au lah ila ni kati ya watu aliotakiwa kuwashikilia sawasawa.

Kama tukiingia chini ya Mmiliki mpya yule mtu aletwe pale juu atamboost sana kocha kwenye kuchagua wachezaji sahihi

My
 
Kosa lake hajaomba kuletewa Technical director mwenye brain ya soka.

Sijajua kama Ralf alifukuzwa au lah ila ni kati ya watu aliotakiwa kuwashikilia sawasawa.

Kama tukiingia chini ya Mmiliki mpya yule mtu aletwe pale juu atamboost sana kocha kwenye kuchagua wachezaji sahihi

Ralf hakua kocha ni mwehu tu yule
 
Hiyo sajili ya Min Jae inaniuma hadi leo.

Na second option nayo imewahiwa na Chelsea.

Halafu kuna wengine pia huwa anawakosa.
Huenda kuna tatizo pale juu sometimes tusimhukumu kwa kuamua kuchukua wachezaji ambao ana connection nao maybe huwa hana namna.
Of course si kama Azam tu.
Tulikua tunamkosoa Woodward ila mi hata alichofanya Richard Anorld sioni.
 
Well. Umeelezea vizuri.
Ubaya Ten Hag anatakaga watu ambao mara nyingi amewahi fanya nao kazi.
Mfano huyu Rumoured GK anaetakiwa (Bundyr) kuja kua competition wa Onana for €5-7m aliwahi kua target wa Ajax wakati Ten Hag yupo kule.
Mimi hata akileta wote sina hiyana
Mi kwa Hilo nam-Support sana ETH aina ya Sajili tunafanya Nje ya Hizi zinazokuja Badili Mentality, Una uwezo wa kuuza kadhaa mana kundi kubwa halijafika kwenye 'Peak' ambayo kwa wachezaji wengi ni 25 na kuendelea ndo wanafikia hatua Hiyo.

UTD Ina wachezaji wengi wa timu ndogo, Rashy huyo amekiwasha kutafta Mkataba Mpya ila still ana mapungufu Mengi sana ya kuwa starting 11 wa kudumu kwa timu kama UTD. kuna wakati ETH alishasema UTD inahitaji LW watu wakamshangaa mpaka kulipokuja Emergency ya Garnacho ila alishahusishwa na Jesper Karlsson ambae ameenda Bologna kirahisi sana kaungana na Jina lingine kubwa kwenye Coaching linachipukia Taratibu THIAGO MOTTA!

Sajili anafanya ni nzuri Malacia ni Back up lakini ukiweka sokoni unaweza okota hata 25m+ sasa na kuuza kote ujue kuna wachezaji hewa wengi timu imepata 30m tu mpaka sasa! UTD Bado sana ETH anahitaji sajili nyingi kuweka anachokitaka na-refer sana kauli ya Rangnick yule Bwana ni DoF mzuri sana na kukwambia UTD inahitaji zaidi ya sajili 10 aliona Mengi ndani yake. Arteta wanamwimba ila ana Sajili zaidi ya 26, Pep, Klopp mpaka wamepata Rhymes wanataka wamesali na kuuza sana!

Still tunahitaji elite FB's My Wishlist ningependa sana kama tungetizama hawa RB {Alexander Bah/Vanderson} CB {Diomande/Silva} LW {Lauriente (Sassuolo Thiery Henry), Bradley Barcola} ST {Turudi kwa Sesko or Amount ikiruhusu tuchukue Osimhen /Vlahovic} CM {Nunez/ Locatelli/ Andre Trindade/ Alan Varela Porto kashawahi miaka miwili Mbele Boehly anaenda toa 130m/ Enzo la Fee/ Seko Fofana angeongeza kitu ila Waarabu washawaza mengine} Tuna Alvaro Fernandez kwa Upande wa LB na CM Mainoo na Isak Aaaroensen wanaweza ingia taratibu. Kuna kundi kubwa la Kupunguza na kutengeneza timu Nzuri kiwanjani na ipo Balanced kwenye Mishahara.
 
Mi kwa Hilo nam-Support sana ETH aina ya Sajili tunafanya Nje ya Hizi zinazokuja Badili Mentality, Una uwezo wa kuuza kadhaa mana kundi kubwa halijafika kwenye 'Peak' ambayo kwa wachezaji wengi ni 25 na kuendelea ndo wanafikia hatua Hiyo.

UTD Ina wachezaji wengi wa timu ndogo, Rashy huyo amekiwasha kutafta Mkataba Mpya ila still ana mapungufu Mengi sana ya kuwa starting 11 wa kudumu kwa timu kama UTD. kuna wakati ETH alishasema UTD inahitaji LW watu wakamshangaa mpaka kulipokuja Emergency ya Garnacho ila alishahusishwa na Jesper Karlsson ambae ameenda Bologna kirahisi sana kaungana na Jina lingine kubwa kwenye Coaching linachipukia Taratibu THIAGO MOTTA!

Sajili anafanya ni nzuri Malacia ni Back up lakini ukiweka sokoni unaweza okota hata 25m+ sasa na kuuza kote ujue kuna wachezaji hewa wengi timu imepata 30m tu mpaka sasa! UTD Bado sana ETH anahitaji sajili nyingi kuweka anachokitaka na-refer sana kauli ya Rangnick yule Bwana ni DoF mzuri sana na kukwambia UTD inahitaji zaidi ya sajili 10 aliona Mengi ndani yake. Arteta wanamwimba ila ana Sajili zaidi ya 26, Pep, Klopp mpaka wamepata Rhymes wanataka wamesali na kuuza sana!

Still tunahitaji elite FB's My Wishlist ningependa sana kama tungetizama hawa RB {Alexander Bah/Vanderson} CB {Diomande/Silva} LW {Lauriente (Sassuolo Thiery Henry), Bradley Barcola} ST {Turudi kwa Sesko or Amount ikiruhusu tuchukue Osimhen /Vlahovic} CM {Nunez/ Locatelli/ Andre Trindade/ Alan Varela Porto kashawahi miaka miwili Mbele Boehly anaenda toa 130m/ Enzo la Fee/ Seko Fofana angeongeza kitu ila Waarabu washawaza mengine} Tuna Alvaro Fernandez kwa Upande wa LB na CM Mainoo na Isak Aaaroensen wanaweza ingia taratibu. Kuna kundi kubwa la Kupunguza na kutengeneza timu Nzuri kiwanjani na ipo Balanced kwenye Mishahara.
Huyu Barcola a Gem naona PSG kila akiulizia anakula za uso. Ila Diomande should be our Priority.
 
Sawa namsubiri Hojlund tuone nini atafanya.

Sema katika kitu cha kijinga kuwahi kutokea ni kutakaa €80m ya PSG kwa Rashford tungetafuta LW bora na pia tungekuwa tumepunguza matatizo sana tumeyaongeza kwa kumpa mkataba mpya na anacheza kifaza
Unaweza nitajia Winga mmoja tu LW ambaye anapatikana kwa €80M na ana Goal contrinution zaidi ya 30 kwa msimu?
 
Unaweza nitajia Winga mmoja tu LW ambaye anapatikana kwa €80M na ana Goal contrinution zaidi ya 30 kwa msimu?
Goals contribution bila consistency ni utopolo

Angekuwa anaenda hivyo kwa misimu hata 3 mfululizo ningempaisha daraja ila ni homa za vipindi.

Msimu huu karudi yule utopolo na akifikisha goal contributions hata 15-20 najikata vidole
 
Back
Top Bottom