Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Positive things katika mechi ya jana:-

i) Chezaji la ballon d'or limerudi, na lipo fit kabisa kwa msimu huu. Si mwingine ni MartiaL

ii) Rashidi is on fyaaaayaaaaa, tumpe mida akkk-lick kwenye mfumo.

iii) Antony dos Santos ananikumbusha Aren Robben wa Bayern kabisa yani

iv) Best DM duniani, Casemiiiiiirrrrrooooo

v).... ongezea
Ile mikimbio ya Mauntiiiii...
 
Timu iliyumba sababu kubwa ni key players kuuzwa (De Ligt,De Jong ,De Beek,Ziyech) waliuzwa baada ya yale mafanikio na DOF Overmars kujiuzulu baada ya scandal ya kwanyanyasa wafanyakazi wa kike

Frank De Boer alichukua ubingwa wa Holland misimu 4 mfululizo lakini alishinda game 1 tu EPL

sasa unadhani hao key player wakati wanauzwa kocha alikuwa hawahitaji?

nadhani nafasi ya kocha katika kuleta na kuondoa wachezaji ni ndogo sana kwa sababu pamoja na kutoa mapendekezo yake,bado itategemeana na uwezo wa kiuchumi wa timu.

na pia hata ukisema awaondoe wachezaji bado ni ngumu kwa sababu inapaswa kuwalipa kuvunja mikataba yao kitu ambacho kipo nje ya uwezo wake.

na kama ulivyosema mafanikio ya ajax yalisaidiwa sana na yule sporting director aliyejiuzuru, basi mwenye nafasi hiyo pale man utd ndo anapwaya.

sioni sababu ya kumlaum kocha hapa japo ndio anabebeshwa lawama.
 
7a1dbd6c-7b2d-4f84-b26e-3b0b15e32b8e.jpg

Onana ameonekana kwenye maandamano nchini kenya
 
Tajiri ndio anaewafundisha wachezaji kuruka ruka uwanjani!?

Nenda kaziangalie BRIGHTON Newcastle Brentford na Tottenham zilinganishe na MANCHESTER ni nani katumia hela kwenye usajili!?

Ni nani ana kikosi cha bei mbaya!?

Ni nani alieoza UWANJANI kati yetu sisi wenye mwalimu ten HAG na wao .

Ipi timu isiyokuwa na maajabu yoyote UWANJANI.

Kisha utasema TATIZO ni matajiri hapo!?

Wacheni kuishi kwa kukariri matajiri hawachezi MPIRA.

Ten hag kwanza hata jicho la usajili hana ni anabahatisha mnooo.

Kuoandisha viwango wachezaji pia hawezi.

Tunamlaumu sancho kila siku kumbe sancho ni kakosa mwalimu tu.

Maguire nae kakosa mwalimu tu.

Kwa ten hag ikiwa ronaldo kafeli nani mwengine atakaefaulu!?

Matic pogba mata wote kawatoa na sasa kamtoa FRED.

Kisha nenda katazame aliowaleta na tazama kazi zao wanazozifanya uwanjani kisha linganisha na wachezaji aliowatoa ni sawa!?

Kauza ZIDANE IQBAL kwa bei ya mkaa na juzi kamtoa kipa bora kabisa matej kovar.

Na sasa anataka kipa mwengine na KIUNGO je pana kocha hapo!?

Msimu uliopita UNITED imebebwa na dua tu sasa sijui msimu huu kama mungu ataziskia pia dua zetu au atawaskia Chelsea
Haya unayosema Mimi nimeyasema miezi karibu minne iliyopita

Ten hag last season alibebwa na form ya Rashford na juhudi za Degea

Kama Rashford hatarejea kiwango chake Cha mwaka Jana Basi mtaiona sura halisi ya Ten hag
 
United pia inahitaji watu wawili eneo la ushambuliaji wanaolijua goli haswa tuone tuone atacholeta Hojlund ila hatoshi kwa sababu hatafunga kila mechi so partner wake pale mbele lazima afunge hilo silioni kwa Antony na Rashford.

Nadhani Greenwood akirudi akiwa fiti physical & mentally tunaweza tukawa na watu wawili wa kuwategemea huku Rashford naye akizingua taratibu Garnacho anadevelop na kwa umri wao na potential tunaweza kuona kitu kizuri baadae kwenye utatu wa Garnacho-Hojlund-Greenwood

Hapa eneo la kiungo linahitaji rebuild Casemiro muda wa kula pensheni umefika ila kwa msimu huu aletwe partner wake leo nimeona tetesi za Veratti japo sijawahi kumfuatilia uwezo wake.
 
Mi nakuuliza tu, captain wako huwa analalamika nini hasa? Kila wakati akionyeshwa huwa ni kulalamika tu.
Kulalamika kwake kushawahi kufuta goli tulilofungwa pia kushawahi kutupa goli letu lililokataliwa,ishu ni timing.

Kwangu hizo ni charms sio kuwa na jitu limezubaa kama Maguire hata moment of unfair linajitenga mbali kabisa
 
Hivi tuna uhakika aliyecheza jana na Spurs ni Man Utd na sio Kitayose Fc?
Shabiki wa kweli wa Man Utd unatakiwa ubishane mpk mwisho kua jana Utd haikua uwanjani, tunachojua sisi timu yetu inacheza tarehe 26Aug dhidi ya Nottingham Forest.



Poor Rashidi.
1692527474091.jpg
 
Hivi tuna uhakika aliyecheza jana na Spurs ni Man Utd na sio Kitayose Fc?
Shabiki wa kweli wa Man Utd unatakiwa ubishane mpk mwisho kua jana Utd haikua uwanjani, tunachojua sisi timu yetu inacheza tarehe 26Aug dhidi ya Nottingham Forest.



Poor Rashidi. View attachment 2722782
Huyu jamaa anasubiri aanze kutukanwa matusi ya kibaguzi tena aanze kutafuta huruma kwa mashabiki round hii sijui atasema ana jeraha gani!
 
Back
Top Bottom