OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,933
- 25,245
Apo straika la magoli Kane hayupo😂😂😂😂
Wao wanadhani ishu ni hela kumbe wachezaji,nilitegemea hili dirisha tutasajili wachezaji 6-7 wa kwenda kuingia first 11 sasa ni wawili tu ambao hawawezi badilisha kitu tena kipa ni kama replacement tu ishu ni maeneo ya mbele ndio maana tunaona hakuna kilichobadilika.Glazer na bodi yote wanatakiwa waondoke,
Hapo zikibaki siku 2 kabla dirisha kufungwa Glazer wanaweka mezani £100m za usajili ili kuwanyamazisha mshabiki wanaotaka ang'oke.
Hawa Glazzers wana kauCCM flani hapo Utd, hawakubali kamwe kuachia timu kwa vipande vya makaratasi![]()
Tatizo lako unajifanya unajua mpira sana, unakujaga na uchambuzi wako hapa uchwara mara build up mara kupress wakati timu yako yenyewe ina vijana unmature, hivi unaweza fananisha uchezaji wa Lukaku na Hidjlund? Lukaku hata kutuliza mpira hawezi, mbio na mikimbio mizuri hana, wakati Hodjlund anauwezo wa kucontrol mpira kupiga chenga, kupress na kufanga mwenyewe kitu ambacho kitawapa tabu sana mabeki pinzan kuconcetrate naye huku mawinga wakipata relief na hapo ndipo ubora wa winga kama Sancho na Antony utaonekana.Huyo CF kila mpira atakuwa anapewa yeye tu, hiyo ni dhana potofu
Chelsea ya Conte ilionekana inahitaji a CF tu iwe timu isiyofungika , akaletwa lukaku kwa£97.5m , unajua kilichotokea
Huyo Hojlund unavyompamba hapa utadhan ushamuona hata mech moja akicheza manjestaTatizo lako unajifanya unajua mpira sana, unakujaga na uchambuzi wako hapa uchwara mara build up mara kupress wakati timu yako yenyewe ina vijana unmature, hivi unaweza fananisha uchezaji wa Lukaku na Hidjlund? Lukaku hata kutuliza mpira hawezi, mbio na mikimbio mizuri hana, wakati Hodjlund anauwezo wa kucontrol mpira kupiga chenga, kupress na kufanga mwenyewe kitu ambacho kitawapa tabu sana mabeki pinzan kuconcetrate naye huku mawinga wakipata relief na hapo ndipo ubora wa winga kama Sancho na Antony utaonekana.
Katika wote hao a Dutch David Moyes Erik 7 hag amepewa nguvu kubwa na pesa kubwa ndan ya madirisha makubwa mawiliKweli wahuni sio watu.
Erick Shigongo tunakukumbusha tu hicho kiti unachokikalia walikishindwa kina Ralf Rangnick, Ole Gunnar Solskjaer, Jose Mourinho, Louis van Gaal na David Moyes. View attachment 2722091View attachment 2722092
Shots on goal unajua kaweka ngapi yeye peke yake mechi ya jana ukilinganisha na mizigo mingine?Sioni tofauti ya casemiro na sawadogo amekua mzito kama Ngamia
Umeongea vyema, tatizo la kocha ni kumchezesha Rashford huwa anamakosakosa ya magoli, anakabia macho, mchoyo wa pasi . Kila mpira anapoteza( kocha akimuendekeza December hatoboi)Nimesoma comment nyingi humu nimegundua kuna mashabiki wa ajabu ajabu na hawajui au hawafahamu mpira au hawajui nini. Hivi unaweza kulaumu kocha kwa mpira tuliocheza leo?
Tumecreate kwenye box mara nyingi na kuliko Spurs , tumecreate clear chance nyingi kuliko Spurs, kipa kafikisha mira mingi ya hatari mbele mbele zetu wameshindwa, tumepata clear penalt hatukupewa hii ni bahati mbaya kwetu.
Kocha kafanya kazi kubwa ya kuijenga timu kuanzia nyuma na kimchezo kwa sasa tunacheza vizuri hadi kwenye kiungo. Tatizo limebaki mbele hasa Rashford na Bruno leo ndio wameiangusha timu kwa kukosa nafasi za wazi huku Rashford ndio akiongoza kwa kujikanyaga kanyaga kila anapopewa mpira, na huu umekuwa ugonjwa wake mara tu anapopewa mkataba mpya, msimu uliopita kaotea otea watu tukadhani kashamature ila Ferguson akasema tunahitaji streiker. mpya baadhi ya mashabiki mihemko wakamshanga.
Siku steiker Hodjlund akianza ndio tutapata picha halisi ya wapi timu inaelekea ila napata wasiwasi kama anaanza kucheza na winger ya akina Rashford atamuona kama Lukaku tu. Rashford, Martial na Lindgard hawa ndio waliomuandoa Morinho, na Ole na kila alipoletwa streiker mpya walijaribu kumkwamisha aonekane hafai, kuanzia Lukaku, Igalo, Cavan, na Christian Ronaldo. Kifupi Rashford, Martial ni watu wa kuanzia benchi nafasi wapewe Sancho, Garnacho, Pelistri na Antony la sivyo huyu kocha siku zake united zitayeku mithili ya barafu kwenye maji ya moto.
Kosa kubwa la huyu kocha ni kumuamini Rashford. Rashford hata akicheza winga huwa hatoi pass Kwa cfEtH asipobadilika muda wake unakaribia kuisha United tena wakija maonyesho wapya wanaweza kutoa watu wote kwenye benchi la ufundi wakaleta watu wapya.
EtH anatakiwa atuonyeshe uwezo wake, baada ya kutumia £400m ndiyo tunacheza upuuzi huu!?
Kocha ni mtu wa kwanza ninamlaumu, kwenye team selection ni kama kuna upendeleo. Timu iliyonyanyaswa na Wolves ndiyo hiyohiyo anaipeleka kwa Spurs.
Ten Hag ana ego na ndiyo itakayommaliza. Ana-force mambo ambayo yanaigharimu timu. Midfield yetu haipo balanced, nilitegemea mechi hii abadilike kuanza na pivot ya Case na Scott, kule mbele Rashford na Antony wasianze kabisa. Awape nafasi Sancho, Pellistri na Mount.
EtH ni kiburi na jeuri sana na watu wa aina yake mwisho wao huwa ni mmoja tu.
Mimi nakaa pembeni kwanza ila EtH kaanza kunipa mashaka na uwezo wake.
Mkuu umemaanisha kabisa kusema sasa tunacheza vizuri hadi kwenye kiungo? Umetizama hizi game 2? Bwana mdogo Bissouma jana kaonea sana pale kiungo, wolves ndio usiseme kabisa.Nimesoma comment nyingi humu nimegundua kuna mashabiki wa ajabu ajabu na hawajui au hawafahamu mpira au hawajui wanataka nini. Hivi unawezaje kulaumu kocha kwa mpira tuliocheza leo?
Tumeingia kwenye box mara nyingi na kuliko Spurs , tumecreate clear chance nyingi kuliko Spurs, kipa kafikisha mira mingi ya hatari mbele forward zetu wameshindwa kutumia, tumepata clear penalt hatukupewa hii ni bahati mbaya kwetu.
Kocha kafanya kazi kubwa ya kuijenga timu kuanzia nyuma na kimchezo kwa sasa tunacheza vizuri hadi kwenye kiungo. Tatizo limebaki mbele hasa Rashford na Bruno leo ndio wameiangusha timu kwa kukosa nafasi za wazi huku Rashford ndio akiongoza kwa kujikanyaga kanyaga kila anapopewa mpira, na huu umekuwa ugonjwa wake mara tu anapopewa mkataba mpya, msimu uliopita kaotea otea watu tukadhani kashamature ila Ferguson akasema tunahitaji streiker mpya baadhi ya mashabiki mihemko wakamshanga.
Siku steiker Hodjlund akianza ndio tutapata picha halisi ya wapi timu inaelekea ila napata wasiwasi kama akianza kucheza na winger ya akina Rashford tutamuona kama Lukaku tu. Rashford, Martial na Lindgard hawa ndio waliomuandoa Morinho, na Ole na kila alipoletwa streiker mpya walijaribu kumkwamisha aonekane hafai, kuanzia Lukaku, Igalo, Cavan, na Christian Ronaldo. Kifupi Rashford, Martial ni watu wa kuanzia benchi nafasi wapewe Sancho, Garnacho, Pelistri na Antony la sivyo huyu kocha siku zake united zitayeku mithili ya barafu kwenye maji ya moto.