Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Piga kazi baba, usisikilize kelele za hawa NYUMBU.
tapatalk_1659898689232.jpeg
 
Kweli wahuni sio watu.
Erick Shigongo tunakukumbusha tu hicho kiti unachokikalia walikishindwa kina Ralf Rangnick, Ole Gunnar Solskjaer, Jose Mourinho, Louis van Gaal na David Moyes. View attachment 2722091View attachment 2722092
Mou mpeni maua yake, akiwa na mbovu ya akina Valencia, Ashly Young, Phil Jones and Comp. alibeba Europa. Alipozungumzia football heritage, watu hawakuelewa. Pamoja na pesa nyingi Man Utd wanazotumia kwenye usaji, bado shape ya timu haipatikani.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Nikiwa kama shabiki lialia wa manjesta nasemajeeeeee! Timu letu bovu

Tulistahili tupoteze mechi zote,ila mbeleko ziliamua kutuweka hapo tulipo,na bado....maji tutaita mmauchawi upo sijui tuliwafungaje Wolversampton
 
Tatizo la Man U sio kiungo wala beki kwa sasa, tatizo lipo kwa streiker kama ni kufungwa liver na man city huwa wanafungwa sana ila streiker wao pia wanafunga na ndio maana tunawaona bora. Tuna winger wazuri ukiachia tia maji tia maji Rashford na Martial ila kama hatuna straiker mzur wa kuwapa tension mabeki pinzani hata hawa mawinga tutawachukia bure. Leo tumecreate nafasi nyingi ila mfungaji hatuna. Naimani Hodjlund akipona akacheza na winga Sancho na Garnacho tutafunga sana
Tuongee ule ukweli ,timu nyingi zilikuwa na majina kwa kuwa zilikuwa na wachezaji bora na wapambanaji.

Kizazi hiki madogo wanapiga pesa ila uwezo mdogo kabisa Mfano Athony yani anakosa magoli kwa upigani wa hovyo hata kupiga long shots za maana yaani hamna kitu.

Wengi pale 90% hawastahili kucheza Man utd .
 
Back
Top Bottom