Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manjesta last season ni pass mbili tatu ,kwa Bruno Rashford Goal

Na uzuri Rashford alikuwa form ya maisha yake

Ila tulisema Ten hag Hana brueprint tukaonekana wababaishaji, ila mark my words msimu mtajionea sababu Rashford hawez rudia form yake ile ambayo ndio ilificha madhaifu mengi
Alijaribu kuweka blue print yake wachezaji wakamwangusha wakati timu ilikuwa na pressure ya matokeo.
By the way kwa namna navyoifahamu Man United sidhani kama wachezaji aliosajili Ten Hag ni chaguo lake la kwanza au la pili.

Van Gaal alikuja kusema baada ya kufukuzwa kuwa wachezaji alikuwa akisajiliwa wale chaguo lake la tano au sita.

Mourinho vile vile alilalamikia usajili kuwa hapati targets zake.

Ole alikuwa clear na target zake na nyingi hazikusajiliwa, na msimu ambao alihitaji wachezaji aliletewa Cavani, Fecundo, na Amad.
Ole angefukuzwa msimu wake wa pili tu ila aliokolewa sana na ujio wa Bruno Fernandez ambaye alifunga goli nyingi kuliko hata strikers wetu.

Najua Erik Ten Hag anaweza kupoteza kazi yake kabla ya October kama timu itakuwa na Mwenendo usioridhisha ila kilicho wazi atasema kwanini ameshindwa kudeliver.
 
Alijaribu kuweka blue print yake wachezaji wakamwangusha wakati timu ilikuwa na pressure ya matokeo.
By the way kwa namna navyoifahamu Man United sidhani kama wachezaji aliosajili Ten Hag ni chaguo lake la kwanza au la pili.

Van Gaal alikuja kusema baada ya kufukuzwa kuwa wachezaji alikuwa akisajiliwa wale chaguo lake la tano au sita.

Mourinho vile vile alilalamikia usajili kuwa hapati targets zake.

Ole alikuwa clear na target zake na nyingi hazikusajiliwa, na msimu ambao alihitaji wachezaji aliletewa Cavani, Fecundo, na Amad.
Ole angefukuzwa msimu wake wa pili tu ila aliokolewa sana na ujio wa Bruno Fernandez ambaye alifunga goli nyingi kuliko hata strikers wetu.

Najua Erik Ten Hag anaweza kupoteza kazi yake kabla ya October kama timu itakuwa na Mwenendo usioridhisha ila kilicho wazi atasema kwanini ameshindwa kudeliver.
Kwamba Martinez na Anthony hawakuwa chaguo la Ten Hag au sio
 
Ili kulinda afya yangu ya akili na kupunguza kufuatilia vitu vya hovyo.

Kuanzia leo napumzika kuifuatilia Man United mpaka pale timu hii itakapokuwa na wachezaji sahihi wa kuichezea.

Tukutane msimu ujao.
Hamia the Gunner kwa mkopo
Mwenzenu Flano anaamkia Kule na kabla hajalala comments zake za mwisho mwisho anazituma Kule
 
Kwamba Martinez na Anthony hawakuwa chaguo la Ten Hag au sio
Mtu wa kwanza kumhitaji Ten Hag alikuwa Frenkie De Jong, wengine walikuja tu kwa bahati nasibu, kasome alichokiandika Martinez utajua kama alikuwa target yake au lah.

Ten Hag kutoka Ajax alimhitaji Jurian Timber tu
 
Mtu wa kwanza kumhitaji Ten Hag alikuwa Frenkie De Jong, wengine walikuja tu kwa bahati nasibu, kasome alichokiandika Martinez utajua kama alikuwa target yake au lah.

Ten Hag kutoka Ajax alimhitaji Jurian Timber tu

Angalau wewe unaijua mpira na Man U
 
Mtu wa kwanza kumhitaji Ten Hag alikuwa Frenkie De Jong, wengine walikuja tu kwa bahati nasibu, kasome alichokiandika Martinez utajua kama alikuwa target yake au lah.

Ten Hag kutoka Ajax alimhitaji Jurian Timber tu
Kwamba wachezaji wengine wote amesajikiwa

Hahaha Habari za vijiwen
 
Sasa Arsenyo nayo ni timu au ni kikundi cha comedians?
Timu inaongoza ligi kuanzia Augost mpaka April wanabakiza mwezi mmoja wakabidhiwe kombe wanalegeza makalio.
Wewe ushakua nyumbu sugu, hauelewi
sababu za kukosa Ushindi wachambuzi wote nguli walielezea

Na kabla ya ligi kuanza hakuna aliekua anamfikiria Arteta kwenye ata top10
Alivyoanza kuwakimbiza kwata, mkarudi kumshabikia city

Sasa tuna kosi la dunia wanaonza vyumba sub wapo vyuma
Nyumbu usipotema points 6, niulizwe mimi
 
kwishineiiiiiii,,, end of an era of man shit,,
timu ibadilishwe tu iwe kampuni ya kucheza x
 
Back
Top Bottom