IamMrLiverpool
JF-Expert Member
- Apr 27, 2014
- 4,738
- 7,085
Dah huyu Bibi alifariki aiseeee




Kitu kimoja ambacho Sikuelewi kutoka kwa Ten hag ni kwanini aliacha falsafa zake toka Ajax ?!! Ukweli mchungu ila hii timu kwajinsi Inavyo cheza Sasa hivi Haina tofauti yoyote na ile Man U ya Olle ...Where is Tik taka from Holland Ajax ? ..Tiyari metumia £400M kufanya Usajili 
Nampenda Ten hag lakini ni kwajinsi gani meneja wa Brighton Robert De Zerbi amekuja Brighton Katikati ya msimu na kuwafanya wacheze kandanda bora kuliko
Haya Sasa Iiko wapi like pira la Ajax walilo ahidiwa (Tiki Taka) liko wapi?? United hii ya Sasa Inavyo cheza Haina tofauti na Ile United chini ya Olle Tena Bora Ile ya Olle ilikuwa inafunga mabao ( Ukweli mchungu Nitukameni Wala siozi kwamatusi )
Robert de zebri ni Kocha wa kutizamwa Sana anaweza akapata timu mpya Tena timu kubwa TU kabla ya Msimu huu haujafika katikati...Erik ten hag anahukumiwa kwakuacha falsafa zake na kutumia Mifumo ya kawaida TU ambaye hata United chini ya Olle ilikuwa Hivyo hakuna tofauti
LET'S HOPE Pengine Ataibadilisha United Kwenye game zinazo kuja na kuwa timu Tofauti Tusubiri tuone ila Kocha hitakiwi kuzitupa falsafa zako hata kama Huna wachezaji wakucheza Hivyo haya Sasa niaminisheni kuwa Ile timu ya Brighton inayo uza wachezaji Kila siku inawachezaji wazuri kuliko Man United!! Niaminisheni!! Why wao wanatandika soka safi??
Bado Nafikiri ten hag anamuda mrefu wa yeye mwenyewe kubadilika Kama anataka timu ibadilike ajiulize kwanza anataka kucheza soka la aina gani kwamaana mpaka sasa Haieleweki ni Tik taka ,QaunterAtrttack football au Ni Soka la aina gani
Still Erik ni Kocha wangu pendwa tangu akiwa Ajax Nilikuwa namfwatilia toka Kipindi hicho aliwahi kuhusishwa na vilabu vikubwa TU kama Barcelona na FC Bayern Munich na RB Leipzig ..Nilimpenda kwa aina ya soka lake lakuvutia but siyo hili la United ..Hope's itabadilika #kiganjaninewsSajili ndio zinamuangusha natamani hata yule mzee Rangnick asingeondoka angemsaidia sana sasa kasepa.wapo wafanyabiashara akina Murtough.MJUMBE HAUWAWI ,NAULETA UJUMBE WA SHABIKI WA MANJESTA KUHUSU 7HAG
ANASEMA
ERIK TEN HAG ANAHUKUMIWA KWA KUACHA FALSAFA ZAKE !! IKO WAPI ILE TIK- TAKA YA AJAX ??
Kitu kimoja ambacho Sikuelewi kutoka kwa Ten hag ni kwanini aliacha falsafa zake toka Ajax ?!! Ukweli mchungu ila hii timu kwajinsi Inavyo cheza Sasa hivi Haina tofauti yoyote na ile Man U ya Olle ...Where is Tik taka from Holland Ajax ? ..Tiyari metumia £400M kufanya Usajili
Nampenda Ten hag lakini ni kwajinsi gani meneja wa Brighton Robert De Zerbi amekuja Brighton Katikati ya msimu na kuwafanya wacheze kandanda bora kuliko
United ya Ten hag ?? Chelsea chini ya Poch wanaonekana bora kiasi kuliko United na ni miezi miwili TU tangu Pochettino ametua pale! !,.. Hata Spurs wanaonekana timu bora kuliko United
Haya Sasa Iiko wapi like pira la Ajax walilo ahidiwa (Tiki Taka) liko wapi?? United hii ya Sasa Inavyo cheza Haina tofauti na Ile United chini ya Olle Tena Bora Ile ya Olle ilikuwa inafunga mabao ( Ukweli mchungu Nitukameni Wala siozi kwamatusi )
Robert de zebri ni Kocha wa kutizamwa Sana anaweza akapata timu mpya Tena timu kubwa TU kabla ya Msimu huu haujafika katikati...Erik ten hag anahukumiwa kwakuacha falsafa zake na kutumia Mifumo ya kawaida TU ambaye hata United chini ya Olle ilikuwa Hivyo hakuna tofauti
LET'S HOPE Pengine Ataibadilisha United Kwenye game zinazo kuja na kuwa timu Tofauti Tusubiri tuone ila Kocha hitakiwi kuzitupa falsafa zako hata kama Huna wachezaji wakucheza Hivyo haya Sasa niaminisheni kuwa Ile timu ya Brighton inayo uza wachezaji Kila siku inawachezaji wazuri kuliko Man United!! Niaminisheni!! Why wao wanatandika soka safi??
Bado Nafikiri ten hag anamuda mrefu wa yeye mwenyewe kubadilika Kama anataka timu ibadilike ajiulize kwanza anataka kucheza soka la aina gani kwamaana mpaka sasa Haieleweki ni Tik taka ,QaunterAtrttack football au Ni Soka la aina gani
Still Erik ni Kocha wangu pendwa tangu akiwa Ajax Nilikuwa namfwatilia toka Kipindi hicho aliwahi kuhusishwa na vilabu vikubwa TU kama Barcelona na FC Bayern Munich na RB Leipzig ..Nilimpenda kwa aina ya soka lake lakuvutia but siyo hili la United ..Hope's itabadilika #kiganjaninews
Nakuhakikishia Rashford, Bruno, Antony na Garnacho wangefanya wajibu wao wala usingekuja na habari za kiungo hapa.Mkuu umemaanisha kabisa kusema sasa tunacheza vizuri hadi kwenye kiungo? Umetizama hizi game 2? Bwana mdogo Bissouma jana kaonea sana pale kiungo, wolves ndio usiseme kabisa.
Team naona haijakamilika bado, tunahitaji kusajili ila kubwa zaidi kule juu pawekwe watu wa mpira tu, Fletcher na mwenzie yule sina hakika kama wataleta mabadiliko yoyote ya kiufundi na uwanjani.
Tunafahamu mbinu za ETH hachezi mpira wa kubutua.Washangae hapo hata Potter ile mipasi yake alivyoenda Chelsea hatukuiona,sometimes wachezaji huwa ni wangese halafu watu waache kuchukulia ukocha kama kunawa na kula ugali
Wachezaji wa United hawaheshimu badge ya club.Just imagine tunakutana na Real Madrid Champions League sijui itakuwaje.
Nilitegemea maingizo hata 7 ili kupambana kule ila naona kuvuka makundi round hii itategemea na tulionao hasa wasiwe wanatoka zile top 5 leagues
Msimu uliopita mbona walikuwa wakipiga pass?Pass zinafundishwa ndio labda Kama hujui Hilo
Bastan anasema alikuwa hajui kupiga pass Hadi Pep alivyoenda baryen
Manjesta last season ni pass mbili tatu ,kwa BrunoMsimu uliopita mbona walikuwa wakipiga pass?
Rashford
GoalSawa mkuu, kwahiyo kumbe team haina shida ya kiungo? Tupo sawa kabisa tukomae na Casemiro na Mctominay kama DM na dogo Mainoo?Nakuhakikishia Rashford, Bruno, Antony na Garnacho wangefanya wajibu wao wala usingekuja na habari za kiungo hapa.
😃Team inauza Fred bila kuwa na mbadala? Nilishangaa sana.
Huyu Casemiro alikuwa miaka mingapi hapo Man Utd? Jamaa kaichukulia Man Utd kama team yale ya kustaafia soka sio kuipambania.
Msimu huu kazi tunayo..
Tuingie sokon sasa kusajiri kwa fujo...
Week hii utashangaa maingizo mapya tisa
Alijaribu kuweka blue print yake wachezaji wakamwangusha wakati timu ilikuwa na pressure ya matokeo.Manjesta last season ni pass mbili tatu ,kwa BrunoRashford
Goal
Na uzuri Rashford alikuwa form ya maisha yake
Ila tulisema Ten hag Hana brueprint tukaonekana wababaishaji, ila mark my words msimu mtajionea sababu Rashford hawez rudia form yake ile ambayo ndio ilificha madhaifu mengi
Kwamba Martinez na Anthony hawakuwa chaguo la Ten Hag au sioAlijaribu kuweka blue print yake wachezaji wakamwangusha wakati timu ilikuwa na pressure ya matokeo.
By the way kwa namna navyoifahamu Man United sidhani kama wachezaji aliosajili Ten Hag ni chaguo lake la kwanza au la pili.
Van Gaal alikuja kusema baada ya kufukuzwa kuwa wachezaji alikuwa akisajiliwa wale chaguo lake la tano au sita.
Mourinho vile vile alilalamikia usajili kuwa hapati targets zake.
Ole alikuwa clear na target zake na nyingi hazikusajiliwa, na msimu ambao alihitaji wachezaji aliletewa Cavani, Fecundo, na Amad.
Ole angefukuzwa msimu wake wa pili tu ila aliokolewa sana na ujio wa Bruno Fernandez ambaye alifunga goli nyingi kuliko hata strikers wetu.
Najua Erik Ten Hag anaweza kupoteza kazi yake kabla ya October kama timu itakuwa na Mwenendo usioridhisha ila kilicho wazi atasema kwanini ameshindwa kudeliver.