Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mlikua mmeshaanza kunenepa
20230820_004353.jpg
 
Kosa la Nani? Ikiwa kocha ndiye ana Power ya kuwaleta ,mzigo mnambebesha Grazzer

Ndio maana Kuna watu walisema kwa usajili huu ni Kama amesajili mchezaji mmoja tu ,Onana, huenda wakawa sahihi

Anzeni na kocha kabla ya wamiliki

Kocha kasapotiwa

€85m kwa CF
€100M kwa RW
€55m kwa GK
€60m kwa Kiungo


Bado mnalalamika wachezaji wabovu ,Nan anawaleta
Tulivowaambia 7hag ana mpira wa janjajanja walituona tunawaonea gere kwa mpira wao wa ajabu kupiga mapasi marefu rashid achomoke.
kocha kusajili awezi anasajili wachezaj alofanya nao kazi ila awezi kuwatumia wakija wanakua average player
 
Nashindwa kuelewa tatizo la hii team. Kocha ten hag namkubali na kumwamini sana nikikumbuka kazi zake na ajax kwenye uefa.

.ajax haina misuli ya pesa kama man u
.uwepo wake pale ajax alichukua ubingwa mara 3 mfululizo

.alipoondoka tu, ajax imeyumba.

.show yake uefa tulikuwa tunaiona hasa alipowavuruga vigogo ulaya kama madrid, chelsea, tottenham, n.k.

hili tim la man u lina tatizo gani mpaka inakuwa hivi?
Timu iliyumba sababu kubwa ni key players kuuzwa (De Ligt,De Jong ,De Beek,Ziyech) waliuzwa baada ya yale mafanikio na DOF Overmars kujiuzulu baada ya scandal ya kwanyanyasa wafanyakazi wa kike

Frank De Boer alichukua ubingwa wa Holland misimu 4 mfululizo lakini alishinda game 1 tu EPL
 
Tajiri ndio anaewafundisha wachezaji kuruka ruka uwanjani!?

Nenda kaziangalie BRIGHTON Newcastle Brentford na Tottenham zilinganishe na MANCHESTER ni nani katumia hela kwenye usajili!?

Ni nani ana kikosi cha bei mbaya!?

Ni nani alieoza UWANJANI kati yetu sisi wenye mwalimu ten HAG na wao .

Ipi timu isiyokuwa na maajabu yoyote UWANJANI.

Kisha utasema TATIZO ni matajiri hapo!?

Wacheni kuishi kwa kukariri matajiri hawachezi MPIRA.

Ten hag kwanza hata jicho la usajili hana ni anabahatisha mnooo.

Kuoandisha viwango wachezaji pia hawezi.

Tunamlaumu sancho kila siku kumbe sancho ni kakosa mwalimu tu.

Maguire nae kakosa mwalimu tu.

Kwa ten hag ikiwa ronaldo kafeli nani mwengine atakaefaulu!?

Matic pogba mata wote kawatoa na sasa kamtoa FRED.

Kisha nenda katazame aliowaleta na tazama kazi zao wanazozifanya uwanjani kisha linganisha na wachezaji aliowatoa ni sawa!?

Kauza ZIDANE IQBAL kwa bei ya mkaa na juzi kamtoa kipa bora kabisa matej kovar.

Na sasa anataka kipa mwengine na KIUNGO je pana kocha hapo!?

Msimu uliopita UNITED imebebwa na dua tu sasa sijui msimu huu kama mungu ataziskia pia dua zetu au atawaskia Chelsea 🤕
 
Kosa la Nani? Ikiwa kocha ndiye ana Power ya kuwaleta ,mzigo mnambebesha Grazzer

Ndio maana Kuna watu walisema kwa usajili huu ni Kama amesajili mchezaji mmoja tu ,Onana, huenda wakawa sahihi

Anzeni na kocha kabla ya wamiliki

Kocha kasapotiwa

€85m kwa CF
€100M kwa RW
€55m kwa GK
€60m kwa Kiungo


Bado mnalalamika wachezaji wabovu ,Nan anawaleta
Tajiri ndio anaewafundisha wachezaji kuruka ruka uwanjani!?

Nenda kaziangalie BRIGHTON Newcastle Brentford na Tottenham zilinganishe na MANCHESTER ni nani katumia hela kwenye usajili!?

Ni nani ana kikosi cha bei mbaya!?

Ni nani alieoza UWANJANI kati yetu sisi wenye mwalimu ten HAG na wao .

Ipi timu isiyokuwa na maajabu yoyote UWANJANI.

Kisha utasema TATIZO ni matajiri hapo!?

Wacheni kuishi kwa kukariri matajiri hawachezi MPIRA.

Ten hag kwanza hata jicho la usajili hana ni anabahatisha mnooo.

Kuoandisha viwango wachezaji pia hawezi.

Tunamlaumu sancho kila siku kumbe sancho ni kakosa mwalimu tu.

Maguire nae kakosa mwalimu tu.

Kwa ten hag ikiwa ronaldo kafeli nani mwengine atakaefaulu!?

Matic pogba mata wote kawatoa na sasa kamtoa FRED.

Kisha nenda katazame aliowaleta na tazama kazi zao wanazozifanya uwanjani kisha linganisha na wachezaji aliowatoa ni sawa!?

Kauza ZIDANE IQBAL kwa bei ya mkaa na juzi kamtoa kipa bora kabisa matej kovar.

Na sasa anataka kipa mwengine na KIUNGO je pana kocha hapo!?

Msimu uliopita UNITED imebebwa na dua tu sasa sijui msimu huu kama mungu ataziskia pia dua zetu au atawaskia Chelsea 🤕
 
Tajiri ndio anaewafundisha wachezaji kuruka ruka uwanjani!?

Nenda kaziangalie BRIGHTON Newcastle Brentford na Tottenham zilinganishe na MANCHESTER ni nani katumia hela kwenye usajili!?

Ni nani ana kikosi cha bei mbaya!?

Ni nani alieoza UWANJANI kati yetu sisi wenye mwalimu ten HAG na wao .

Ipi timu isiyokuwa na maajabu yoyote UWANJANI.

Kisha utasema TATIZO ni matajiri hapo!?

Wacheni kuishi kwa kukariri matajiri hawachezi MPIRA.

Ten hag kwanza hata jicho la usajili hana ni anabahatisha mnooo.

Kuoandisha viwango wachezaji pia hawezi.

Tunamlaumu sancho kila siku kumbe sancho ni kakosa mwalimu tu.

Maguire nae kakosa mwalimu tu.

Kwa ten hag ikiwa ronaldo kafeli nani mwengine atakaefaulu!?

Matic pogba mata wote kawatoa na sasa kamtoa FRED.

Kisha nenda katazame aliowaleta na tazama kazi zao wanazozifanya uwanjani kisha linganisha na wachezaji aliowatoa ni sawa!?

Kauza ZIDANE IQBAL kwa bei ya mkaa na juzi kamtoa kipa bora kabisa matej kovar.

Na sasa anataka kipa mwengine na KIUNGO je pana kocha hapo!?

Msimu uliopita UNITED imebebwa na dua tu sasa sijui msimu huu kama mungu ataziskia pia dua zetu au atawaskia Chelsea
Huyu nae kama mwehu wachezaji walioondoka bure msimu uliopita unamlaumu vp kocha?

Pogba,Matic na Mata walikuwa nje ya uwezo wake
 
Midfield area yetu ni kama mlango wa chooni tu,kila mtu anaenda bila kuzuiliwa. Casemiro kiasi amekuwa floppy sana msimu huu,uwezo wa kukaba umeshuka kiasi na upigaji pass pamoja na kumiliki dimba ni dhoofu.

Wasiwasi wangu uko kwa kiwango cha Rashford, nadhani Erik 1oHag anapewa shinikizo kuhusu wachezaji wa Mfalme.
 
Positive things katika mechi ya jana:-

i) Chezaji la ballon d'or limerudi, na lipo fit kabisa kwa msimu huu. Si mwingine ni MartiaL

ii) Rashidi is on fyaaaayaaaaa, tumpe mida akkk-lick kwenye mfumo.

iii) Antony dos Santos ananikumbusha Aren Robben wa Bayern kabisa yani

iv) Best DM duniani, Casemiiiiiirrrrrooooo

v).... ongezea
 
Midfield area yetu ni kama mlango wa chooni tu,kila mtu anaenda bila kuzuiliwa. Casemiro kiasi amekuwa floppy sana msimu huu,uwezo wa kukaba umeshuka kiasi na upigaji pass pamoja na kumiliki dimba ni dhoofu.

Wasiwasi wangu uko kwa kiwango cha Rashford, nadhani Erik 1oHag anapewa shinikizo kuhusu wachezaji wa Mfalme.
Casemiro Anahitaji Partner Wa Maana Sio Midfielder Kama Mount.
 
Back
Top Bottom