Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

17 mbona tayari
Wengine wana namba ila yeye hana namba
Screenshot_20230817-180421_Man%20Utd.jpg
 
Jamie Carragher -

"Bei za Rice na Caicedo ni bargain. Pia ni dili nzuri.

Ushahidi wa hilo ni pauni milioni 70 ambazo Manchester United walilipa msimu uliopita kwa ajili ya Casemiro.

Mbrazil huyo ataishia kuigharimu United zaidi ya Arsenal na Chelsea walivyolipa Rice na Caicedo. ."

"Caicedo na Rice ni mifano ya kufikiria mbele - kuokoa pesa kwa miaka sita au saba ijayo ambapo watachukua jukumu lao."

"Sikuwahi kuamini kwamba Casemiro angekuwa na thamani hiyo ya pesa. Sio kwa sababu kuna shaka yoyote na uwezo wake amekuwa mchezaji wa kiwango cha juu . Lakini kwa sababu yuko katika hatua ya mwisho ya kazi yake ambapo hawezi kulipa kikamilifu ada kubwa ya United.

Ni panic buy alipojiunga mwaka mmoja uliopita, alinunuliwa mara tu baada ya kushindwa kumfuatilia Frenki de Jong kutoka Barcelona"

"Casemiro alikuwa bora kama mtu yeyote duniani wakati huo. Sasa kuna hatari United wanaweza kuwa na anasa ya gharama kubwa wasiyoweza kumudu.

Hawatakuwa washindani wa mataji hadi wampate Rodri, Caicedo au Rice wao wenyewe."

(@YahooSports)
 
Jamie Carragher -

"Bei za Rice na Caicedo ni bargain. Pia ni dili nzuri.

Ushahidi wa hilo ni pauni milioni 70 ambazo Manchester United walilipa msimu uliopita kwa ajili ya Casemiro.

Mbrazil huyo ataishia kuigharimu United zaidi ya Arsenal na Chelsea walivyolipa Rice na Caicedo. ."

"Caicedo na Rice ni mifano ya kufikiria mbele - kuokoa pesa kwa miaka sita au saba ijayo ambapo watachukua jukumu lao."

"Sikuwahi kuamini kwamba Casemiro angekuwa na thamani hiyo ya pesa. Sio kwa sababu kuna shaka yoyote na uwezo wake amekuwa mchezaji wa kiwango cha juu . Lakini kwa sababu yuko katika hatua ya mwisho ya kazi yake ambapo hawezi kulipa kikamilifu ada kubwa ya United.

Ni panic buy alipojiunga mwaka mmoja uliopita, alinunuliwa mara tu baada ya kushindwa kumfuatilia Frenki de Jong kutoka Barcelona"

"Casemiro alikuwa bora kama mtu yeyote duniani wakati huo. Sasa kuna hatari United wanaweza kuwa na anasa ya gharama kubwa wasiyoweza kumudu.

Hawatakuwa washindani wa mataji hadi wampate Rodri, Caicedo au Rice wao wenyewe."

(@YahooSports)
Q

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niliwahi kuongea haya anayosema Carragher ,kina flano na Genge lake wakaniita Mc masingeli

Ten hag anataka kucheza a total football ile ya kidutch lakini sajili zake zinatia mashaka Sana

Alitoa €100m kwa Anthony Santos

Alitoa €70m kwa Casemiro ambaye hawez kumtumia zaidi ya misimu miwili

Ametoa €85m kwa CF ana goli 9 tu huku kukiwa na hofu ya kuwa injury prone

Ametoa €65m kwa mount ambaye it's like mstaafu anavyocheza


Jamie Carragher -

"Bei za Rice na Caicedo ni bargain. Pia ni dili nzuri.

Ushahidi wa hilo ni pauni milioni 70 ambazo Manchester United walilipa msimu uliopita kwa ajili ya Casemiro.

Mbrazil huyo ataishia kuigharimu United zaidi ya Arsenal na Chelsea walivyolipa Rice na Caicedo. ."

"Caicedo na Rice ni mifano ya kufikiria mbele - kuokoa pesa kwa miaka sita au saba ijayo ambapo watachukua jukumu lao."

"Sikuwahi kuamini kwamba Casemiro angekuwa na thamani hiyo ya pesa. Sio kwa sababu kuna shaka yoyote na uwezo wake amekuwa mchezaji wa kiwango cha juu . Lakini kwa sababu yuko katika hatua ya mwisho ya kazi yake ambapo hawezi kulipa kikamilifu ada kubwa ya United.

Ni panic buy alipojiunga mwaka mmoja uliopita, alinunuliwa mara tu baada ya kushindwa kumfuatilia Frenki de Jong kutoka Barcelona"

"Casemiro alikuwa bora kama mtu yeyote duniani wakati huo. Sasa kuna hatari United wanaweza kuwa na anasa ya gharama kubwa wasiyoweza kumudu.

Hawatakuwa washindani wa mataji hadi wampate Rodri, Caicedo au Rice wao wenyewe."

(@YahooSports)
 
Rachel Riley will desert ManUtd if they bring Mason greenwood back


#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230818_154122_947.jpg
 
Niliwahi kuongea haya anayosema Carragher ,kina flano na Genge lake wakaniita Mc masingeli

Ten hag anataka kucheza a total football ile ya kidutch lakini sajili zake zinatia mashaka Sana

Alitoa €100m kwa Anthony Santos

Alitoa €70m kwa Casemiro ambaye hawez kumtumia zaidi ya misimu miwili

Ametoa €85m kwa CF ana goli 9 tu huku kukiwa na hofu ya kuwa injury prone

Ametoa €65m kwa mount ambaye it's like mstaafu anavyocheza
Tuachie timu yetu kaka
 
Sofyan Amrabat – £25m
Amadou Onana – £50m
Ryan Gravenberch – £23m

Who should #mufc sign?

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |
IMG_20230818_154040_617.jpg
IMG_20230818_154039_892.jpg
IMG_20230818_154040_459.jpg
 
Hata akiondoka Ten Hag wataokuja ni yaleyale nafuu ya yeye kaonesha mamlaka yake.
Nani kakwambia hao wachezaji mizigo anawataka? Huwa anawapa nafasi japo kidogo ili baadae awakate vizuri ni mifano tumejionea.

Wote wataondolewa tu ila shida ipo kwenye kusajili wanaohusika wapo slow wanafukuzia mchezaji miezi hata 3,Kim Min Jae alikuwa si wa kumkosa ila kwa sababu sajili zao wanaanzaga July wakaharibu.


Tunaomuelewa tutasimama nae hadi mwisho mbali na yeye ni Ole tu ndio ambaye alianza kurudisha utamaduni wa timu kama wa Fergie sema alikuwa hana mamlaka ya kimaamuzi.

Akifeli Ten Hag basi tusubiri na sisi kukaa miaka 30 bila kombe la ligi maana hakuna kocha atayeweza hata Pep United anaweza kuonekana tapeli.
Dahhh😔
 
Sofyan Amrabat – £25m
Amadou Onana – £50m
Ryan Gravenberch – £23m

Who should #mufc sign?

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |View attachment 2720786View attachment 2720787View attachment 2720788
Ryan Gravenberch, Redondo, Enzo Le Fee.
 
View attachment 2720843

LFC have completed the signing of Wataru Endo from Stuttgart for around £16.2m.
The Japan international has signed a four-year contract.
He will wear the No 3 shirt.
Bila shaka Carragher atakuwa na maoni sawa na aliyotoa kwa Casemiro.

Guardiola tangu amehamia Man City wachezaji wengi aliosajili ni 27 and above.

Kuna siri gani kwa Pep kusajili wachezaji matured hivyo ?
 
Sofyan Amrabat – £25m
Amadou Onana – £50m
Ryan Gravenberch – £23m

Who should #mufc sign?

#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |View attachment 2720787
Wamchukue tu huyu
 
Jamie Carragher -

"Bei za Rice na Caicedo ni bargain. Pia ni dili nzuri.

Ushahidi wa hilo ni pauni milioni 70 ambazo Manchester United walilipa msimu uliopita kwa ajili ya Casemiro.

Mbrazil huyo ataishia kuigharimu United zaidi ya Arsenal na Chelsea walivyolipa Rice na Caicedo. ."

"Caicedo na Rice ni mifano ya kufikiria mbele - kuokoa pesa kwa miaka sita au saba ijayo ambapo watachukua jukumu lao."

"Sikuwahi kuamini kwamba Casemiro angekuwa na thamani hiyo ya pesa. Sio kwa sababu kuna shaka yoyote na uwezo wake amekuwa mchezaji wa kiwango cha juu . Lakini kwa sababu yuko katika hatua ya mwisho ya kazi yake ambapo hawezi kulipa kikamilifu ada kubwa ya United.

Ni panic buy alipojiunga mwaka mmoja uliopita, alinunuliwa mara tu baada ya kushindwa kumfuatilia Frenki de Jong kutoka Barcelona"

"Casemiro alikuwa bora kama mtu yeyote duniani wakati huo. Sasa kuna hatari United wanaweza kuwa na anasa ya gharama kubwa wasiyoweza kumudu.

Hawatakuwa washindani wa mataji hadi wampate Rodri, Caicedo au Rice wao wenyewe."

(@YahooSports)

Kwani hv wewe unaumia sana eeh man u wanavyotoa hela ndefu ndefu tu??
Maana hakuna anaechangia pale man u zaidi ya kelele tu!! Mm napenda waendelee tu ivo ivo maana hata hzo pesa za usajili hazifikii glazers wanazochota
 
Bila shaka Carragher atakuwa na maoni sawa na aliyotoa kwa Casemiro.

Guardiola tangu amehamia Man City wachezaji wengi aliosajili ni 27 and above.

Kuna siri gani kwa Pep kusajili wachezaji matured hivyo ?

“Matured” there is the answer
 
Rachel Riley will desert ManUtd if they bring Mason greenwood back


#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐

man utd |View attachment 2720785
Huyu mdada Rachel Riley ana impact gani akiacha kuisapoti United hadi anapewa promo kubwa hivi?
We need Greenwood back to the team.
 
13 days to go kiungo kimechoka mechi ya kwanza tu,RB kunatia mashaka, frontline Hojlund kaanza na majeruhi lakini Man Utd yangu haijitikisi wala nini.
Ina maana tumemaliza kusajili dirisha hili au mimi ndio napitwa na taarifa za timu yetu?
 
13 days to go kiungo kimechoka mechi ya kwanza tu,RB kunatia mashaka, frontline Hojlund kaanza na majeruhi lakini Man Utd yangu haijitikisi wala nini.
Ina maana tumemaliza kusajili dirisha hili au mimi ndio napitwa na taarifa za timu yetu?
Sio kwamba hawasajili,ni wanatakiwa kuuza kwanza wachezajii ndio wasajili kitu ambacho ni kigumu deadwoods wetu wote hawauziki deals zao zimefeli,Fred ni kama zali tu Mbrazil anataka kusakata kabumbu ndio maana kakubali kusepa.
Hao wengine wapo tayari wale mishahara minono hata wakiwa benchi bila jasho.


Haya matatizo tumejitengenezea wenyewe
 
Back
Top Bottom