Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,874
- 32,793
Wengine wana namba ila yeye hana namba17 mbona tayari
Wengine wana namba ila yeye hana namba17 mbona tayari
QJamie Carragher -
"Bei za Rice na Caicedo ni bargain. Pia ni dili nzuri.
Ushahidi wa hilo ni pauni milioni 70 ambazo Manchester United walilipa msimu uliopita kwa ajili ya Casemiro.
Mbrazil huyo ataishia kuigharimu United zaidi ya Arsenal na Chelsea walivyolipa Rice na Caicedo. ."
"Caicedo na Rice ni mifano ya kufikiria mbele - kuokoa pesa kwa miaka sita au saba ijayo ambapo watachukua jukumu lao."
"Sikuwahi kuamini kwamba Casemiro angekuwa na thamani hiyo ya pesa. Sio kwa sababu kuna shaka yoyote na uwezo wake amekuwa mchezaji wa kiwango cha juu . Lakini kwa sababu yuko katika hatua ya mwisho ya kazi yake ambapo hawezi kulipa kikamilifu ada kubwa ya United.
Ni panic buy alipojiunga mwaka mmoja uliopita, alinunuliwa mara tu baada ya kushindwa kumfuatilia Frenki de Jong kutoka Barcelona"
"Casemiro alikuwa bora kama mtu yeyote duniani wakati huo. Sasa kuna hatari United wanaweza kuwa na anasa ya gharama kubwa wasiyoweza kumudu.
Hawatakuwa washindani wa mataji hadi wampate Rodri, Caicedo au Rice wao wenyewe."
(@YahooSports)
Jamie Carragher -
"Bei za Rice na Caicedo ni bargain. Pia ni dili nzuri.
Ushahidi wa hilo ni pauni milioni 70 ambazo Manchester United walilipa msimu uliopita kwa ajili ya Casemiro.
Mbrazil huyo ataishia kuigharimu United zaidi ya Arsenal na Chelsea walivyolipa Rice na Caicedo. ."
"Caicedo na Rice ni mifano ya kufikiria mbele - kuokoa pesa kwa miaka sita au saba ijayo ambapo watachukua jukumu lao."
"Sikuwahi kuamini kwamba Casemiro angekuwa na thamani hiyo ya pesa. Sio kwa sababu kuna shaka yoyote na uwezo wake amekuwa mchezaji wa kiwango cha juu . Lakini kwa sababu yuko katika hatua ya mwisho ya kazi yake ambapo hawezi kulipa kikamilifu ada kubwa ya United.
Ni panic buy alipojiunga mwaka mmoja uliopita, alinunuliwa mara tu baada ya kushindwa kumfuatilia Frenki de Jong kutoka Barcelona"
"Casemiro alikuwa bora kama mtu yeyote duniani wakati huo. Sasa kuna hatari United wanaweza kuwa na anasa ya gharama kubwa wasiyoweza kumudu.
Hawatakuwa washindani wa mataji hadi wampate Rodri, Caicedo au Rice wao wenyewe."
(@YahooSports)
Tuachie timu yetu kakaNiliwahi kuongea haya anayosema Carragher ,kina flano na Genge lake wakaniita Mc masingeli
Ten hag anataka kucheza a total football ile ya kidutch lakini sajili zake zinatia mashaka Sana
Alitoa €100m kwa Anthony Santos
Alitoa €70m kwa Casemiro ambaye hawez kumtumia zaidi ya misimu miwili
Ametoa €85m kwa CF ana goli 9 tu huku kukiwa na hofu ya kuwa injury prone
Ametoa €65m kwa mount ambaye it's like mstaafu anavyocheza
Dahhh😔Hata akiondoka Ten Hag wataokuja ni yaleyale nafuu ya yeye kaonesha mamlaka yake.
Nani kakwambia hao wachezaji mizigo anawataka? Huwa anawapa nafasi japo kidogo ili baadae awakate vizuri ni mifano tumejionea.
Wote wataondolewa tu ila shida ipo kwenye kusajili wanaohusika wapo slow wanafukuzia mchezaji miezi hata 3,Kim Min Jae alikuwa si wa kumkosa ila kwa sababu sajili zao wanaanzaga July wakaharibu.
Tunaomuelewa tutasimama nae hadi mwisho mbali na yeye ni Ole tu ndio ambaye alianza kurudisha utamaduni wa timu kama wa Fergie sema alikuwa hana mamlaka ya kimaamuzi.
Akifeli Ten Hag basi tusubiri na sisi kukaa miaka 30 bila kombe la ligi maana hakuna kocha atayeweza hata Pep United anaweza kuonekana tapeli.
Ryan Gravenberch, Redondo, Enzo Le Fee.Sofyan Amrabat – £25m
Amadou Onana – £50m
Ryan Gravenberch – £23m
Who should #mufc sign?
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐
man utd |View attachment 2720786View attachment 2720787View attachment 2720788
Bila shaka Carragher atakuwa na maoni sawa na aliyotoa kwa Casemiro.View attachment 2720843
LFC have completed the signing of Wataru Endo from Stuttgart for around £16.2m.
The Japan international has signed a four-year contract.
He will wear the No 3 shirt.
Wamchukue tu huyuSofyan Amrabat – £25m
Amadou Onana – £50m
Ryan Gravenberch – £23m
Who should #mufc sign?
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐
man utd |View attachment 2720787
Jamie Carragher -
"Bei za Rice na Caicedo ni bargain. Pia ni dili nzuri.
Ushahidi wa hilo ni pauni milioni 70 ambazo Manchester United walilipa msimu uliopita kwa ajili ya Casemiro.
Mbrazil huyo ataishia kuigharimu United zaidi ya Arsenal na Chelsea walivyolipa Rice na Caicedo. ."
"Caicedo na Rice ni mifano ya kufikiria mbele - kuokoa pesa kwa miaka sita au saba ijayo ambapo watachukua jukumu lao."
"Sikuwahi kuamini kwamba Casemiro angekuwa na thamani hiyo ya pesa. Sio kwa sababu kuna shaka yoyote na uwezo wake amekuwa mchezaji wa kiwango cha juu . Lakini kwa sababu yuko katika hatua ya mwisho ya kazi yake ambapo hawezi kulipa kikamilifu ada kubwa ya United.
Ni panic buy alipojiunga mwaka mmoja uliopita, alinunuliwa mara tu baada ya kushindwa kumfuatilia Frenki de Jong kutoka Barcelona"
"Casemiro alikuwa bora kama mtu yeyote duniani wakati huo. Sasa kuna hatari United wanaweza kuwa na anasa ya gharama kubwa wasiyoweza kumudu.
Hawatakuwa washindani wa mataji hadi wampate Rodri, Caicedo au Rice wao wenyewe."
(@YahooSports)
Bila shaka Carragher atakuwa na maoni sawa na aliyotoa kwa Casemiro.
Guardiola tangu amehamia Man City wachezaji wengi aliosajili ni 27 and above.
Kuna siri gani kwa Pep kusajili wachezaji matured hivyo ?
Huyu mdada Rachel Riley ana impact gani akiacha kuisapoti United hadi anapewa promo kubwa hivi?Rachel Riley will desert ManUtd if they bring Mason greenwood back
#𝙏𝙧𝙪𝙨𝙩𝙏𝙝𝙚𝙋𝙧𝙤𝙘𝙚𝙨𝙨𝙀𝙏𝙃
#𝙐𝙣𝙞𝙩𝙚𝙙𝙛𝙤𝙧𝙩𝙝𝙚𝙁𝙖𝙣𝙨
#𝙎𝙝𝙚𝙞𝙠𝙝𝙅𝙖𝙨𝙨𝙞𝙢𝙄𝙣𝘼𝙩𝙈𝙖𝙣𝙐𝙩𝙙
#𝙂𝙡𝙖𝙯𝙚𝙧𝙊𝙐𝙏
#𝙂𝙂𝙈𝙐
man utd |View attachment 2720785
Hawana hela wamsajili amrabat na mason arudi basi13 days to go kiungo kimechoka mechi ya kwanza tu,RB kunatia mashaka, frontline Hojlund kaanza na majeruhi lakini Man Utd yangu haijitikisi wala nini.
Ina maana tumemaliza kusajili dirisha hili au mimi ndio napitwa na taarifa za timu yetu?
Sio kwamba hawasajili,ni wanatakiwa kuuza kwanza wachezajii ndio wasajili kitu ambacho ni kigumu deadwoods wetu wote hawauziki deals zao zimefeli,Fred ni kama zali tu Mbrazil anataka kusakata kabumbu ndio maana kakubali kusepa.13 days to go kiungo kimechoka mechi ya kwanza tu,RB kunatia mashaka, frontline Hojlund kaanza na majeruhi lakini Man Utd yangu haijitikisi wala nini.
Ina maana tumemaliza kusajili dirisha hili au mimi ndio napitwa na taarifa za timu yetu?
Natamani sana Greenwood arudi ila naona uwezekano mdogo sanaHawana hela wamsajili amrabat na mason arudi basi