Al-Hadidy
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 1,413
- 3,078
We jamaa ni Qumer, do me a favor plz, don't quote ma' post



yah yote sawa tu tangu nikujue humu sijawahi kuona umeandika comment ya furaha

Shida ya nn sasa wakati timu sio kabila

We jamaa ni Qumer, do me a favor plz, don't quote ma' post



yah yote sawa tu tangu nikujue humu sijawahi kuona umeandika comment ya furaha


Kuna wapuuzi wamevamia jukwaa juzi tu hapa wamefanya jukwaa ni lao, ukiwa na mawazo tofauti unaitwa mama na kauli zingine za kutu disvalue, tupo humu ndani toka kipindi cha moyes, na wapuuzi kama hawa huwa wanakuja na kuondoka wanatuacha,Mbona lugha zisizo na staha zenye matusi zimejaa hili jukwaa? Shida nini vijana
Kuna changamoto ya malezi kwa vijana wa kisasaKuna wapuuzi wamevamia jukwaa juzi tu hapa wamefanya jukwaa ni lao, ukiwa na mawazo tofauti unaitwa mama na kauli zingine za kutu disvalue, tupo humu ndani toka kipindi cha moyes, na wapuuzi kama hawa huwa wanakuja na kuondoka wanatuacha,
Shabiki wa timu pinzani akiongea negative tunachukulia kama challenge ila fellow mwenzetu hatuwezi vunga.Kuna wapuuzi wamevamia jukwaa juzi tu hapa wamefanya jukwaa ni lao, ukiwa na mawazo tofauti unaitwa mama na kauli zingine za kutu disvalue, tupo humu ndani toka kipindi cha moyes, na wapuuzi kama hawa huwa wanakuja na kuondoka wanatuacha,




Mkuu, unataka kusema mashabiki wa timu moja hawatakiwi kutofautiana mtazamo juu ya jambo fulani ?Shabiki wa timu pinzani akiongea negative tunachukulia kama challenge ila fellow mwenzetu hatuwezi vunga.
Haiwezekani kila siku mtu upo negative tu![]()
Tunatakiwa kutofautiana right,hata mimi kuna vitu vibovu huwa napondea but sehemu ya compliment sina hiyana.Mkuu, unataka kusema mashabiki wa timu moja hawatakiwi kutofautiana mtazamo juu ya jambo fulani ?
Huyu jamaa tokea Mourinho afurushwe Old Trafford aligeuka kuwa disliker kwa lolote linalohusu United.Tushazoea acha kulialia mtoto wa kiume kila day mawazo yako negative tu hamia Man City ufurahi kila siku hawana mapungufu kama yetu
He is Glazer's puppet usitegemee hili kutokea mapema, what is doing now ni kuendelea kuwajaza mahela Glazers by offloading highest paid players na kuwa replace na low and cheap players huku akiwaaminisha mashabiki kuwa Werghost ni bora kuliko Cr7.Huyu jamaa tokea Mourinho afurushwe Old Trafford aligeuka kuwa disliker kwa lolote linalohusu United.
Amesha predict kuwa Ten Hag atatimuliwa kabla ya Krismasi akiendelea kusajili wachezaji ambao ameshafanya nao kazi..yetu macho.
Glazers puppet wapi?He is Glazer's puppet usitegemee hili kutokea mapema, what is doing now ni kuendelea kuwajaza mahela Glazers by offloading highest paid players na kuwa replace na low and cheap players huku akiwaaminisha mashabiki kuwa Werghost ni bora kuliko Cr7.
SevenHag ame manage kuwa brainwash mashabiki na kuwaaminisha kupigwa SABA BILA na biggest rival ni jambo la kawaida, kwa timu inayo jitambua hii ilikua ni sababu tosha ya kurudishwa uholanzi.
mbona anasema huyo ndo striker wake hana haja ya mtu mwengineGlazers puppet wapi?
Unadhani kuna kocha anayeweza kuasi dhidi ya Wamiliki waliomuajiri?
Au unataka nae atembeze bango la Glazers out?
Kama hivyo basi makocha wote waliopita waljkuwa ni puppets pia.
Wa kuwaondoa hao jamaa sio kocha ni mashabiki wa UK na protests za nguvu,mlaumu kocha sehemu zote ila kuhusu uwepo wa Glazers unamuonea tu
Kuhusu kumfurusha CR7 ndio biggest thing aliyofanya tangu atue nampa tano,aliwambia nani Weghorst alikuja kuziba pengo la CR7?
Ni majeraha ya Martial ndio yalifanya Weghorst aletwe kwa mkopo wa muda mfupi,mkopo wa miezi 6 tu unalialia je angesajiliwa permanent je.
ETH angepewa hela ya kusajili striker unadhani angemleta huyo jamaa?
kocha pupper kweli cheki madrid wa modric,tchouameni,camavinga,kroos na bado wamemchukua bellingham yeye alivyofala kakimbilia kwa mount na mctominay mbele akimtegemea martial na rashidi kufany maajabu miaka yote wako vilevile hawabadilikmbona anasema huyo ndo striker wake hana haja ya mtu mwengine View attachment 2701012
We jamaa huwa unatema madini sana kwenye hili jukwaa.He is Glazer's puppet usitegemee hili kutokea mapema, what is doing now ni kuendelea kuwajaza mahela Glazers by offloading highest paid players na kuwa replace na low and cheap players huku akiwaaminisha mashabiki kuwa Werghost ni bora kuliko Cr7.
SevenHag ame manage kuwa brainwash mashabiki na kuwaaminisha kupigwa SABA BILA na biggest rival ni jambo la kawaida, kwa timu inayo jitambua hii ilikua ni sababu tosha ya kurudishwa uholanzi.
Kuna changamoto ya malezi kwa vijana wa kisa
Vijana waliolelewa na dada wa kazi ni wa ovyo sana.
Ndio maana narudia kila saa kuwa hamna akili,lini kocha kasema hana haja ya striker wakati ndio kati ya main target kwenye sajili zake?mbona anasema huyo ndo striker wake hana haja ya mtu mwengine View attachment 2701012



Narudi palepale kuwa hamna akilikocha pupper kweli cheki madrid wa modric,tchouameni,camavinga,kroos na bado wamemchukua bellingham yeye alivyofala kakimbilia kwa mount na mctominay mbele akimtegemea martial na rashidi kufany maajabu miaka yote wako vilevile hawabadilik


Si wanasaka striker wa Atlanta ?kocha pupper kweli cheki madrid wa modric,tchouameni,camavinga,kroos na bado wamemchukua bellingham yeye alivyofala kakimbilia kwa mount na mctominay mbele akimtegemea martial na rashidi kufany maajabu miaka yote wako vilevile hawabadilik