Hata Rashford leo amekuwa takataka?Leo nimeamini Ten Hag ni fala. Rashford, Garnacho & Antony wanafanya nini? Ahhhh














Hii timu ni yakuvnjwa kila kitu imejaa wanafki ma Feminist ma gay na poor governance structureNashindwa kuelewa tatizo la hii team. Kocha ten hag namkubali na kumwamini sana nikikumbuka kazi zake na ajax kwenye uefa.
.ajax haina misuli ya pesa kama man u
.uwepo wake pale ajax alichukua ubingwa mara 3 mfululizo
.alipoondoka tu, ajax imeyumba.
.show yake uefa tulikuwa tunaiona hasa alipowavuruga vigogo ulaya kama madrid, chelsea, tottenham, n.k.
hili tim la man u lina tatizo gani mpaka inakuwa hivi?
Endelea kuota ndotoHizi hasira tutazimalizia kwa Arsenal we ngoja tu
Ukiwekewa statistics zake za leo utashika mdomoHivi mount yupo??
Ziweke mkuuUkiwekewa statistics zake za leo utashika mdomo