mkombengwa
JF-Expert Member
- Dec 4, 2011
- 3,180
- 3,458
Mitano tena
Hana shida. Shida ipo kwa washambuliajiUsajili wa Mount mimi ulinishangaza sana, sijui kocha aliona nini kwake.
Halafu wasiojua mpira walikuwa wanadhan Conte hajasapitiwa ,ukweli alipewa pesa asajili ,ila kwasasa EPL ukileta pira makande hutoboiPhysicality waliyonayo Spurs ni bora, Man Utd wako nyonde nyonde.. niliwaambia mapema sana, Spurs ya sasa sio ile butua butua ya Conte, asaivi wana mpira wa mipango, linawekwa pira chini unaona!
Uendeshaji timu tofauti Ajax ina viongozi wenye brain ya kisoka ×100 ya United.Nashindwa kuelewa tatizo la hii team. Kocha ten hag namkubali na kumwamini sana nikikumbuka kazi zake na ajax kwenye uefa.
.ajax haina misuli ya pesa kama man u
.uwepo wake pale ajax alichukua ubingwa mara 3 mfululizo
.alipoondoka tu, ajax imeyumba.
.show yake uefa tulikuwa tunaiona hasa alipowavuruga vigogo ulaya kama madrid, chelsea, tottenham, n.k.
hili tim la man u lina tatizo gani mpaka inakuwa hivi?
Mkuu taratibuHuyu Kiparangoto ni fala sana, toa Garnacho na Antony.
Mkuu poleShaw upande wake saizi ni njia Sana.
Mkuu hili jina limekaa kibabe sanaA Dutch David Moyes Erik 7 hag
Tottenham haina mpira wwte wa maana , ni kuwa wamekutana wote wanajifunza kucheza mpira wa Pasi aliyetangulia kuimprove ndo ameshinda , huwez kumponda konte Kwa hzi mechi mbiliHalafu wasiojua mpira walikuwa wanadhan Conte hajasapitiwa ,ukweli alipewa pesa asajili ,ila kwasasa EPL ukileta pira makande hutoboi
Conte alikuwa anamuweka bench Bissouma eti
Ni swala la muda mtaelewa ninachozungumza daily kuhusu Erik 7 hag a Dutch Tony pulisVip nyie wacheza netball
Unazungumzia default mode mkuu?Sasa hii ndio minyumbu ninayoijua mimi
Mkuu naomba nikusalimie hata kwenye uzi wa hawa panda milia HESHIMA YAKO MKUUU maana nyuzi zetu wamezikorofushaNadhani soon mchambuzi nguli nitaanza kupewa heshima yangu
Ni swala la muda tu
Ukimaliza post msimamo mkuuETH MJINGA SANA...KWA HIYO HII NDIO SUB TULIKUWA TUNAITAKA!!! pambaf. INGIZA PELESTRI
Nimecheka sanaHatimaye tumempata mrithi wa MAGUIRE anaitwa MARTINEZ.
Na jukwaa la arsenal utuleteeETH MJINGA SANA...KWA HIYO HII NDIO SUB TULIKUWA TUNAITAKA!!! pambaf. INGIZA PELESTRI
Vip kipa la kudaka mishaleHatimaye tumempata mrithi wa MAGUIRE anaitwa MARTINEZ.
Hata wapakwe rangi hawawezi kuwa farasiNyumbu ni Nyumbu tu.