Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mitano tena
1225864628.jpg
 
Physicality waliyonayo Spurs ni bora, Man Utd wako nyonde nyonde.. niliwaambia mapema sana, Spurs ya sasa sio ile butua butua ya Conte, asaivi wana mpira wa mipango, linawekwa pira chini unaona!
Halafu wasiojua mpira walikuwa wanadhan Conte hajasapitiwa ,ukweli alipewa pesa asajili ,ila kwasasa EPL ukileta pira makande hutoboi

Conte alikuwa anamuweka bench Bissouma eti
 
Nashindwa kuelewa tatizo la hii team. Kocha ten hag namkubali na kumwamini sana nikikumbuka kazi zake na ajax kwenye uefa.

.ajax haina misuli ya pesa kama man u
.uwepo wake pale ajax alichukua ubingwa mara 3 mfululizo

.alipoondoka tu, ajax imeyumba.

.show yake uefa tulikuwa tunaiona hasa alipowavuruga vigogo ulaya kama madrid, chelsea, tottenham, n.k.

hili tim la man u lina tatizo gani mpaka inakuwa hivi?
Uendeshaji timu tofauti Ajax ina viongozi wenye brain ya kisoka ×100 ya United.

Ajax alikuwa na watu wa mpira huku Arnold na Murtough watampoteza

That's why nasemaga hata Guardiola anaweza kuonekana tapeli klabuni kwetu
 
Halafu wasiojua mpira walikuwa wanadhan Conte hajasapitiwa ,ukweli alipewa pesa asajili ,ila kwasasa EPL ukileta pira makande hutoboi

Conte alikuwa anamuweka bench Bissouma eti
Tottenham haina mpira wwte wa maana , ni kuwa wamekutana wote wanajifunza kucheza mpira wa Pasi aliyetangulia kuimprove ndo ameshinda , huwez kumponda konte Kwa hzi mechi mbili
 
Vip nyie wacheza netball
Ni swala la muda mtaelewa ninachozungumza daily kuhusu Erik 7 hag a Dutch Tony pulis

Ukiangalia Chelsea ,Spurs tayari Wana identity ya uchezaji sababu makocha wao Wana uwezo mkubwa

Nimekuwa nikihoji na nitaendelea kuhoji uwezo wa a Dutch David Moyes Erik 7 hag,


Ninachoomba tu wasije mpata Roberto Di zerbi
 
Hii timu hata tumlete Guardiola bado tutamuona takataka
Hapa ni kufumua kila kitu kianze upya

Glazerzz Out
 
Back
Top Bottom