Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Una habari kuwa Lord MAGUIRE amegoma kuondoka?
Biggest team is the world is playing today and whole world is happy

Ni kwa mara nyingine tena wazee wa ngwasuma tunashuka siku ya leo kugawa burudani kabambe Sana majirani wote mnakaribishwa sana.

My prediction

Tottenham 1 vs Manchester United 3

1.30

Tottenham Hotspurs

Tottenham mnacho cheza nacho hamkijui hakika kitawaramba leo.View attachment 2721499
tapatalk_1682062763169.jpeg
 
Walichokicheza na Wolverhampton walikiona na wote walipiga kelele humu
Leo hii wanajitoa utaham wanakuambia nyumbuz sijui anashinda Nini sijui Nini

Hadi unajiuliza hii ni mihadarati au akili ya kawaida?
Hawa labda wabadili kocha

A Dutch David Moyes Erik 7 hag anachofanya ni sawa na kuweka engine ya Boxer kwenye Fuso

Tutarajie kuiona manjesta ya butua butua ,pira makande,pira nyanya chungu,

Tutarajie kuona marefa wakiiokoa na aibu
 
Mchambuzi Nguli wa Jf ,hamis77 niliongea Sana kuhusu uwezo wa 7hag kuwa ana uwezo wakawaida Sana kwenye kitu sisi wakufunzi tunasema Talent ID
Vipaji vingi vinasakwa na DOF pale Ajax alikuwa na Overmaars sasa hapa kwa akina John Murtough atashauriana nao nini
Dah! Tuacheni masikhara asee, Kwamba ETH hana Uwezo wa Kung'amua Talent !! Mourinho wakati fulani alimwambia Gary Neville na Scholes kwamba Ualimu sio kama Kusimama Mbele ya Luninga kubwa na kuwasogeza wachezaji huyu angekaa hapa huyu alitakiwa kuwa hapa wakati Mpira unapigwa, kwa kusogeza tu kwenye zile Screen zao za Uchambuzi.

Pep akiichukua City sajili za awali kabisa alikuwa na Kina Nolito, Marlos Moreno, Bravo n.k wote hao hakuna walichofanikiwa kwa falsafa ya Pep {So kwa Point yenu ina maana na yeye Hana Talent ID}, ETH amekuwa na Msimu mmoja sajili 4, Cup Finals 2, 3rd Place finish, I Trophy! Kwa standard ya UTD huwezi ita haya ni mfanikio but kwa kile timu inapitia unaona Mwangaza,

Klopp mpaka anapata Rhythm ya timu yake wachezaji alowakuta ni kama 2/3. Arteta Mpaka Arsenal inacheza kwa namna anataka ni takriban msimu wake wa 3!

Moja ya Kazi Rahisi sana ni Kuchambua kilichotokea {nazungumzia tunaowaita wachambuzi wa soka} WAPE TIMU WAWE WALIMU! ETH Akiwa anaichukua FC Utrecht timu ilikuwa ishajikatia tamaa ila kwa Ubora yupo nao kung'amua Talent alimchukua Haller kwa Mkopo toka Auxerre, Aliwachukua kina Zacharia Baykal, na Academy akatoa Chuma kadhaa ikiwamo Sofyan Amarabat. na Aliifikisha mpaka Playoff ya Mashindano ya Ulaya akapigwa na Zenit ya Mancini ilokuwa na mastaa kibao wakatolewa kwa tofauti ya Goli 1.

AJAX. ETH kaenda Ajax inasua sua, Ila mpaka anaondoka ana Debutants 23 wakiwamo hawa wa juzi juzi kina hamis77 wanawasifia ni wachezaji haswa kina Timber. List ni ndefu mno ila ina kina Gravenberch, Neres, Kudus, Dest, K.Taylor, Licha, Alvarez n.k

Utambuzi mzuri wa Talanta unaanzia Ndani, Pep alivuka mstari akiwa La Masia, ETH kaprove na Ajax mara 2 Kwa ngazi kubwa ya Mashindano ya Klabu Ulaya! Ukitaka jua anaweza anachofanya watizame Ajax wanavyojitafuta tangu amewaacha. UTD tumekuwa na Utaratibu wa kuamini Academy yake na ndo imeleta wonders mara nyingi tu. ETH Still anamtengeneza Garnacho na unaona mwanga ni muda tu atakuwa moja ya World Beater, Kuna Mainoo taratibu ataanza eleweka, kuna Isak Hansen Aaroen na wengine wengi tu. Msimu huu kaongeza sajili 3 so timu yake ina watu 7 alowasajili

Husajili leo timu ika-click Kesho. Pep timu yake ya Treble kaanza ipata baada ya kupasuka na Palace 0-2 Etihad wakati hapo Arsenal gari lishawaka ila likaangushwa na utoto wao. ETH Kashajifunza huezi implement vitu kwa haraka kiasi hicho, Alijaribu huo Ujinga kwa Brighton na Brentford ikawa aibu ameamua tafta matokeo wakati anajenga timu yake.

Kuna wataoleta Hoja ya Kina De Zerbi, kabla hujampa Daraja Unampa Jifikirie sana kwa nini akitoka Sassuolo hakuna timu ilikuwa na Mda naye!
 
Mwisho point tatu kibindoni
Uzuri pira makande huwa halina maisha marefu, soon mtaanza Seven hag out , Grazzer out , mount tumetapeliwa

Pira makande Kama mimba tu huwa halina maisha marefu litajitenga tu na matokeo
 
Dah! Tuacheni masikhara asee, Kwamba ETH hana Uwezo wa Kung'amua Talent !! Mourinho wakati fulani alimwambia Gary Neville na Scholes kwamba Ualimu sio kama Kusimama Mbele ya Luninga kubwa na kuwasogeza wachezaji huyu angekaa hapa huyu alitakiwa kuwa hapa wakati Mpira unapigwa, kwa kusogeza tu kwenye zile Screen zao za Uchambuzi.

Pep akiichukua City sajili za awali kabisa alikuwa na Kina Nolito, Marlos Moreno, Bravo n.k wote hao hakuna walichofanikiwa kwa falsafa ya Pep {So kwa Point yenu ina maana na yeye Hana Talent ID}, ETH amekuwa na Msimu mmoja sajili 4, Cup Finals 2, 3rd Place finish, I Trophy! Kwa standard ya UTD huwezi ita haya ni mfanikio but kwa kile timu inapitia unaona Mwangaza,

Klopp mpaka anapata Rhythm ya timu yake wachezaji alowakuta ni kama 2/3. Arteta Mpaka Arsenal inacheza kwa namna anataka ni takriban msimu wake wa 3!

Moja ya Kazi Rahisi sana ni Kuchambua kilichotokea {nazungumzia tunaowaita wachambuzi wa soka} WAPE TIMU WAWE WALIMU! ETH Akiwa anaichukua FC Utrecht timu ilikuwa ishajikatia tamaa ila kwa Ubora yupo nao kung'amua Talent alimchukua Haller kwa Mkopo toka Auxerre, Aliwachukua kina Zacharia Baykal, na Academy akatoa Chuma kadhaa ikiwamo Sofyan Amarabat. na Aliifikisha mpaka Playoff ya Mashindano ya Ulaya akapigwa na Zenit ya Mancini ilokuwa na mastaa kibao wakatolewa kwa tofauti ya Goli 1.

AJAX. ETH kaenda Ajax inasua sua, Ila mpaka anaondoka ana Debutants 23 wakiwamo hawa wa juzi juzi kina hamis77 wanawasifia ni wachezaji haswa kina Timber. List ni ndefu mno ila ina kina Gravenberch, Neres, Kudus, Dest, K.Taylor, Licha, Alvarez n.k

Utambuzi mzuri wa Talanta unaanzia Ndani, Pep alivuka mstari akiwa La Masia, ETH kaprove na Ajax mara 2 Kwa ngazi kubwa ya Mashindano ya Klabu Ulaya! Ukitaka jua anaweza anachofanya watizame Ajax wanavyojitafuta tangu amewaacha. UTD tumekuwa na Utaratibu wa kuamini Academy yake na ndo imeleta wonders mara nyingi tu. ETH Still anamtengeneza Garnacho na unaona mwanga ni muda tu atakuwa moja ya World Beater, Kuna Mainoo taratibu ataanza eleweka, kuna Isak Hansen Aaroen na wengine wengi tu. Msimu huu kaongeza sajili 3 so timu yake ina watu 7 alowasajili

Husajili leo timu ika-click Kesho. Pep timu yake ya Treble kaanza ipata baada ya kupasuka na Palace 0-2 Etihad wakati hapo Arsenal gari lishawaka ila likaangushwa na utoto wao. ETH Kashajifunza huezi implement vitu kwa haraka kiasi hicho, Alijaribu huo Ujinga kwa Brighton na Brentford ikawa aibu ameamua tafta matokeo wakati anajenga timu yake.

Kuna wataoleta Hoja ya Kina De Zerbi, kabla hujampa Daraja Unampa Jifikirie sana kwa nini akitoka Sassuolo hakuna timu ilikuwa na Mda naye!
Wengi wanaomtetea Ten hag sasa hivi wameanza kumtilia mashaka

Naamini na wewe utaungana nao soon

Ameshapewa zaidi ya €400m kwa madirisha matatu ,still timu Hakuna mabadiliko yakuendana na €400m

Leo siongei Sana
 
Wengi wanaomtetea Ten hag sasa hivi wameanza kumtilia mashaka

Naamini na wewe utaungana nao soon

Ameshapewa zaidi ya €400m kwa madirisha matatu ,still timu Hakuna mabadiliko yakuendana na €400m

Leo siongei Sana
Licha ya kutumia 400€, bado tatizo kubwa lipo kwa uongozi wa man u. Angalia sajili za msimu uliopita Antony na Casemiro wamesajiliwa baada ya ligi kuanza kutokana na pressure ya kupoteza michezo ya kwanza.
Ndo maana pia bei tulipigwa kubwa sana.

Sometimes TH anaonekana hana talent Id lakini tatizo kubwa ni uongozi wa man U.
 
Brighton 4 Wolves 0

Hii inaonyesha man u ni mbovu kiasi gani.
Tukisema sisi wazee wa gunners tunaambiwa tuna chuki Sana na 7 hag.
Unajiuliza kwa lipi Sasa?

Nyumbu hawataki tena kutumia akili, wao waongozwa na hisia
Huku wakiamini Anthony ni Neymar mtupu

Rashford, magwaya, mount, Sancho, varane, martial, Bruno, casimiro,
kauli zao "Hao wote ni hatari sema Basi tu"
 
Ally Vipipi yupo wapi?
Amesahau kuuhabarisha umma kwamba leo Nyumbu wanacheza, na kila mtu kafurahi dunia nzima
 
Kocha mjinga sana garnacho anafaa aanzie nje na hili garasa tulilookota chelsea halifai kuanza
 
Back
Top Bottom