toobiter
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 1,422
- 2,791
Jana man u imeshinda ila mashabiki wake hawana furaha na hili tatizo nililiona juzi kwenye matokeo ya game ya arsenal na norttingam forest.sio uchochezi Mkuu, kule kwenu mmemgeuza Mc Masingeli kua ndio Alfa na Omega
Kule mtu haruhusiwi kumpinga Masingeli wala Masterclass, ukitaka ulione jukwaa chungu we nenda toe to toe na Masingile uone misukule itakavyo kushambulia.
Masingeli sasa hivi ameshakua nae dikteta uchwara anapiga marufuku mpaka watu wasimqoute![]()
Ushauri.
Kwanza mashabiki tuache kwenda uwanjani na matokeo yetu na pia tuache kwenda uwanjani na performance zetu tunazozitarajia.
Tukiweka ushabiki pembeni kwa epl tofauti kati ya timu zinazoitwa big 6 na zinazoitwa midtable timu ni SPENDING na LUXURIES.
Tukija kwa upande wa soka lenyewe on pitch the difference is narrow than you can imagine. Big 6 team wanajua kuspend big money ili kupata quality wakati hizo tunazoziita midtable team zinajua kufanya proper scouting ya kupata talents kwa affordable price.Ukija uwanjani unakutana na mchezaji wa bei ya kawaida wakati ana quality ya juu mnoo.
Nawatahadharisha yeyote anayejiita giant ajiandae kisaikolojia anapokutana na hawa wapuuzi.britton and holves,aston villa,west ham na brentford.Newcastle analazimisha ije big 7

.Hoja yangu ni kwamba matokeo ndiyo kitu cha msingi baada ya dakika 90.haijalishi umeyapata kwa njia gani ila ukiyapata shukuru maana ni hardly found.
Kuna swalla la makocha hapa.EPL kuna kocha mmoja tu ambaye ana dunia yake and that is PEP.mjinga anakera. Ana hela,anajua kusajili,ana matajiri wenye hela na mwisho ni tactical genius.atasumbua mno labda ahame. Kwa makocha waliobaki uwezo wao hauna tofauti ya mbingu na ardhi so its normal ukipigwa na bunley.unaweza muona kocha wako ni bora kumbe resources ndo zinamfanya awe bora.
Wakuu furahieni ushindi bila kushughulishwa sana na mazingira ya ushindi maana kuna muda hata huo ushindi hutauona.


