Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread



Mkuu kwani tuliwashikia bastola umnunue Mount.

Scout yenu bora na Bodi walijiridhisha bila shaka yoyote mnanunua silaha kali maangamizi.

Iweje leo mseme tumewachanganyia gunzi kwenye betri zenu?

Malalamiko yote haya mnakwepa kutuongezea pesa kidogo. Acheni ubahili
sisi tulijua mnatuuzia Mount kumbe mmetuuzia Mauti umbwa nyie.
 
Tunakuwaga na mechi ngumu sana tunapokutana na wolves lakini kwa jana tulichemka vibaya mno.

Uzuri dirisha linafungwa mwezi ujao nafasi tunayo.

hafu hawa wapumbavu wamludishe Mason haraka waache ma ujinga yao shenzi.

Rashford kumchezesha striker ni kumuonea tu,Sancho Jana nimeona ana kitu msimu huu tumuangalie kwa jicho la tofauti.

Uzuri mashabiki wa man u timu yetu ikizingua uwaga hatufichi tunachana wazi.View attachment 2717896
Gemu ya janaa aloharibu alipoanza na Garnacho badala ya Sancho
 
Varane labda kwa ajili ya goli tu alilofunga ila huyo AWB nje ya tackling mipasi yake mingi alikua anawapasia wachezaji wa Wolves.

Ila wakati mwengine mnamuonea tu AWB anapambana sana angekaa pale uyobdalot wenu jana ingekua story nyengine
Hakuna team yenye fullback ya kulia ambayo hana mapungufu
So appreciate what u have kaka
 
Back
Top Bottom