Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Marcus Rashford completed 5 dribbles against Wolves. No player has completed more in a single Premier League game so far this season.

Dancing feet.

#𝙏𝙧π™ͺπ™¨π™©π™π™π™šπ™‹π™§π™€π™˜π™šπ™¨π™¨π™€π™π™ƒ
#π™π™£π™žπ™©π™šπ™™π™›π™€π™§π™©π™π™šπ™π™–π™£π™¨
#π™Žπ™π™šπ™žπ™ π™π™…π™–π™¨π™¨π™žπ™’π™„π™£π˜Όπ™©π™ˆπ™–π™£π™π™©π™™
#π™‚π™‘π™–π™―π™šπ™§π™Šπ™π™
#π™‚π™‚π™ˆπ™

man utd |
IMG_20230815_104301_024.jpg
 
Andre Onana’s game by numbers vs. Wolves:

49 touches
67% pass accuracy
6 shots faced
6 saves
5 saves from close range
4 long balls completed
3/4 duels won
1/1 sweep
0 goals conceded

Impressive Debut.

#𝙏𝙧π™ͺπ™¨π™©π™π™π™šπ™‹π™§π™€π™˜π™šπ™¨π™¨π™€π™π™ƒ
#π™π™£π™žπ™©π™šπ™™π™›π™€π™§π™©π™π™šπ™π™–π™£π™¨
#π™Žπ™π™šπ™žπ™ π™π™…π™–π™¨π™¨π™žπ™’π™„π™£π˜Όπ™©π™ˆπ™–π™£π™π™©π™™
#π™‚π™‘π™–π™―π™šπ™§π™Šπ™π™
#π™‚π™‚π™ˆπ™

man utd |
IMG_20230815_104249_201.jpg
 
Benjamin Pavard, showing how much he wants Manchester United move under Varane’s post…

Pavard, pushing with Bayern to make the deal happen.


#𝙏𝙧π™ͺπ™¨π™©π™π™π™šπ™‹π™§π™€π™˜π™šπ™¨π™¨π™€π™π™ƒ
#π™π™£π™žπ™©π™šπ™™π™›π™€π™§π™©π™π™šπ™π™–π™£π™¨
#π™Žπ™π™šπ™žπ™ π™π™…π™–π™¨π™¨π™žπ™’π™„π™£π˜Όπ™©π™ˆπ™–π™£π™π™©π™™
#π™‚π™‘π™–π™―π™šπ™§π™Šπ™π™
#π™‚π™‚π™ˆπ™

man utd |
IMG_20230815_104144_332.jpg
 
Tulikua na midfielders ambao hawawezi kutunza mpira in Bruno na Case, Bado kocha kaenda kuongeza Mount tena ambae hawezi kama wenzie.

Sijui Ten hag anatengeneza nini, ngoja tuone.
 
Mi nafurahi nikiwaona Arsenyau humu kwenye jukwaa la wanaume, jifunzeni humu namna watu walivyo huru (free-minded) kujadili timu yao.
Angalia humu watu wanavyo kosoa kuanzia kocha, wachezaji mpaka wamiliki na hakuna yoyote anae waattack.
Kule kwenu ukimkosoa Arteta na Masingeli inakua ni kama vile umetangaza vita ya 3 ya dunia, utahesabika ni mamluki na hakuna rangi utakayo acha kuiona
Uchochez?
 
Uchochez?
sio uchochezi Mkuu, kule kwenu mmemgeuza Mc Masingeli kua ndio Alfa na Omega
Kule mtu haruhusiwi kumpinga Masingeli wala Masterclass, ukitaka ulione jukwaa chungu we nenda toe to toe na Masingile uone misukule itakavyo kushambulia.
Masingeli sasa hivi ameshakua nae dikteta uchwara anapiga marufuku mpaka watu wasimqoute
 
ila akija Man Utd lazima utampondea, Masingeli una maana basi wewe
Hapana ase, Kama unanifatilia huyo kocha ni moja ya walimu naaakubali ,nilimsema Sana wakati anafika ,sema wengi hamumjui, huyo kocha ana mbinu zakumpiga kocha yoyote unayemjua wewe,

Klopp aliwahi pigwa game 2 kwa Mpira mwingi sana
 
Mi nafurahi nikiwaona Arsenyau humu kwenye jukwaa la wanaume, jifunzeni humu namna watu walivyo huru (free-minded) kujadili timu yao.
Angalia humu watu wanavyo kosoa kuanzia kocha, wachezaji mpaka wamiliki na hakuna yoyote anae waattack.
Kule kwenu ukimkosoa Arteta na Masingeli inakua ni kama vile umetangaza vita ya 3 ya dunia, utahesabika ni mamluki na hakuna rangi utakayo acha kuiona
Nimuite XyZ?

Kule watu wanasonoma ,imagine tunashinda Mpira mwingi ,wanalalamika ,vipi tungecheza Kama nyie Jana ,
 
Mi nafurahi nikiwaona Arsenyau humu kwenye jukwaa la wanaume, jifunzeni humu namna watu walivyo huru (free-minded) kujadili timu yao.
Angalia humu watu wanavyo kosoa kuanzia kocha, wachezaji mpaka wamiliki na hakuna yoyote anae waattack.
Kule kwenu ukimkosoa Arteta na Masingeli inakua ni kama vile umetangaza vita ya 3 ya dunia, utahesabika ni mamluki na hakuna rangi utakayo acha kuiona
Mamluki kule si ndio rafiki zako , wanasema wamehama timu lakin Arsenal ikishinda wanalalamika ikifungwa wanalalamika,na mshehereshaji ni wewe
 
Hapana ase, Kama unanifatilia huyo kocha ni moja ya walimu naaakubali ,nilimsema Sana wakati anafika ,sema wengi hamumjui, huyo kocha ana mbinu zakumpiga kocha yoyote unayemjua wewe,

Klopp aliwahi pigwa game 2 kwa Mpira mwingi sana
huna maana kabisa wewe, ulikua unatupondea De gea wetu mpaka ukafanya baadhi ya watu nao wakawa wanamtolea shombo humu, eti baada ya kuondoka ukawa unajifanya kutusikitikia kua tumepoteza bonge la kipa
Amekuja midfilder goal keeper (MG) nae eti ukaanza kuleta maneno yako ya kwenye kanga Arseyau we
 
Baba ubaya alivyohojiwa jana na waandishi wa habari juu ya kiwango cha Mount.


Ten Hag kuhusu Mason Mount

"Amecheza vizuri. Alifanya kile tulichotarajia akifanye. Alikuwa na kiwango kizuri sana kwenye mchezo."
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…...mashabiki mnajifanya mnajua sana kuliko kocha....alichofanya ndo alichotumwa kukifanya na kocha....mpeni nafasi msela....mfumo ukimkubali mtaelewa ten Hag alichokiona kwake mpk akamnunua
 
Tunakuwaga na mechi ngumu sana tunapokutana na wolves lakini kwa jana tulichemka vibaya mno.

Uzuri dirisha linafungwa mwezi ujao nafasi tunayo.

hafu hawa wapumbavu wamludishe Mason haraka waache ma ujinga yao shenzi.

Rashford kumchezesha striker ni kumuonea tu,Sancho Jana nimeona ana kitu msimu huu tumuangalie kwa jicho la tofauti.

Uzuri mashabiki wa man u timu yetu ikizingua uwaga hatufichi tunachana wazi.View attachment 2717896
Kwa performance ile ya Jana mmfiche Nini, mmcheza na wolves kocha wao ana wiki moja tu
 
huna maana kabisa wewe, ulikua unatupondea De gea wetu mpaka ukafanya baadhi ya watu nao wakawa wanamtolea shombo humu, eti baada ya kuondoka ukawa unajifanya kutusikitikia kua tumepoteza bonge la kipa
Amekuja midfilder goal keeper (MG) nae eti ukaanza kuleta maneno yako ya kwenye kanga Arseyau we
De gea mmoja ni sawa na Onana kumi...mnabisha mtaona wiki ijayo na Spurs....
 
Wewe hata huoni maandishi yake, muda wote ni man utd.

Huo ni upendo aliorothishwa na mzee wake....
Mzee khalfani joseph
Kweli kabisa mkuu, leo ndio umenisanua nilikua silijui hilo.
Mzee wake itakua aliwawekea ratiba kabisa home kwao siku Man Utd ikishinda kesho yake wanakula wali kuku.
Kwa namna hio Masingeli lazima tu aipende Utd, hata kwenye betting hua Man Utd anaiwekea steki kubwa.
 
Back
Top Bottom