Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,842
- 16,292
Mkuu kwni ukini acknowledge kwa kuwa ni mm ndo nlompa hyo a.k.a kule kwny jukwaa letu utapungukiwa nn![]()


arsenal2004 achana na kocha letu la boli, kocha kisheti, kocha linalojua kunyumbulika.Mkuu kwni ukini acknowledge kwa kuwa ni mm ndo nlompa hyo a.k.a kule kwny jukwaa letu utapungukiwa nn![]()


arsenal2004 achana na kocha letu la boli, kocha kisheti, kocha linalojua kunyumbulika.![]()
Mkuu kwani tuliwashikia bastola umnunue Mount.
Scout yenu bora na Bodi walijiridhisha bila shaka yoyote mnanunua silaha kali maangamizi.
Iweje leo mseme tumewachanganyia gunzi kwenye betri zenu?
Malalamiko yote haya mnakwepa kutuongezea pesa kidogo. Acheni ubahili


sisi tulijua mnatuuzia Mount kumbe mmetuuzia Mauti umbwa nyie.Hii timu Rashford asipokuwa form ndio mtaona sura halisi ya bwana A Dutch David Moyes Erik 7 hagRashford ni takataka
Upo sahihi ila Flano huwa anabishaUtofauti ni kipa tu,
Ndivyo macho yangu yanavyoniambia
Mount alishamaliza Mpira miaka miwili iliyopita kwasasa alitakiwa aende Saudia Arabia akacheze Ligi za ngamia na TendeNasimama na Mount
Signature ya Member mmoja humu... Unakufaa😃Hivi Antony hata kuna chance alicreate? Aisee ule upande kwa namna yoyote Greenwood arudi, na ni bahati AWB alianza, wangekutana Dalot na Antony ingekuwa balaa
Ataludi form tuu kile kipaji kikubwaMtu ambaye hajacheza msimu miwili ataweza kuwa kwenye form ya kupambana ndugu ?
Gemu ya janaa aloharibu alipoanza na Garnacho badala ya SanchoTunakuwaga na mechi ngumu sana tunapokutana na wolves lakini kwa jana tulichemka vibaya mno.
Uzuri dirisha linafungwa mwezi ujao nafasi tunayo.
hafu hawa wapumbavu wamludishe Mason haraka waache ma ujinga yao shenzi.
Rashford kumchezesha striker ni kumuonea tu,Sancho Jana nimeona ana kitu msimu huu tumuangalie kwa jicho la tofauti.
Uzuri mashabiki wa man u timu yetu ikizingua uwaga hatufichi tunachana wazi.View attachment 2717896
Garnacho anakuaga mtamu akitokea sub tena kuanzia dakika za 70 huko.Gemu ya janaa aloharibu alipoanza na Garnacho badala ya Sancho
Awb na VaraneGarnacho anakuaga mtamu akitokea sub tena kuanzia dakika za 70 huko.
Ila jana ukimtoa Onana hakuna mchezaji mwingine yoyote aliekua ni afadhali.
Mimi sifikiri hivyo,angalia pia umri na chance to improve. Onana graph inapanda, De fea alishafika peak sasa inashuka.De gea mmoja ni sawa na Onana kumi...mnabisha mtaona wiki ijayo na Spurs....
Varane labda kwa ajili ya goli tu alilofunga ila huyo AWB nje ya tackling mipasi yake mingi alikua anawapasia wachezaji wa Wolves.Awb na Varane
Varane labda kwa ajili ya goli tu alilofunga ila huyo AWB nje ya tackling mipasi yake mingi alikua anawapasia wachezaji wa Wolves.
Varane labda kwa ajili ya goli tu alilofunga ila huyo AWB nje ya tackling mipasi yake mingi alikua anawapasia wachezaji wa Wolves.
Mimi AWB hua namkubali sana tu kuliko hata Dalot hua natamani siku moja achezeshwe hata RCB ila tatizo lake jamaa ni pass, hua anafanya kazi kubwa halafu anakuja kuharibu kwenye kutoa pasi.Ila wakati mwengine mnamuonea tu AWB anapambana sana angekaa pale uyobdalot wenu jana ingekua story nyengine
Hakuna team yenye fullback ya kulia ambayo hana mapungufu
So appreciate what u have kaka