Al-Hadidy
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 1,413
- 3,078
Hii post wiki kadhaa nyuma ilibidi niipige Archive baada ya kushambuliwa sana na wadau.
Kutapeliwa kawaida hapa wanakataa wakati tulisajilu wenye potential kama Di Maria ila wakafeli why hapa kwa mzee wa spins wasikubali tu kuwa hela imeenda bure
Kutapeliwa kawaida hapa wanakataa wakati tulisajilu wenye potential kama Di Maria ila wakafeli why hapa kwa mzee wa spins wasikubali tu kuwa hela imeenda bure


