Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mm nakubaliana na wewe kuzidiwa msimu wa kwanza ,ila lazima Kuna key points tuziangalie ,ambazo zitasaidia kujua mbelen atafika mbali zaidi,

Kwangu mm Ole gunar anabaki moja ya watu wenye talent ID kubwa ni vile hakupewa Uhuru,huyu ndiye aliwataka kina halland, Bellingham,Sancho,n.k wakiwa hawaeleweki, huyu ndiye alimuamin Greenwood had leo mnamkumbuka

Niliwahi fanya mijadala huu na ambangile anaamini ETH kwenye Talent ID bado kwa Ole ,ila anaweza kuwa na mbinu nzuri za ukocha kuliko ole Gunar
Talent ID si kila mtu lazima awe nayo pale Man City Pep anatumia pesa tu kuchukua wachezaji bora ambao tayari walikuwa na potential tukitaja wachezaji ambao Pep kawaona kama alivyoona Ole sidhani kama hata watatu wanaweza kufika.

Tukija kwa point hiyo Ole ni bora hilo eneo kuliko makocha wengi pale EPL na hata Ulaya pia.

Hilo pia ni jukumu jingine la Scouts kama waliomuona Zion Suzuki Japan,hata Chicharito ilikuwa ni kazi ya scouts wa Fergie.

Nadhani kwa hiyo kitu angefaa kuwa Director Of Football zaidi kuliko kocha.
 
Mm nakubaliana na wewe kuzidiwa msimu wa kwanza ,ila lazima Kuna key points tuziangalie ,ambazo zitasaidia kujua mbelen atafika mbali zaidi,

Kwangu mm Ole gunar anabaki moja ya watu wenye talent ID kubwa ni vile hakupewa Uhuru,huyu ndiye aliwataka kina halland, Bellingham,Sancho,n.k wakiwa hawaeleweki, huyu ndiye alimuamin Greenwood had leo mnamkumbuka

Niliwahi fanya mijadala huu na ambangile anaamini ETH kwenye Talent ID bado kwa Ole ,ila anaweza kuwa na mbinu nzuri za ukocha kuliko ole Gunar
Sasa hapo ndiyo maana tunataka Glazers waachie timu. Kocha lazima awe na watu wanaojua football kumpa support kitu ambacho kwasasa United hakipo.

Ole ni kocha mzuri sana. Style yake ilikuwa speed, quick transitions na counter attacks. Huu ndiyo mpira aliotesa nao babu Fergie na ndiyo identity ya United.

Tulishuhudia Pep Gurdiola akinyanyaswa na Ole na kupigwa nje ndani ktk msimu. Tatizo kubwa la Ole ni man management, asingeweza kufika mbali bila kuwa katili.

Ninachoona EtH anapata ugumu kwasababu wachezaji aliowakuta hawafai kwenye system anayotaka kucheza yeye.

EtH anataka timu yake imiliki mpira kwa 75% ktk mchezo, hiki kitu ni rahisi kusema kuliko kufanyika kwasababu siyo identity ya United so ukifuatilia wachezaji wote waliosajiliwa kabla ya EtH walikuwa wanafaa kwenye quick transition & counter attacking football.

Ole na EtH wanatumia aina tofauti kabisa ya uchezaji, nilitegemea utagundua hili na kujua kuwa ni ngumu kuwabadilisha wachezaji kwasababu kumiliki mpira kwa 75% ni lazima uwe na wachezaji wanaoweza kupiga pasi kwa usahihi.

Je, kwa wachezaji walewale wa transition football unaona hili likikamilika kirahisi?

Ndiyo maana huwa nasema inabidi mjue kwanini Glazers hawahitajiki, ktk miaka yote hiyo walipaswa kujua identity ya timu ni ipi. Unapomtoa Ole na kumleta EtH ni rebuild project nyingine inaanza.
 
Sasa hapo ndiyo maana tunataka Glazers waachie timu. Kocha lazima awe na watu wanaojua football kumpa support kitu ambacho kwasasa United hakipo.

Ole ni kocha mzuri sana. Style yake ilikuwa speed, quick transitions na counter attacks. Huu ndiyo mpira aliotesa nao babu Fergie na ndiyo identity ya United.

Tulishuhudia Pep Gurdiola akinyanyaswa na Ole na kupigwa nje ndani ktk msimu. Tatizo kubwa la Ole ni man management, asingeweza kufika mbali bila kuwa katili.

Ninachoona EtH anapata ugumu kwasababu wachezaji aliowakuta hawafai kwenye system anayotaka kucheza yeye.

EtH anataka timu yake imiliki mpira kwa 75% ktk mchezo, hiki kitu ni rahisi kusema kuliko kufanyika kwasababu siyo identity ya United so ukifuatilia wachezaji wote waliosajiliwa kabla ya EtH walikuwa wanafaa kwenye quick transition & counter attacking football.

Ole na EtH wanatumia aina tofauti kabisa ya uchezaji, nilitegemea utagundua hili na kujua kuwa ni ngumu kuwabadilisha wachezaji kwasababu kumiliki mpira kwa 75% ni lazima uwe na wachezaji wanaoweza kupiga pasi kwa usahihi.

Je, kwa wachezaji walewale wa transition football unaona hili likikamilika kirahisi?

Ndiyo maana huwa nasema inabidi mjue kwanini Glazers hawahitajiki, ktk miaka yote hiyo walipaswa kujua identity ya timu ni ipi. Unapomtoa Ole na kumleta EtH ni rebuild project nyingine inaanza.
Kwa mpira alioucheza ETH mwaka Jana ,ni identity ile ile ya Ole , labda msimu huu ndio anaonesha anataka kuja na mpya
 
Hawa West Ham wanajipendekeza kwa McTerminator. Hawa inatakiwa £50m iwatoke na sisi tuwe na unrealistic prices maana vitimu vingi vinatufanyia upigaji kwenye transfer window.
Moja ya wachezaj ninaoamini Wana kipaji ,mpiganaji ,box to box Midfielder ila mnaaminishwa ni flop

Timu ya taifa anafunga na nitegemezi

Najua mtamuuza kwa Bei Chee ataenda kufanya vzr tu Kama Pereira
 
Moja ya wachezaj ninaoamini Wana kipaji ,mpiganaji ,box to box Midfielder ila mnaaminishwa ni flop

Timu ya taifa anafunga na nitegemezi

Najua mtamuuza kwa Bei Chee ataenda kufanya vzr tu Kama Pereira
Ferguson mwenyewe anamkubali sana Tominay na ndiyo alimleta akiwa na miaka 6 tu. Alikuwa anacheza kama center forward.

Unajua Mourinho ni fala sana na style zake za kupaki basi, akam-promote kama midfielder. Miaka yote hiyo McTominay hajatumika kwa usahihi kwasababu alikuwa anacheza kama CDM.

Ni mzuri sana akienda mbele. 8 anaipiga vizuri tu ila kwa ujio wa Mount kupata namba ni ngumu. Kumuuza ni uamuzi sahihi kama hiyo pesa itatumika kumleta Amrabat maana tunataka backup ya uhakika kwa Case.
20230717_133352.jpg


Huyu jamaa angejaribu kurudi nafasi yake ya zamani "center forward" naona anaimudu.
20230717_134645.jpg
 
Hawa West Ham wanajipendekeza kwa McTerminator. Hawa inatakiwa £50m iwatoke na sisi tuwe na unrealistic prices maana vitimu vingi vinatufanyia upigaji kwenye transfer window.
Wachezaji wetu bila kuwauza kwa bei ya hasara hakuna anayewanunua.

Maguire nasikia tayari huko hakuna maelewano mazuri na Bwana Eric so lazima atauzwa hata kwa hasara €30m itapokelewa
 
Kwa mpira alioucheza ETH mwaka Jana ,ni identity ile ile ya Ole , labda msimu huu ndio anaonesha anataka kuja na mpya
Kwa sababu mfumo wake ulionekana pre season tu kumbe wachezaji wengi hawafit hasa baada ya kuujaribu game 2 za mwanzo wa msimu tukachezea zote ndio akaja na plan B wacheze kama kabla,wachezaji wetu tatizo lao lilelile hawawezi kupiga pasi hata 20 bila kupoteza mpira na kuwin back hawawezi.
 
Sasa hapo ndiyo maana tunataka Glazers waachie timu. Kocha lazima awe na watu wanaojua football kumpa support kitu ambacho kwasasa United hakipo.

Ole ni kocha mzuri sana. Style yake ilikuwa speed, quick transitions na counter attacks. Huu ndiyo mpira aliotesa nao babu Fergie na ndiyo identity ya United.

Tulishuhudia Pep Gurdiola akinyanyaswa na Ole na kupigwa nje ndani ktk msimu. Tatizo kubwa la Ole ni man management, asingeweza kufika mbali bila kuwa katili.

Ninachoona EtH anapata ugumu kwasababu wachezaji aliowakuta hawafai kwenye system anayotaka kucheza yeye.

EtH anataka timu yake imiliki mpira kwa 75% ktk mchezo, hiki kitu ni rahisi kusema kuliko kufanyika kwasababu siyo identity ya United so ukifuatilia wachezaji wote waliosajiliwa kabla ya EtH walikuwa wanafaa kwenye quick transition & counter attacking football.

Ole na EtH wanatumia aina tofauti kabisa ya uchezaji, nilitegemea utagundua hili na kujua kuwa ni ngumu kuwabadilisha wachezaji kwasababu kumiliki mpira kwa 75% ni lazima uwe na wachezaji wanaoweza kupiga pasi kwa usahihi.

Je, kwa wachezaji walewale wa transition football unaona hili likikamilika kirahisi?

Ndiyo maana huwa nasema inabidi mjue kwanini Glazers hawahitajiki, ktk miaka yote hiyo walipaswa kujua identity ya timu ni ipi. Unapomtoa Ole na kumleta EtH ni rebuild project nyingine inaanza.
Umeeleza vyema sana na hapa ndio uhalisia ulipo,Ferguson alikuwa na mamlaka kama aliyonayo ETH kwa sasa ndio maana akajenga timu anayotaka hata Ole angepata mamlaka ya maamuzi maybe hadi leo tungekuwa naye kwa sababu asingeingiliwa majukumu hasa ya kiusajili ukiwemo ule wa kurudishwa Ronaldo ambao ukaipasua timu yake aliyoanza kuiunda kwa DNA ya United.


Kwanza nilikuwa naenioy kushuhudia bao si chini ya 2 kila mechi wakati ule Bruno nyuma yake wakiwa Fred na Scott waliwatesa sana wapinzani mbele kule tuna Rashford, Cavani na Greenwood.

Truthfully hadi anafukuzwa nilikuwa bado sijamkataa kabisa.

Kama ETH asipodumu timu ikipata mmiliki mpya wajaribu kumrudisha jamaa wampe nguvu kama yote
 
Wachezaji wetu bila kuwauza kwa bei ya hasara hakuna anayewanunua.

Maguire nasikia tayari huko hakuna maelewano mazuri na Bwana Eric so lazima atauzwa hata kwa hasara €30m itapokelewa
Hata kama tuna-offload players na sisi tutumie mwanya huohuo kuwapiga wanaojipendekeza pesa.

West Ham wamechukua £105m kwa Arsenal so mzigo wanao. Kwenye soko la sasa ambalo Hojlund tunaambiwa ni €80m na sisi tufanye biashara zenye manufaa.

Chelsea wamechukua pesa yetu nyingi tu kwa Mount ambaye last season hajafanya vizuri ila ni kwasababu EtH ana imani naye.

Moyes anamkubali sana Tominay na tayari Rice kasepa so watoe £50m au wamuache tu mchezaji wetu. Tominay ni baller anapata namba mpaka timu ya taifa kubwa kama Scotland.

Maguire anawaweka watu bench pale England, kiukweli pesa yoyote chini ya £40m basi United tutakuwa hatuwezi kufanya biashara.
 
Umeeleza vyema sana na hapa ndio uhalisia ulipo,Ferguson alikuwa na mamlaka kama aliyonayo ETH kwa sasa ndio maana akajenga timu anayotaka hata Ole angepata mamlaka ya maamuzi maybe hadi leo tungekuwa naye kwa sababu asingeingiliwa majukumu hasa ya kiusajili ukiwemo ule wa kurudishwa Ronaldo ambao ukaipasua timu yake aliyoanza kuiunda kwa DNA ya United.


Kwanza nilikuwa naenioy kushuhudia bao si chini ya 2 kila mechi wakati ule Bruno nyuma yake wakiwa Fred na Scott waliwatesa sana wapinzani mbele kule tuna Rashford, Cavani na Greenwood.

Truthfully hadi anafukuzwa nilikuwa bado sijamkataa kabisa.

Kama ETH asipodumu timu ikipata mmiliki mpya wajaribu kumrudisha jamaa wampe nguvu kama yote
Kwenye transition football Bruno Fernandes ni kama robot.

Mechi 51 tu za EPL alikuwa na 45 G/A.
 
Najua watakupinga kina Flano na genge lake ,ila point yako ya kumtimua 10hag ni ya msingi Sana , huyo kocha toka amefika hajaendeleza kipaji chochote au aliowakuta , hata waliombeba last season ni wale wale wa toka enzi za ole na Mourinho ( Bruno ,degea na Rashford)

Sajili zake za kubahatisha Sana , Anthony,malacia , viwango duni, Casemiro haijulikan ata step up Tena au ndio maji ya jion sawa na eriksen ,

Anadai kina Sancho,Fred,mctominay,Maguire,n.k ni flop hakuna aliyemtoa point A to B,

Anasubiri miujiza Tena ya Rashford na Bruno ,anasahau Rashford ni Kama uyoga leo mboga kesho sumu , anasahau Degea hayupo Tena .


Alimfukuza Cr7 akamleta shemeji yake Weghost ambaye Hana goli hata moja

Kamleta malacia akiamini Luke Shaw ni flop mwisho wa siku malacia kawa Kama Yahya mbegu ,
Jasusi lile lipo kazini
 
Back
Top Bottom