Al-Hadidy
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 1,413
- 3,078
Talent ID si kila mtu lazima awe nayo pale Man City Pep anatumia pesa tu kuchukua wachezaji bora ambao tayari walikuwa na potential tukitaja wachezaji ambao Pep kawaona kama alivyoona Ole sidhani kama hata watatu wanaweza kufika.Mm nakubaliana na wewe kuzidiwa msimu wa kwanza ,ila lazima Kuna key points tuziangalie ,ambazo zitasaidia kujua mbelen atafika mbali zaidi,
Kwangu mm Ole gunar anabaki moja ya watu wenye talent ID kubwa ni vile hakupewa Uhuru,huyu ndiye aliwataka kina halland, Bellingham,Sancho,n.k wakiwa hawaeleweki, huyu ndiye alimuamin Greenwood had leo mnamkumbuka
Niliwahi fanya mijadala huu na ambangile anaamini ETH kwenye Talent ID bado kwa Ole ,ila anaweza kuwa na mbinu nzuri za ukocha kuliko ole Gunar
Tukija kwa point hiyo Ole ni bora hilo eneo kuliko makocha wengi pale EPL na hata Ulaya pia.
Hilo pia ni jukumu jingine la Scouts kama waliomuona Zion Suzuki Japan,hata Chicharito ilikuwa ni kazi ya scouts wa Fergie.
Nadhani kwa hiyo kitu angefaa kuwa Director Of Football zaidi kuliko kocha.

