MandingoJR
JF-Expert Member
- Jul 5, 2022
- 200
- 292
Aah..we jamaa umezidi aisee.....unabonga sana.Arsenal fans na man u fans sifa zao wanaongea Sana
Mtu akikusikiliza wewe anaweza sema arsenyeto wapewe kombe kabisa kabla ligi haijachezwa
Aah..we jamaa umezidi aisee.....unabonga sana.Arsenal fans na man u fans sifa zao wanaongea Sana
Wewe unachuki zako tuMkuu hivi inawezekana team ukawa huipendi lakin kutwa 24hrs unaiongelea?
Binafsi naona haiwezekani wewe utakuwa unaipenda Man U.
Kule Arse8 kwenu huwa nakuja mkifungwa tu napotea hata miezi miwili ndio narudi.
Litimu lenu halivutii mashabiki ni kama city tu kachukua treble lakin hamna anaewafuatilia kabisa.
Nina chuki na Arse8? Like serious i cannot hate a loser.Wewe unachuki zako tu
Wenzio wanakuja kule na sisi tunakuja huku
Vumilia tu
Mbona hasira Sasa,Basi tuliaNina chuki na Arse8? Like serious i cannot hate a loser.
Hakuna kitu mmetuzidi nyie ni maloser kwetu sasa naanzaje kuwachukia?
Itoshe kusema huna unalolijuaHii ni simple sana,
1. Glazers watuachie timu, Shekh ashike usukani.
2. Timua kocha, tunahitaji kocha mwenye ushindani, kocha atakae jua kuwa hii ni EPL na sio Eradivisie aache kuchukua mchezaji yoyote ili mradi kawahi kucheza Eradivisie au ni mholanzi, kocha ambae atakua tayari kuwaambia Glazers kuwa hii ni nyeusi na hii ni nyekundu, sio nyeusi anasema ni blue ili mradi kuwaridhisha Glazers.
3. Timua kikosi kizima muache Varane, Martinez na Casemiro, Rashbeck mpeleke kwa mkopo MK Dons. The rest wauze kokote kule out of EPL, wachezaji kama Anton, Fred, Sancho, Luke shaw, AWB ni dhambi kuendelea kuwaona week in week out wakicheza EPL achilia mbali kucheza Manchester.
4. Nunua wachezaji wenye winning mentality, matured players tuachane na hivi vitoto
Since Alex Ferguson’s retirement in 2013, Manchester United has finished above Arsenal just 3 times.Nina chuki na Arse8? Like serious i cannot hate a loser.
Hakuna kitu mmetuzidi nyie ni maloser kwetu sasa naanzaje kuwachukia?
2017/18
2019/20
2020/21 Na wote ni losers tu ila mmoja ni serial loser kabisa ila anajiona Best Team in the WorldArsenal fans na man u fans sifa zao wanaongea Sana



Kaongea ukweliItoshe kusema huna unalolijua
So kumbe mafanikio ya Yatima kumbe ni kumaliza juu ya United huku Man City wao mafanikio yao ni kuzidi kuipiga gepu Man United.Since Alex Ferguson’s retirement in 2013, Manchester United has finished above Arsenal just 3 times.
2017/18
2019/20
2020/21
Their mediocrity isn’t being talked about enough.

Glazers hawaachii timu,Ten Hag ndio kashika mpini kimaamuzi kwenye squad so ataendelea kuota.Kaongea ukweli
Huon kwamba nyie ndio loser,maana pesa za usajili mlizotumia toka aondoke Fergie ni sawa au mmemzidi mancitySo kumbe mafanikio ya Yatima kumbe ni kumaliza juu ya United huku Man City wao mafanikio yao ni kuzidi kuipiga gepu Man United.
Na hapo Man United ni mbovu haipo kwenye ubora
Kweli losers ni loosers tu![]()
Muache kulialia Sasa pesa Graza wametoa kocha lenu limenunua magarasa kina AnthonyGlazers hawaachii timu,Ten Hag ndio kashika mpini kimaamuzi kwenye squad so ataendelea kuota.
Plastic United Fans na Hypocrite Opponents fans tushawazoea na rusted brains
Angalia huyu Kenge kwani Manchester united imeanzishwa baada ya Ferguson retirement? Why umeleta kipindi hiko tu?Since Alex Ferguson’s retirement in 2013, Manchester United has finished above Arsenal just 3 times.
2017/18
2019/20
2020/21
Their mediocrity isn’t being talked about enough.
Wewe unalolijua limesaidia nini ku improve manchester?Itoshe kusema huna unalolijua
Huenda kwa akili zao wameona United ya nyuma ilikuwa hatari basi ile wameiondoa akilini mwao iliwasababishia sana trauma,wanayoitambua ni ya Post-Ferguson EraAngalia huyu Kenge kwani Manchester united imeanzishwa baada ya Ferguson retirement? Why umeleta kipindi hiko tu?
Wakati mwingine uwe unashughulisha akili yako vizuri.




Mzee baba Hawa wanataka useme Anthony ni winger hatari ilihali ana goli 4 tu, Sancho anajua , wanataka useme manjesta itapambania ubingwa na kina Rashford ,magwaya ,varane , malaciaWewe unalolijua limesaidia nini ku improve manchester?
Eeh pesa Glazers wametoa sana ndio maana wanahitajika Director Of Football na Technical Director wanaojua mpira ili pesa iende wisely.Muache kulialia Sasa pesa Graza wametoa kocha lenu limenunua magarasa kina Anthony

Ukiwa muongo usiwe msahalifuMzee baba Hawa wanataka useme Anthony ni winger hatari ilihali ana goli 4 tu, Sancho anajua , wanataka useme manjesta itapambania ubingwa na kina Rashford ,magwaya ,varane , malacia

Na kwa Antony ndio sehemu pekee ninayoweza kulaumu ila sehemu nyingine zote naweka tiki.Muache kulialia Sasa pesa Graza wametoa kocha lenu limenunua magarasa kina Anthony
Hata fergusson alikuw anakosea....puuzia hao jamaa, binafsi naamini sisi tumefanikiwa na tutafanikiwa kuliko hao arse8Na kwa Antony ndio sehemu pekee ninayoweza kulaumu ila sehemu nyingine zote naweka tiki.
Tuna imani na kocha wetu kama kutapeliwa tumeanza hata kabla yake huwa karibu kila msimu tunaigiza sajili ya kitapeli