Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tetesi hii nimeiona sehemu imenichekesha sana aisee hivi wanatuchukuliaje aisee

IMG_20230715_155329.jpg
 
Atawachelewesha Sana huyo jamaa , bila maamuz magumu kupigwa bench , uchezaji wake hauna tofauti kabisa na Pepe , kwenye Ligi lain watashaini ila EPL hupewi chance ya kijinga ku cave Kama huna take ons ,hujui ku dribble , hujui kutoa pass za madhara

Greenwood alikuwa harembi ,na angekuwa mbali Sana
Tutamvumilia kwa msimu wa mwisho kama last chance,Greenwood hawezi kurudi sasa akawa na ubora kwa sababu hajacheza muda so ataenda kucheza hata ligi nyingine taratibu arudishe potential ndio benchi limhusu huyu Mbrazil naye aanze kuja kulia kuwa akiwa kwetu alipoteza hamu na soka wakati nafasi kapata sana tena kwa kocha aliyemuamini ila akacheza kifaza
 
Okee Antony ndiye mchezaji wetu nnayemchukia baada ya Maguire na uchezaji wake wa ujinga ndio umefanya mashabiki wamkumbuke Greenwood asiye na mambo mengi na anafunga sehemu yoyote na mguu wowote tofauti na jamaa guu la shoto tu na amekuwa akiua mashambulizi mengi kisa hicho
Antony akiwa ana mpira hana effect yoyote tofauti na ma winga wengine
Hapa antony alipiga back pass kama unaikumbuka hii game

Yaan huwa nacheka Sana nikiona Kuna mshabiki anamtetea huyu jamaa huwa nacheka Sana ,
20230715_172059.jpg
20230715_172104.jpg
 
Antony akiwa ana mpira hana effect yoyote tofauti na ma winga wengine
Hapa antony alipiga back pass kama unaikumbuka hii game

Yaan huwa nacheka Sana nikiona Kuna mshabiki anamtetea huyu jamaa huwa nacheka Sana ,View attachment 2689036View attachment 2689041
Ila msimu unaoanza ni wa kufa au kupona sidhani kama akileta huo upumbavu ataachwa salama
 
Hii post wiki kadhaa nyuma ilibidi niipige Archive baada ya kushambuliwa sana na wadau.

Kutapeliwa kawaida hapa wanakataa wakati tulisajilu wenye potential kama Di Maria ila wakafeli why hapa kwa mzee wa spins wasikubali tu kuwa hela imeenda bure
Screenshot_20230715-174934.jpg
 
Vipi humu? Kuna jipya? Sisi kule kwetu tuko bize tunashusha vyuma vya maana. Nyie je mna lolote la kujivunia?
 
Sisi Kama familia ya mpira

Kitendo alichofanyiwa Maguire pale Manchester United sio cha kupuuzwa hata kidogo, ifike mahala huyu Ten Hag apunguze mihemko yake wewe chezaji kama Maguire unamdhalilisha kisa huyo Bruno Fernandes aliyetaka kukimbia kipigo cha 7:0 kutoka Kwa Liverpool....
20230716_184200.jpg
 
Sisi Kama familia ya mpira

Kitendo alichofanyiwa Maguire pale Manchester United sio cha kupuuzwa hata kidogo, ifike mahala huyu Ten Hag apunguze mihemko yake wewe chezaji kama Maguire unamdhalilisha kisa huyo Bruno Fernandes aliyetaka kukimbia kipigo cha 7:0 kutoka Kwa Liverpool.... View attachment 2690103
Hata asipokuwa Bruno but Varane au Casemiro mmoja wao apewe ila kumpora Maguire unahodha ni jambo jema,captain gani anakaa mbali na matukio uwanjani

Unakuta kuna unfair moment imetokea yeye anaitenga mbali huku wenzie wanajaribu kumlalamikia refa,rejea red card ya Martial dhidi ya Spurs.
 
Back
Top Bottom