Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mzee baba Hawa wanataka useme Anthony ni winger hatari ilihali ana goli 4 tu, Sancho anajua , wanataka useme manjesta itapambania ubingwa na kina Rashford ,magwaya ,varane , malacia
Mtu anaridhika na kikosi chakina Shaw, Rashbeck, Malacia then anajiuliza kwann hatubebi makombe yanayo eleweka.

Sometimes najiulizaga akili za mashabiki wa Manchester sijui zikoje
 
Na kwa Antony ndio sehemu pekee ninayoweza kulaumu ila sehemu nyingine zote naweka tiki.

Tuna imani na kocha wetu kama kutapeliwa tumeanza hata kabla yake huwa karibu kila msimu tunaigiza sajili ya kitapeli
Huyo Antony watu wanalalamika bure tu kutokana na bei aliyonunuliwa.
Haina tofauti na Grealish alivyokua analalamikiwa na mashabiki wa City kwenye msimu wake wa kwanza, ila msimu wa pili kazi aliyoipiga mashabiki wenyewe wakaanza kumuimba.
Naimani kubwa msimu unaofata Antony atapunguza mbwembwe na kufocus zaidi katika magoli na assists.
 
Huyo Antony watu wanalalamika bure tu kutokana na bei aliyonunuliwa.
Haina tofauti na Grealish alivyokua analalamikiwa na mashabiki wa City kwenye msimu wake wa kwanza, ila msimu wa pili kazi aliyoipiga mashabiki wenyewe wakaanza kumuimba.
Naimani kubwa msimu unaofata Antony atapunguza mbwembwe na kufocus zaidi katika magoli na assists.
Anthony wa Ajax ndio huyo huyo wa manjesta, uchezaji ni huo huo ,hawez vuka goli 5 EPL huyo ,hata Jack Grealish ni vile timu yake imepata mafanikio ,lakin bado namba zake haziridhishi ,

Kwa Anthony masebene utasubiri Sana , uchezaji wake ni lazima anataka aingie ndan apige cave ,EPL mabeki wanajua Sana hiyo michezo ndio manaa huwa inabidi apige back pass 1000

Katika goli zake 4 EPL mbili kafunga mech na Arsenal na city ,mabeki walikuwa hawajajua ujinga wake , lasivyo angemaliza na goli 2
 
Kacheza Weghost ambaye alikuwa Burney ashindwe Tadic ambaye had UCL kachafua sana
Weghorst alichukuliwa kwa muda tu Marital akiwa Injury in short haikuwa planned, unadhani tungepata hela ya kusajli straika mwezi ule angesajiliwa Weghorst?

Tadic hana pa kucheza hapo labda awe backup ama Bruno asiwepo,mtu miaka 34+ wa kazi gani?

Msiishi kwa kukariri Ziyech pia alikuwa anatisha kuliko Antony hadi kinamba kama ingekuwa kama mnavyodhani basi saa hizi angekuwa wetu
 
Huyo Antony watu wanalalamika bure tu kutokana na bei aliyonunuliwa.
Haina tofauti na Grealish alivyokua analalamikiwa na mashabiki wa City kwenye msimu wake wa kwanza, ila msimu wa pili kazi aliyoipiga mashabiki wenyewe wakaanza kumuimba.
Naimani kubwa msimu unaofata Antony atapunguza mbwembwe na kufocus zaidi katika magoli na assists.
Ila msimu ulioisha mchezaji ambaye nimemtukana sana ni Antony in short simpendi anacheza ufala halafu akiguswa anaanzisha ugomvi.

Anawaza curves muda wote pia akiwa na mpira hauachii hadi apoteze so hapo usitegemee kuona akitoa assist hata 5.

Rashford nae ana uchezaji wa kibinafsi kama wa Antony ila kwa sababu anafunga mabao ya aina zote ndio marks anapatia hapo ila Antony asipobadilika uchezaji naye akishasepa ataanza kutafuta huruma za mashabiki
 
Huyo ni winga & #10
Misimu miwili mfululizo Ajax Ten Hag alimtumia kama false #9 na alikuwa top scorer. Baada ya kumnunua Sebastian Haller mwaka 2021 ndipo akawa anacheza nyuma ya mshambuliaji wa mwisho.

Tadic ni moja ya wachezaji wenye akili nyingi sana uwanjani, ndani ya misimu mitano mfululizo amekuwa kinara wa assists ligi kuu ya Uholanzi anapiga zaidi ya assists 15 per season. Sina imani na Anthony Martial pale mbele hata kama tutamsajili yule dogo Rasmus Hojlund. Litakuwa jambo jema tulikileta na mzoefu wa muda mfupi ktk kusaidia transition.
 
Weghorst alichukuliwa kwa muda tu Marital akiwa Injury in short haikuwa planned, unadhani tungepata hela ya kusajli straika mwezi ule angesajiliwa Weghorst?

Tadic hana pa kucheza hapo labda awe backup ama Bruno asiwepo,mtu miaka 34+ wa kazi gani?

Msiishi kwa kukariri Ziyech pia alikuwa anatisha kuliko Antony hadi kinamba kama ingekuwa kama mnavyodhani basi saa hizi angekuwa wetu
Ziyech uchezaji wake hauna tofauti Sana na Anthony,kilichompa magoli na assist nyingi Ziyech ni Kuna muda alikuwa anacheza no.10 , ndio maana sikushangaa Ziyech kufeli EPL , na sitashangaa Anthony masebene kufeli EPL, mpira wao wanataka wafanye cave kwanza , the same nicolaus Pepe ,hivo hivo , EPL ni Ligi ngumu Sana ,ni beki mjinga tu ndiye atakuachia ufanye cave kirahisi

Ubaya hawana take ons, EPL ili winger afanye vzr awe na take ons , speed , ndio vilimfanya salah afanye vzr ,
 
Ziyech uchezaji wake hauna tofauti Sana na Anthony,kilichompa magoli na assist nyingi Ziyech ni Kuna muda alikuwa anacheza no.10 , ndio maana sikushangaa Ziyech kufeli EPL , na sitashangaa Anthony masebene kufeli EPL, mpira wao wanataka wafanye cave kwanza , the same nicolaus Pepe ,hivo hivo , EPL ni Ligi ngumu Sana ,ni beki mjinga tu ndiye atakuachia ufanye cave kirahisi

Ubaya hawana take ons, EPL ili winger afanye vzr awe na take ons , speed , ndio vilimfanya salah afanye vzr ,
Okee Antony ndiye mchezaji wetu nnayemchukia baada ya Maguire na uchezaji wake wa ujinga ndio umefanya mashabiki wamkumbuke Greenwood asiye na mambo mengi na anafunga sehemu yoyote na mguu wowote tofauti na jamaa guu la shoto tu na amekuwa akiua mashambulizi mengi kisa hicho
 
Okee Antony ndiye mchezaji wetu nnayemchukia baada ya Maguire na uchezaji wake wa ujinga ndio umefanya mashabiki wamkumbuke Greenwood asiye na mambo mengi na anafunga sehemu yoyote na mguu wowote tofauti na jamaa guu la shoto tu na amekuwa akiua mashambulizi mengi kisa hicho
Atawachelewesha Sana huyo jamaa , bila maamuz magumu kupigwa bench , uchezaji wake hauna tofauti kabisa na Pepe , kwenye Ligi lain watashaini ila EPL hupewi chance ya kijinga ku cave Kama huna take ons ,hujui ku dribble , hujui kutoa pass za madhara

Greenwood alikuwa harembi ,na angekuwa mbali Sana
 
Tetesi hii nimeiona sehemu imenichekesha sana aisee hivi wanatuchukuliaje aisee

IMG_20230715_155329.jpg
 
Atawachelewesha Sana huyo jamaa , bila maamuz magumu kupigwa bench , uchezaji wake hauna tofauti kabisa na Pepe , kwenye Ligi lain watashaini ila EPL hupewi chance ya kijinga ku cave Kama huna take ons ,hujui ku dribble , hujui kutoa pass za madhara

Greenwood alikuwa harembi ,na angekuwa mbali Sana
Tutamvumilia kwa msimu wa mwisho kama last chance,Greenwood hawezi kurudi sasa akawa na ubora kwa sababu hajacheza muda so ataenda kucheza hata ligi nyingine taratibu arudishe potential ndio benchi limhusu huyu Mbrazil naye aanze kuja kulia kuwa akiwa kwetu alipoteza hamu na soka wakati nafasi kapata sana tena kwa kocha aliyemuamini ila akacheza kifaza
 
Okee Antony ndiye mchezaji wetu nnayemchukia baada ya Maguire na uchezaji wake wa ujinga ndio umefanya mashabiki wamkumbuke Greenwood asiye na mambo mengi na anafunga sehemu yoyote na mguu wowote tofauti na jamaa guu la shoto tu na amekuwa akiua mashambulizi mengi kisa hicho
Antony akiwa ana mpira hana effect yoyote tofauti na ma winga wengine
Hapa antony alipiga back pass kama unaikumbuka hii game

Yaan huwa nacheka Sana nikiona Kuna mshabiki anamtetea huyu jamaa huwa nacheka Sana ,
20230715_172059.jpg
20230715_172104.jpg
 
Antony akiwa ana mpira hana effect yoyote tofauti na ma winga wengine
Hapa antony alipiga back pass kama unaikumbuka hii game

Yaan huwa nacheka Sana nikiona Kuna mshabiki anamtetea huyu jamaa huwa nacheka Sana ,View attachment 2689036View attachment 2689041
Ila msimu unaoanza ni wa kufa au kupona sidhani kama akileta huo upumbavu ataachwa salama
 
Back
Top Bottom