Tutamvumilia kwa msimu wa mwisho kama last chance,Greenwood hawezi kurudi sasa akawa na ubora kwa sababu hajacheza muda so ataenda kucheza hata ligi nyingine taratibu arudishe potential ndio benchi limhusu huyu Mbrazil naye aanze kuja kulia kuwa akiwa kwetu alipoteza hamu na soka wakati nafasi kapata sana tena kwa kocha aliyemuamini ila akacheza kifazaAtawachelewesha Sana huyo jamaa , bila maamuz magumu kupigwa bench , uchezaji wake hauna tofauti kabisa na Pepe , kwenye Ligi lain watashaini ila EPL hupewi chance ya kijinga ku cave Kama huna take ons ,hujui ku dribble , hujui kutoa pass za madhara
Greenwood alikuwa harembi ,na angekuwa mbali Sana
Antony akiwa ana mpira hana effect yoyote tofauti na ma winga wengineOkee Antony ndiye mchezaji wetu nnayemchukia baada ya Maguire na uchezaji wake wa ujinga ndio umefanya mashabiki wamkumbuke Greenwood asiye na mambo mengi na anafunga sehemu yoyote na mguu wowote tofauti na jamaa guu la shoto tu na amekuwa akiua mashambulizi mengi kisa hicho
Ila msimu unaoanza ni wa kufa au kupona sidhani kama akileta huo upumbavu ataachwa salamaAntony akiwa ana mpira hana effect yoyote tofauti na ma winga wengine
Hapa antony alipiga back pass kama unaikumbuka hii game
Yaan huwa nacheka Sana nikiona Kuna mshabiki anamtetea huyu jamaa huwa nacheka Sana ,View attachment 2689036View attachment 2689041
Shoga baba yako mzazi.Team ya mashoga
Sawa kiongozi wa jukwaa la gay gooner .Team ya mashoga
Vipi humu? Kuna jipya? Sisi kule kwetu tuko bize tunashusha vyuma vya maana. Nyie je mna lolote la kujivunia?
After captaincy,then you are not in my plans for the coming season.ETH doing everything he can to make Maguire uncomfortable at the clubView attachment 2690022

Maguire hataki kuuzwa kisa mshahara mkubwa,hiyo ni strategy ya kwanza ya kumlazimisha atake kuondoka ama achukue nafasi ya Jones benchiKanyang'anywa kitambaa bila sababu ,kwann asimuuze au kumwambia aondoke ,kuliko amemnyang'anya kitambaa bila sababu ya msingi ,sio mtovu wa nidhamu ,


Hata asipokuwa Bruno but Varane au Casemiro mmoja wao apewe ila kumpora Maguire unahodha ni jambo jema,captain gani anakaa mbali na matukio uwanjaniSisi Kama familia ya mpira
Kitendo alichofanyiwa Maguire pale Manchester United sio cha kupuuzwa hata kidogo, ifike mahala huyu Ten Hag apunguze mihemko yake wewe chezaji kama Maguire unamdhalilisha kisa huyo Bruno Fernandes aliyetaka kukimbia kipigo cha 7:0 kutoka Kwa Liverpool....View attachment 2690103

Kitambaa wanavaa watu wenye mchango+ kwenye timu, Halimagwaya mchango wake ni kwenye kuidhoofisha timu physically & mentally.Kanyang'anywa kitambaa bila sababu ,kwann asimuuze au kumwambia aondoke ,kuliko amemnyang'anya kitambaa bila sababu ya msingi ,sio mtovu wa nidhamu ,
Yaani Asenyo mnanua michele na kuni halafu ndio mnakuja kutupigia kelele humu?Vipi humu? Kuna jipya? Sisi kule kwetu tuko bize tunashusha vyuma vya maana. Nyie je mna lolote la kujivunia?


