xYz07
JF-Expert Member
- Apr 13, 2015
- 4,077
- 5,918
Mtu anaridhika na kikosi chakina Shaw, Rashbeck, Malacia then anajiuliza kwann hatubebi makombe yanayo eleweka.Mzee baba Hawa wanataka useme Anthony ni winger hatari ilihali ana goli 4 tu, Sancho anajua , wanataka useme manjesta itapambania ubingwa na kina Rashford ,magwaya ,varane , malacia
Sometimes najiulizaga akili za mashabiki wa Manchester sijui zikoje
