Franky Samuel
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 5,465
- 14,608
Man u ni kama chizi anetembea umbali mrefu mwisho wa siku analudi na makopo
Kuna nyumbu wenzio hawatokuelewa, watakwambia "wewe na mzungu nani ana akili??"Hili suala nmelizungumza kabla ya mechi kocha wetu hana plan b, game plan yake ikifeli huoni mabadiliko ya kimbinu anayoyafanya...
Substitution zake hazina manufaa na still bdo anazid kubeba watu ambao hawabebeki km kina antony...
Antony anaicost timu kwakua hachez kitimu anataka kufanya vitu ving kwa wakt mmoja kufurahisha jukwaa...
Mechi ha chelsea lazma tuangushe tena point na top four tushaikosa mpk sasa
Relax Jombaa Top 4 hatuikosi.Katika hizi mechi 4 zilizo salia tukijitahidi sana tunashinda 1, tuna draw 1 Halafu tunagongwa mechi 2.
Man Utd misimu yote ni ileile tu, mabadiliko hua yanakuwepo kwenye jezi tu.
Tumpishe tu Liverpool kwenye nafasi yake maana hamna jinsi. View attachment 2613918




Mna mpango na TOPUFO au mna mgomo baridi?
Bado hajafukuzwa tu?
trust the processMi nilishawahi kuuliza hapa accuracy ya anthony iko wapi maana pass butu vishuti uchwara etcHili suala nmelizungumza kabla ya mechi kocha wetu hana plan b, game plan yake ikifeli huoni mabadiliko ya kimbinu anayoyafanya...
Substitution zake hazina manufaa na still bdo anazid kubeba watu ambao hawabebeki km kina antony...
Antony anaicost timu kwakua hachez kitimu anataka kufanya vitu ving kwa wakt mmoja kufurahisha jukwaa...
Mechi ha chelsea lazma tuangushe tena point na top four tushaikosa mpk sasa
Tunawatamanisha kwanza nyie L'pool ili mtengeneze expectations kubwa halafu mwisho kabisa tupitishe kisu cha shingo.Mna mpango na TOPUFO au mna mgomo baridi?
Anabalance teamMi nilishawahi kuuliza hapa accuracy ya anthony iko wapi maana pass butu vishuti uchwara etc
Mimi mpaka muda huu naona kazi kubwa aliyoifanya Jasusi 7Hag tokea ametua Manchester ni kumfurumusha Cristiano Ronaldo tu.Hili suala nmelizungumza kabla ya mechi kocha wetu hana plan b, game plan yake ikifeli huoni mabadiliko ya kimbinu anayoyafanya...
Substitution zake hazina manufaa na still bdo anazid kubeba watu ambao hawabebeki km kina antony...
Antony anaicost timu kwakua hachez kitimu anataka kufanya vitu ving kwa wakt mmoja kufurahisha jukwaa...
Mechi ha chelsea lazma tuangushe tena point na top four tushaikosa mpk sasa
Daahh *****😂😂Mimi mpaka muda huu naona kazi kubwa aliyoifanya Jasusi 7Hag tokea ametua Manchester ni kumfurumusha Cristiano Ronaldo tu.
Hivi huyu jasusi wetu kila akiuangalia ule upara wa Pep hua anajisikiaje???
Tunamuomba kuanzia msimu ujao awe anavaa wigi tu maana kwa mpira huu na matokeo haya hana sababu yoyote ya msingi ya kutumalizia nishati ya jua kwenye hio solar panel yake isiyotunza chaji.
Huyu mwamba aombe timu apewe mwarabu..bila hivyo maisha yake pale ni mafupi zaidiMimi mpaka muda huu naona kazi kubwa aliyoifanya Jasusi 7Hag tokea ametua Manchester ni kumfurumusha Cristiano Ronaldo tu.
Hivi huyu jasusi wetu kila akiuangalia ule upara wa Pep hua anajisikiaje???
Tunamuomba kuanzia msimu ujao awe anavaa wigi tu maana kwa mpira huu na matokeo haya hana sababu yoyote ya msingi ya kutumalizia nishati ya jua kwenye hio solar panel yake isiyotunza chaji.
Rebuild imekataaMimi mpaka muda huu naona kazi kubwa aliyoifanya Jasusi 7Hag tokea ametua Manchester ni kumfurumusha Cristiano Ronaldo tu.
Hivi huyu jasusi wetu kila akiuangalia ule upara wa Pep hua anajisikiaje???
Tunamuomba kuanzia msimu ujao awe anavaa wigi tu maana kwa mpira huu na matokeo haya hana sababu yoyote ya msingi ya kutumalizia nishati ya jua kwenye hio solar panel yake isiyotunza chaji.
