D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,636
- 121,032
Kilichobaki ni kufuatilia vita ya ukraine dhidi ya Urusi.
Hii timu imeshajifia
Hii timu imeshajifia
Daahh *****😂😂Mimi mpaka muda huu naona kazi kubwa aliyoifanya Jasusi 7Hag tokea ametua Manchester ni kumfurumusha Cristiano Ronaldo tu.
Hivi huyu jasusi wetu kila akiuangalia ule upara wa Pep hua anajisikiaje???
Tunamuomba kuanzia msimu ujao awe anavaa wigi tu maana kwa mpira huu na matokeo haya hana sababu yoyote ya msingi ya kutumalizia nishati ya jua kwenye hio solar panel yake isiyotunza chaji.
Huyu mwamba aombe timu apewe mwarabu..bila hivyo maisha yake pale ni mafupi zaidiMimi mpaka muda huu naona kazi kubwa aliyoifanya Jasusi 7Hag tokea ametua Manchester ni kumfurumusha Cristiano Ronaldo tu.
Hivi huyu jasusi wetu kila akiuangalia ule upara wa Pep hua anajisikiaje???
Tunamuomba kuanzia msimu ujao awe anavaa wigi tu maana kwa mpira huu na matokeo haya hana sababu yoyote ya msingi ya kutumalizia nishati ya jua kwenye hio solar panel yake isiyotunza chaji.
Rebuild imekataaMimi mpaka muda huu naona kazi kubwa aliyoifanya Jasusi 7Hag tokea ametua Manchester ni kumfurumusha Cristiano Ronaldo tu.
Hivi huyu jasusi wetu kila akiuangalia ule upara wa Pep hua anajisikiaje???
Tunamuomba kuanzia msimu ujao awe anavaa wigi tu maana kwa mpira huu na matokeo haya hana sababu yoyote ya msingi ya kutumalizia nishati ya jua kwenye hio solar panel yake isiyotunza chaji.

Wolves sio wepes hapa drawRelax Jombaa Top 4 hatuikosi.
Ndio kwanza anawaongezea mikataba wachezaji waovyoHuyu mwamba aombe timu apewe mwarabu..bila hivyo maisha yake pale ni mafupi zaidi
Uwezo wa vijana wengi ni mdogo mkuu..Casemiro Eriksen Bruno
Bado hamuwezi kukaa na Mali
Tatizo Ni kocha wenu uwezo mdogo
Wakijitahidi sana wanadroo mechi moja tu,zingine zote watafungwa hawaWolves sio wepes hapa draw
Chelsea mna gemu nae ya 6 sijui hamumfungi akiwawekea kante kova pale Kati anawafungeni au draw
Fulham ,mitrovik atakuwa anarejea Kuna draw hapa au mkashinda pia
Bonamauthi huyu mtampiga
Top 4 ipo mashakani
Timu nne tu zimetufunga goli 2 1 katika mechi nne round ya kwanza lazima GD isingekaa sawa. Overall tumecheza msimu mzima bila striker na timu yetu haicontrol games magoli tunapata ya sandakalawe hiyo goal difference itapenda vipi ?Weghorst again..
EtH bana..
Kocha wenu hawezi kuchanganua profile za wachezaji hata usajili wake Ni wakubahatishaUwezo wa vijana wengi ni mdogo mkuu..
Ni kweli majina yanakupa imani ya kufanya kitu ila balance huletwa na timu nzima..kuanzia walinzi hadi washambuliaji..
Kuna kipindi Jose alimtumia Matic, Herrera na Pogba ila alichemka akaamua kumwamini Mkubwa Fella na maisha yakaendelea huku De Gea akiwa shujaa..
De Gea asome nyakati ajiendee kokote akavune mafao..
, kina casemiro ,Eriksen watakaokuwa wamechoka sababu ya umri ,Degea atakayekuwa na mkataba Hili lawama zote kwa upngozi kushindwa kufanya maamuzi mapema..Ndio kwanza anawaongezea mikataba wachezaji waovyo
Hata angepewa Mansoor bado Kama kocha Ni kiazi uongoz maandazi mta struggle tu
Si alitumia £200m na zaidi kusajili Nini kimebadilika Hadi sasa
Utaonekana mbaya ila mechi nyingi Ni good form ya Rashford ndio imemfichia madhaifu kocha wenuTimu nne tu zimetufunga goli 2 1 katika mechi nne round ya kwanza lazima GD isingekaa sawa. Overall tumecheza msimu mzima bila striker na timu yetu haicontrol games magoli tunapata ya sandakalawe hiyo goal difference itapenda vipi ?
Leo tena kalibwagaNo Premier League player has made more errors leading to a goal across all competitions than David De Gea since the start of last season (5).


Wengi wamemdharau Sana Chelsea ila aki turn up usishangae akashinda dhidi ya man uWakijitahidi sana wanadroo mechi moja tu,zingine zote watafungwa hawa
Utaonekana mbaya ila mechi nyingi Ni good form ya Rashford ndio imemfichia madhaifu kocha wenu
Mashabiki wa Manchester wanajiuliza Kama anapenda mpira wakuanzia nyuma why asijaribu kwa makipa walio benchi? Ni muoga
Kwanini anahangaika kumbakisha Degea ambaye Ni sehemu ya tatizo katika timu

utd itazeesha makocha..Timu yetu pia ina tatizo la ari ya ushindi na upambanaji..sitoshangaa tukipoteza dhidi yaoWengi wamemdharau Sana Chelsea ila aki turn up usishangae akashinda dhidi ya man u
Fulham ,wolves hawa wanaweza kufanya chochote hata kushinda
Westham leo kacheza kwa kupishana vzr tu na Kiungo Cha Casemiro Eriksen na Bruno