KENGE 01
JF-Expert Member
- Mar 12, 2021
- 1,769
- 4,389
Martial kajitahidi sana kwa dakka chache alizocheza tafta mwingine wa kumtupia lawamaMartial aondoke mwisho wa msimu.
Martial kajitahidi sana kwa dakka chache alizocheza tafta mwingine wa kumtupia lawamaMartial aondoke mwisho wa msimu.
Kocha wenu Ni wakawaidaKuna mtu anaweza kuchambua kwanini team yetu inakuwa kama ina homa za kipindi?
Kuna muda ilikaa poa tukamfunga hadi Barca sikuhz naona tia maji tia maji tu.
Sahv nina acha kuangalia game za Man za usku siwez kupoteza mara 2 usingizi na furaha bora nipoteze kimoja wapo.
Huyo kocha atakuja wakost mbeleni ana tactic za ki championship

nyie aibu sana 10hang maneno mengi kama hadija kopa shwain
Huyo ni mmoja wa wanaotakiwa kuondoka.Martial kajitahidi sana kwa dakka chache alizocheza tafta mwingine wa kumtupia lawama
"Nothing worth having comes easy."Champions league tunaikosa hivi hivi.
Hahahaa ukiweka ushabiki kando bado nasimama na Ten Hag kajitahidi sana. Ralf Rangnick aliweka wazi timu inahitaji marekebisho makubwa sana ktk kila idara.Mambo ya mpira magumu mno sometime ndo maana naelewa ni kwanini hamis77 kajificha hataki kujitokeza mafichoni mashabiki ndo tunao pata maumivu aise.
Katika hizi mechi 4 zilizo salia tukijitahidi sana tunashinda 1, tuna draw 1 Halafu tunagongwa mechi 2.
Man Utd misimu yote ni ileile tu, mabadiliko hua yanakuwepo kwenye jezi tu.
Tumpishe tu Liverpool kwenye nafasi yake maana hamna jinsi. View attachment 2613918

kiroho safi acha iwe next season..bora sasa tukose hata hizo conference.. tunateseka mno kwa kina SevillaHahahaa ukiweka ushabiki kando bado nasimama na Ten Hag kajitahidi sana. Ralf Rangnick aliweka wazi timu inahitaji marekebisho makubwa sana ktk kila idara.
Tuna wachezaji wengi sana ila wengi hawana ubora na kama tukiendelea na walau 50% ya wachezaji tulionao itatuchukua muda mrefu sana kushindana kwa kiwango cha juu.
Hofu yangu kubwa ni kuendelea kuongeza miakataba ya wachezaji kama Fred, Degea, Scott n.k sioni umuhimu wa kulazimisha kubaki na wachezaji waliokuwapo ktk projects zaidi ya moja zilizofeli awali.

anakufa na tai shingoni..Kuna watu watakwambia "wewe na mzungu nani ana akili??"Kocha nae ukitoa sub anazofanya hakuna change of tactics kabisa hovyooo bure kabisa. Huwezi kuwa na watu hawakupi matokeo ukaendelea kuwakumbatia utegemee ufanikiwe hakuna kitu kama hicho.
Hili suala nmelizungumza kabla ya mechi kocha wetu hana plan b, game plan yake ikifeli huoni mabadiliko ya kimbinu anayoyafanya...Kocha nae ukitoa sub anazofanya hakuna change of tactics kabisa hovyooo bure kabisa. Huwezi kuwa na watu hawakupi matokeo ukaendelea kuwakumbatia utegemee ufanikiwe hakuna kitu kama hicho.