Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

ae730aea-fd3f-4963-8fa1-33dd51fbb846.jpg

Walivyo seriously sasa na mipua yao kama ANDAZI
 
Sijawahi kumpenda wan bissaka na tokea siku ya kwanza kusajiliwa kwake nilikuwa wa kwanza kupinga usajili wake humu ndani.

Hata hivyo naiona dalili ya kwenda kufanya kosa kubwa sana la kimaamuzi kwa klabu,

  • ni kosa kumpa mkataba mpya dalot diogo na kumuuza wan bissaka
  • Diogo dalot hana sifa ya kupewa mkataba mpya
  • Ni sahihi kuwauza wote wawili na kutafuta fullback mwengine
  • Pia ni sahihi kutafuta fullback mwengine na wakati huo huo tukambakisha wan bissaka.

Muda ndiye mwalimu mzuri wa maamuzi na mawazo
Bisaka na dalot wote wanafaa kuwa striker kama dalot ni striker kabsa yule cjui nani alimshawishi acheze beki ila juzi aliwekwa LB alikiwasha vzur tu naona kwa kuwa team nayo ilikua kibonde

Bisaka aliperform lakini leo kaumbuka lilikua suala la mda tu sasa Upara 10Hag aumize kichwa aingie sokoni abadili beki maajabu ni kwamba PEP amefanikiwa kuingia sokoni na kusajili beki nzuri Akanji na Ake na akafanikiwa kuwatrain waendane na mfumo wake na sasa wanakiwasha vbaya mno alifukuza beki zote (Fabinho,Canncelo,Zncheko) JE 10Hag atawezaaa?? Apo ndo ntamuona genius

Sisi eti tunategemea beki mmoja Martinez haya kaumia tunaanza kutaftana hivi Maguire ni wakumzuia Son,Kane jpili Kweli?
 
Huyu 7Hag anazarau za kishamba sana.
Hii mechi tulikua tumeisha imaliza Old Trafford ila zile Sub zake za kisenge ndio zimetufikisha hapa tulipo.
Basi tufanye magoli yetu Sevilla ya pale Old Trafford hatuyahesabu, tunayahesabu ya leo
 
Back
Top Bottom