Carasco Putin
JF-Expert Member
- Apr 23, 2022
- 12,500
- 35,660
Walivyo seriously sasa na mipua yao kama ANDAZI
Hao wapumbavu wawili kila wiki kwa pamoja wanakunja takribani billion 1 za kitanzania.Walivyo seriously sasa na mipua yao kama ANDAZI
Bisaka na dalot wote wanafaa kuwa striker kama dalot ni striker kabsa yule cjui nani alimshawishi acheze beki ila juzi aliwekwa LB alikiwasha vzur tu naona kwa kuwa team nayo ilikua kibondeSijawahi kumpenda wan bissaka na tokea siku ya kwanza kusajiliwa kwake nilikuwa wa kwanza kupinga usajili wake humu ndani.
Hata hivyo naiona dalili ya kwenda kufanya kosa kubwa sana la kimaamuzi kwa klabu,
- ni kosa kumpa mkataba mpya dalot diogo na kumuuza wan bissaka
- Diogo dalot hana sifa ya kupewa mkataba mpya
- Ni sahihi kuwauza wote wawili na kutafuta fullback mwengine
- Pia ni sahihi kutafuta fullback mwengine na wakati huo huo tukambakisha wan bissaka.
Muda ndiye mwalimu mzuri wa maamuzi na mawazo
Captain Maguire kisiki ukuta wa Berlin tuoneshe uwezo wako baba



Basi tufanye magoli yetu Sevilla ya pale Old Trafford hatuyahesabu, tunayahesabu ya leoHuyu 7Hag anazarau za kishamba sana.
Hii mechi tulikua tumeisha imaliza Old Trafford ila zile Sub zake za kisenge ndio zimetufikisha hapa tulipo.



Captain Maguire kisiki ukuta wa Berlin tuoneshe uwezo wako baba





kweli umeumizwa na matokeoSijui tumemkosea nini mungu







