Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,384
Nyie mijinga kweli mmefanyiwa favour na arsenal na nyie mna mpa favour mnayepaswa ku overtake
Hii ndiyo United ninayoijua mimi miaka yote anayogombea top 4 akifungwa mpinzani basi jua na yeye atafuatia kufungwa.Nyie mijinga kweli mmefanyiwa favour na arsenal na nyie mna mpa favour mnayepaswa ku overtake
You don't deserve to be there.Champions league tunaikosa hivi hivi.
Martial kajitahidi sana kwa dakka chache alizocheza tafta mwingine wa kumtupia lawamaMartial aondoke mwisho wa msimu.