Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Anakwenda msimu wake wa pili sasa..huo ndio tutamhukumu uwezo wake vizuri..

Swala la hakupewa targets zake litakosa nguvu kiasi..uza nunua ama boresha kilichopo..au omba kulinda Wasifu kwa matumizi ya baadae..
Dalili ya mvua Ni mawingu

Kitendo cha kuwaongezea na kuwapambania wabaki wachezaji Kama Degea inaonesha kabisa Nini kinakuja mbele nikionacho anaenda kumuachia mzigo mzito Sana atakayeichukua timu baada yake Kama na yeye alivyoachiwa kazi ya kuondoa mizigo
Kocha ajaye atatakiwa kuwaondoa Anthony wa , kina Degea ,Fred , n.k
 
Mashabiki wa Arsenal mna muandama sana ten Hag..

Ni kweli hayupo daraja moja na kina Pep, Carlo, Jurgen and co..

Lakini ni kocha mzuri kijana anaeibukia..

Manchester United ni timu kubwa na matatizo yake ni makubwa,, ikiwa ni yeye basi itahitaji muda kupata timu nzuri..hii itaambatana na back up ya wamiliki na uongozi kama watabadilika.. bila hivyo nae atafeli na mduara utaendelea..

Chelsea wamekuwa wakipata makombe kwa njia ya kushtukiza.. fukuza huyu, leta yule, weka hamasa mpya, chukua kombe, mduara unaendelea..

Ten Hag bado ni kocha kijana anajifunza.. tunamtakia mabadiliko ya haraka..

Kosa ni kwamba timu aliyopo ina kisuli suli..wala sio uwezo kuwa mdogo..

Kipanga wa UDSM kapekekwa MASSACHUSETTS
 
Dalili ya mvua Ni mawingu

Kitendo cha kuwaongezea na kuwapambania wabaki wachezaji Kama Degea inaonesha kabisa Nini kinakuja mbele nikionacho anaenda kumuachia mzigo mzito Sana atakayeichukua timu baada yake Kama na yeye alivyoachiwa kazi ya kuondoa mizigo
Kocha ajaye atatakiwa kuwaondoa Anthony wa , kina Degea ,Fred , n.k
Pengine ashaona ubovu wa management (hawapo serious).

Bora kufa na tai kulinda Kibarua chako kulko kujikuta Ranginick..dunia ya watu hii..ajira ngumu
 
1683495338083.png
 
Mi nilishawahi kuuliza hapa accuracy ya anthony iko wapi maana pass butu vishuti uchwara etc
Anakera sn kila shuti analopiga anataka azungushe/apige ndizi.. kuna move za counter nyng anaziua unakuta anapewa mpira tupo kwny counter anatulia kumsubir adui aje ampige chenga
 
Tatizo la hii timu sio kocha wala wamiliki au bodi ya timu , shida kubwa ya hii timu ni machawa , timu ina machawa na wajuaji wengi Sana , nikikumbuka hao madogo akina rashford na machawa wao walivyomsagia kunguni Ronaldo mpak akasepa daah nouma Sana , bahati mbaya kocha Naye kaingia kwenye mtego huo , ni ngumu kufanya maamuz sasa, wachezaji wabovu Ila Wana machawa Hatare,

Kama huku bongo Tu machawa wa Man u ni nouma sembuse pale OT
 
Anakera sn kila shuti analopiga anataka azungushe/apige ndizi.. kuna move za counter nyng anaziua unakuta anapewa mpira tupo kwny counter anatulia kumsubir adui aje ampige chenga
Ndiyo utaelewa kwanini timu kubwa hazimfuati Alan Saint Maximin na Pepe aliondoka Arsenal
 
Mashabiki wa Arsenal mna muandama sana ten Hag..

Ni kweli hayupo daraja moja na kina Pep, Carlo, Jurgen and co..

Lakini ni kocha mzuri kijana anaeibukia..

Manchester United ni timu kubwa na matatizo yake ni makubwa,, ikiwa ni yeye basi itahitaji muda kupata timu nzuri..hii itaambatana na back up ya wamiliki na uongozi kama watabadilika.. bila hivyo nae atafeli na mduara utaendelea..

Chelsea wamekuwa wakipata makombe kwa njia ya kushtukiza.. fukuza huyu, leta yule, weka hamasa mpya, chukua kombe, mduara unaendelea..

Ten Hag bado ni kocha kijana anajifunza.. tunamtakia mabadiliko ya haraka..

Kosa ni kwamba timu aliyopo ina kisuli suli..wala sio uwezo kuwa mdogo..

Kipanga wa UDSM kapekekwa MASSACHUSETTS
Aahh kmmk ten hag ni kijana 🤣🤣🤣

Ujana mwisho miaka mingapi wakuu 🙌🏾🙌🏾
 
Back
Top Bottom