anti-Glazer
JF-Expert Member
- Apr 13, 2023
- 291
- 484
Hii inaitwa mvua nyesha tuone matobo.Kipa #2 wa Brighton anamzidi kipa #1 wa United anayelipwa £375k.
Hizi top 7 team Zina makipa Bora ukimtoa de gea.
Hii inaitwa mvua nyesha tuone matobo.Kipa #2 wa Brighton anamzidi kipa #1 wa United anayelipwa £375k.
Ndiyo maana wao hawana shida na hizo glazzer out kwasababu maslahi yao binafsi yanapatikana...... Kingine man u nitimu yenye ushawishi na mashabiki wengi kwahiyo huwezi kulinganisha mshahara wa mitoma na wa nyumbu mmoja mzembe mzembeHii timu ina ujinga sana. Sasa hivi Rashford anapewa mkataba mpya kwa ile performance na yeye atataka £300k.
Garnacho katoka £7k mpaka £50k per week. Mitoma huko Brighton anachukua £20k.
Martial anachukua £250k
View attachment 2612766
Kwenye timu zingine mpira ukiwa kwa golikipa wanaamini wako safe ila kwa De Gea ni tofauti akiwa nao ndiyo mnakuwa kwenye hatari ya kufungwa zaidi.Ukiangalia kwa umakini hizo clips za mechi mbili tofauti utagundua kila mechi alipiga takribani goal kick 10 au zaidi zisizofikia walengwa.
Huyu ni kipa wa brighton hapo juzi dhidi yetu
View attachment 2612640
Kwa miaka 10 hii after ferguson, sidhani kama mauzo ya wachezaji yanafikia hata thamani ya paundi millioni 50.Hii timu ni Man United au One United. Tuanzie hapo. Kuna wakati naona kabisa Ferguson anaiharibu team ...akamchagua Moyes hovyo, wakija walimu KAZI Yao kuuza wachezaji.
Ukikagua mauzo ya wachezaji ni wale wazuri wazuri yakaachwa mapupu.
Ni kweli kabisa, na hili hata EtH kaliongelea before game na Brighton. Sema kila kitu kwa sasa kimesimama kusubiri mmiliki mpya atakuja na vision ipi huoni hata deal la Mcllister tumekwama anaenda zake liverpool ambao ni front runners mpaka sasa na wamewapa Brighton James Millner kama kifungashio 😀Kibarua cha Kuirejesha Manchester United juu kimekuwa kigumu sana..
naweka akiba ya maneno ila..Only Pep Can Do That..
Our Ten Hag tutamuonea tu..
huwezi beba ubingwa wa EPL na wachezaji dizaini ya Sancho, Rashford, Antony, and co..
Manchester United inahitaji 5 Worldie kubeba EPL..as of now ni Only Casimiro..ndie World Class Player..
yule bwana hamis77 huwa tunamuona snitch ila kiuhalisia yupo sahihi..
Imagine Manchester United wame spend karibu £250M.. ila mpira bado hauna uelekeo..
Mchukue Rashford mpeleke Real Madrid, Bayern Munich, Manchester City, PSG, tuone atamweka nani benchi?
Safari bado ni ndefu..tuwe na subira..ingawa bila watu sahihi wa usajili safari ni ndefu zaidi..
Ni kweli ila inabidi kuwe na salary cap. Maximum mchezaji anayelipwa zaidi iwe £350k. Saka mkataba wake wa kwanza Arsenal alikuwa anachukua £30k, sisi Garnacho tayari anachukua £50k. Sawa hii inaweza kuwa kawaida ila % kubwa wanalipwa pesa nyingi kushinda kile wanachofanya uwanjani.Ndiyo maana wao hawana shida na hizo glazzer out kwasababu maslahi yao binafsi yanapatikana...... Kingine man u nitimu yenye ushawishi na mashabiki wengi kwahiyo huwezi kulinganisha mshahara wa mitoma na wa nyumbu mmoja mzembe mzembe
Na mwarabu analetewa figisu balaa, wafia team wanamtaka mwingereza mwenzao 😀Hii project inabidi United wacheze kamari tu kwa kusajili talents zisizo na majina maana kwa hali ilivyo budget yote itaishia kwa wachezaji wawili tu. Kane & De Jong/Caicedo ni £170m tayari.
Kama vipi striker wamchukue hata yule dogo Hojlund maana bila Mwarabu kupewa timu watu watakimbiana pale Carrington. 😁
Mkuu unaiona project ya Aston Villa inavosukwa? Wanamchukua director wa Barca anakuja kufanya kazi na Emery. Usiwasahau nao, hapo bado brighton nao ŵana structure nzuri sanaShukurani Mkuu..
ni kweli timu ina changamoto nyingi ila hatuna mentality sahihi za kibingwa..
Pep aliionesha dunia jinsi mpira wa kisasa unavyoendeshwa..
aliamini katika anachoamini..akaleta vijana wake wakafeli..
nini kilifata?
kina Bravo, Nolito and co..waliondoka..
Muangalie Lottin Mbappe..kuna siku mbaya kazini anazingua, hata dk 85 ila zile tano anaweza kubadili upepo kabisa..
marejeo ni Fainali Vs Argentina..
ukija kwetu MBE akipata goli moja ndio kwanza kawa New Lionel..
mzee Ranginick aliweka wazi matatizo ya timu.. MENTALITY ya kina Antony kuzunguka na mpira hatuwezi shinda ubingwa..
tunawaita watoto..ila Rooney na Ronaldo pale Moscow sijui walikuwa na miaka mingapi..
Manchester United wasipobadilika tutaumia sanaa..
Otherwise Chelsea wafeli katika project yao, Plus Liverpool..
usiwasahau Newcastle..
yupo Cityzen pia na Compact team ya London Babies..
Dalot Ten Hag kashamu offer new contractYes panga linatakiwa lipite kuanzia kwenye beki,Maguire na Varane wauzwe watoke.
Fullbacks Dalot na Brandon William's watoke.
Kwenye midfield, Fred, atoke, striking force ondoa Martial, na Elanga
Huyu kocha mjinga sana aiseeDalot Ten Hag kashamu offer new contract
Rashford ni kirusi anawaza zaidi record binafsi.Na timu imeyumba baada ya kupata injury za kutosha
Rashford mwenyewe ka drop
Martnez
Varane
Shaw kachangia sana upatikanaji wa magoli kwa sasa hamna tena anacheza namba 5 jambo lililosababishwa na injury alikuwa akicheza vizur sana upande wa kushoto na rashford
Pamoja na yote rashford hanishawishi kama tu ambae tunaweza kumtegemea ktk harakat za kufunga
Pengine anafanya hivyo kwa kujua maboss wake hawana mpango na usajiliDalot Ten Hag kashamu offer new contract
Inawezekana pia mkuuPengine anafanya hivyo kwa kujua maboss wake hawana mpango na usajili