Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hii timu ina ujinga sana. Sasa hivi Rashford anapewa mkataba mpya kwa ile performance na yeye atataka £300k.

Garnacho katoka £7k mpaka £50k per week. Mitoma huko Brighton anachukua £20k.

Martial anachukua £250k
View attachment 2612766
Ndiyo maana wao hawana shida na hizo glazzer out kwasababu maslahi yao binafsi yanapatikana...... Kingine man u nitimu yenye ushawishi na mashabiki wengi kwahiyo huwezi kulinganisha mshahara wa mitoma na wa nyumbu mmoja mzembe mzembe
 
Ukiangalia kwa umakini hizo clips za mechi mbili tofauti utagundua kila mechi alipiga takribani goal kick 10 au zaidi zisizofikia walengwa.

Huyu ni kipa wa brighton hapo juzi dhidi yetu
View attachment 2612640
Kwenye timu zingine mpira ukiwa kwa golikipa wanaamini wako safe ila kwa De Gea ni tofauti akiwa nao ndiyo mnakuwa kwenye hatari ya kufungwa zaidi.
 
Mara ya kwanza kumona ikay gundogan ilikuwa ni mechi dhidi ya bayern munich.

Nikabaki najiuliza huyu muhindi anatokea wapi?

Baadae nikamuona mechi dhidi ya rwal madrid, usiku ule watu wengi walimzungumzia roberto lewandowski na hatrick yake ila kwangu ilikuwa ni ikay gundogan na udikteta wake eneo la kiungo.

Nilitamani nimuone manchester united lakini ikawa kinyume chake.

Mkataba wa gundogan umebakiza miezi mitatu ndani ya etihad.

Kama ningelikuwa ni mfanyaji maamuzi wa arsenal au manchester united, muda huu ningelikuwa nazungumza na wakala wa gundogan.

Bila ya kujali umri wake.
 
Hii timu ni Man United au One United. Tuanzie hapo. Kuna wakati naona kabisa Ferguson anaiharibu team ...akamchagua Moyes hovyo, wakija walimu KAZI Yao kuuza wachezaji.

Ukikagua mauzo ya wachezaji ni wale wazuri wazuri yakaachwa mapupu.
 
Hii timu ni Man United au One United. Tuanzie hapo. Kuna wakati naona kabisa Ferguson anaiharibu team ...akamchagua Moyes hovyo, wakija walimu KAZI Yao kuuza wachezaji.

Ukikagua mauzo ya wachezaji ni wale wazuri wazuri yakaachwa mapupu.
Kwa miaka 10 hii after ferguson, sidhani kama mauzo ya wachezaji yanafikia hata thamani ya paundi millioni 50.

Manchester united ndio klabu kubwa ya ovyo duniani linapokuja swala la kuuza wachezaji.

Daniel james
James garner
Chris smalling
Daley blind

Hao pekee ndio nakumbuka wameuzwa
 
Kibarua cha Kuirejesha Manchester United juu kimekuwa kigumu sana..

naweka akiba ya maneno ila..Only Pep Can Do That..

Our Ten Hag tutamuonea tu..

huwezi beba ubingwa wa EPL na wachezaji dizaini ya Sancho, Rashford, Antony, and co..

Manchester United inahitaji 5 Worldie kubeba EPL..as of now ni Only Casimiro..ndie World Class Player..


yule bwana hamis77 huwa tunamuona snitch ila kiuhalisia yupo sahihi..

Imagine Manchester United wame spend karibu £250M.. ila mpira bado hauna uelekeo..

Mchukue Rashford mpeleke Real Madrid, Bayern Munich, Manchester City, PSG, tuone atamweka nani benchi?

Safari bado ni ndefu..tuwe na subira..ingawa bila watu sahihi wa usajili safari ni ndefu zaidi..
Ni kweli kabisa, na hili hata EtH kaliongelea before game na Brighton. Sema kila kitu kwa sasa kimesimama kusubiri mmiliki mpya atakuja na vision ipi huoni hata deal la Mcllister tumekwama anaenda zake liverpool ambao ni front runners mpaka sasa na wamewapa Brighton James Millner kama kifungashio 😀
 
Ndiyo maana wao hawana shida na hizo glazzer out kwasababu maslahi yao binafsi yanapatikana...... Kingine man u nitimu yenye ushawishi na mashabiki wengi kwahiyo huwezi kulinganisha mshahara wa mitoma na wa nyumbu mmoja mzembe mzembe
Ni kweli ila inabidi kuwe na salary cap. Maximum mchezaji anayelipwa zaidi iwe £350k. Saka mkataba wake wa kwanza Arsenal alikuwa anachukua £30k, sisi Garnacho tayari anachukua £50k. Sawa hii inaweza kuwa kawaida ila % kubwa wanalipwa pesa nyingi kushinda kile wanachofanya uwanjani.

Inatakiwa tufate nyayo za Barca kwa kuanza na kumtoa De Gea kwenye £375k halafu watafuata Casemiro na Varane mikataba yao ikiisha waondoke. Sancho pekee ndiyo atabaki asiyestahili kulipwa hiyo pesa.
 
Hii project inabidi United wacheze kamari tu kwa kusajili talents zisizo na majina maana kwa hali ilivyo budget yote itaishia kwa wachezaji wawili tu. Kane & De Jong/Caicedo ni £170m tayari.

Kama vipi striker wamchukue hata yule dogo Hojlund maana bila Mwarabu kupewa timu watu watakimbiana pale Carrington. 😁
Na mwarabu analetewa figisu balaa, wafia team wanamtaka mwingereza mwenzao 😀
 
Shukurani Mkuu..

ni kweli timu ina changamoto nyingi ila hatuna mentality sahihi za kibingwa..

Pep aliionesha dunia jinsi mpira wa kisasa unavyoendeshwa..

aliamini katika anachoamini..akaleta vijana wake wakafeli..

nini kilifata?

kina Bravo, Nolito and co..waliondoka..

Muangalie Lottin Mbappe..kuna siku mbaya kazini anazingua, hata dk 85 ila zile tano anaweza kubadili upepo kabisa..

marejeo ni Fainali Vs Argentina..

ukija kwetu MBE akipata goli moja ndio kwanza kawa New Lionel..

mzee Ranginick aliweka wazi matatizo ya timu.. MENTALITY ya kina Antony kuzunguka na mpira hatuwezi shinda ubingwa..

tunawaita watoto..ila Rooney na Ronaldo pale Moscow sijui walikuwa na miaka mingapi..

Manchester United wasipobadilika tutaumia sanaa..

Otherwise Chelsea wafeli katika project yao, Plus Liverpool..

usiwasahau Newcastle..
yupo Cityzen pia na Compact team ya London Babies..
Mkuu unaiona project ya Aston Villa inavosukwa? Wanamchukua director wa Barca anakuja kufanya kazi na Emery. Usiwasahau nao, hapo bado brighton nao ŵana structure nzuri sana
 
Na timu imeyumba baada ya kupata injury za kutosha
Rashford mwenyewe ka drop
Martnez
Varane

Shaw kachangia sana upatikanaji wa magoli kwa sasa hamna tena anacheza namba 5 jambo lililosababishwa na injury alikuwa akicheza vizur sana upande wa kushoto na rashford

Pamoja na yote rashford hanishawishi kama tu ambae tunaweza kumtegemea ktk harakat za kufunga
Rashford ni kirusi anawaza zaidi record binafsi.
 
Manchester United inacheza leo na dunia nzima ina furaha

Prediction
West Ham 0 vs Manchester United 2

3:00 usiku

London stadium

Last match
Manchester United 1vs west ham 0

West Ham mnacho cheza nacho hakika hamkijui kitawaramba

GGMU
1683299747585.jpg
 
Back
Top Bottom