Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,864
- 32,766
Plan b inakuwepo kama una watu wa kukupa hiyo plan B kwrnye bench letu wapo hao ?Hili suala nmelizungumza kabla ya mechi kocha wetu hana plan b, game plan yake ikifeli huoni mabadiliko ya kimbinu anayoyafanya...
Substitution zake hazina manufaa na still bdo anazid kubeba watu ambao hawabebeki km kina antony...
Antony anaicost timu kwakua hachez kitimu anataka kufanya vitu ving kwa wakt mmoja kufurahisha jukwaa...
Mechi ha chelsea lazma tuangushe tena point na top four tushaikosa mpk sasa



, kina Degea ,Fred , n.k