Jackwillpower
JF-Expert Member
- Oct 4, 2017
- 2,539
- 3,860
Wolves sio wepes hapa drawRelax Jombaa Top 4 hatuikosi.
Chelsea mna gemu nae ya 6 sijui hamumfungi akiwawekea kante kova pale Kati anawafungeni au draw
Fulham ,mitrovik atakuwa anarejea Kuna draw hapa au mkashinda pia
Bonamauthi huyu mtampiga
Top 4 ipo mashakani
, kina casemiro ,Eriksen watakaokuwa wamechoka sababu ya umri ,Degea atakayekuwa na mkataba 

