Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hili suala nmelizungumza kabla ya mechi kocha wetu hana plan b, game plan yake ikifeli huoni mabadiliko ya kimbinu anayoyafanya...

Substitution zake hazina manufaa na still bdo anazid kubeba watu ambao hawabebeki km kina antony...

Antony anaicost timu kwakua hachez kitimu anataka kufanya vitu ving kwa wakt mmoja kufurahisha jukwaa...

Mechi ha chelsea lazma tuangushe tena point na top four tushaikosa mpk sasa
Plan b inakuwepo kama una watu wa kukupa hiyo plan B kwrnye bench letu wapo hao ?
 
Timu nne tu zimetufunga goli 2 1 katika mechi nne round ya kwanza lazima GD isingekaa sawa. Overall tumecheza msimu mzima bila striker na timu yetu haicontrol games magoli tunapata ya sandakalawe hiyo goal difference itapenda vipi ?
Kuna tatizo ambalo linafumbiwa macho na halisemwi kabisa UWEZO WA KOCHA
Pamoja na kusema wachezaji wa man u wabovu bado Kuna talent mule kibao , kwa mpira wakuanzia chini bado Kuna wachezaji Kama Shaw ,Lindelof , bado Sancho Ni talent ,ile bajeti angenunua kipa walau angekuwa na Msingi wa anachokitengeneza
Naamini mwisho mashabiki watahoji uwezo wake
EPL Sasa bilia points 90+ hugombei ubingwa
 
Utaonekana mbaya ila mechi nyingi Ni good form ya Rashford ndio imemfichia madhaifu kocha wenu
Mashabiki wa Manchester wanajiuliza Kama anapenda mpira wakuanzia nyuma why asijaribu kwa makipa walio benchi? Ni muoga

Kwanini anahangaika kumbakisha Degea ambaye Ni sehemu ya tatizo katika timu
Magolikipa wapi walioko benchi ?
 
Mimi mpaka muda huu naona kazi kubwa aliyoifanya Jasusi 7Hag tokea ametua Manchester ni kumfurumusha Cristiano Ronaldo tu.
Hivi huyu jasusi wetu kila akiuangalia ule upara wa Pep hua anajisikiaje???
Tunamuomba kuanzia msimu ujao awe anavaa wigi tu maana kwa mpira huu na matokeo haya hana sababu yoyote ya msingi ya kutumalizia nishati ya jua kwenye hio solar panel yake isiyotunza chaji.
Duuh una matusi ya Kipumbavu kwenye Jukwaa la Timu kubwa Arsenal kumbe unatia huruma na Timu yenu ya Manyumbu??
 
Kuna tatizo ambalo linafumbiwa macho na halisemwi kabisa UWEZO WA KOCHA
Pamoja na kusema wachezaji wa man u wabovu bado Kuna talent mule kibao , kwa mpira wakuanzia chini bado Kuna wachezaji Kama Shaw ,Lindelof , bado Sancho Ni talent ,ile bajeti angenunua kipa walau angekuwa na Msingi wa anachokitengeneza
Naamini mwisho mashabiki watahoji uwezo wake
EPL Sasa bilia points 90+ hugombei ubingwa
Anakwenda msimu wake wa pili sasa..huo ndio tutamhukumu uwezo wake vizuri..

Swala la hakupewa targets zake litakosa nguvu kiasi..uza nunua ama boresha kilichopo..au omba kulinda Wasifu kwa matumizi ya baadae..
 
Kuna tatizo ambalo linafumbiwa macho na halisemwi kabisa UWEZO WA KOCHA
Pamoja na kusema wachezaji wa man u wabovu bado Kuna talent mule kibao , kwa mpira wakuanzia chini bado Kuna wachezaji Kama Shaw ,Lindelof , bado Sancho Ni talent ,ile bajeti angenunua kipa walau angekuwa na Msingi wa anachokitengeneza
Naamini mwisho mashabiki watahoji uwezo wake
EPL Sasa bilia points 90+ hugombei ubingwa
Kocha ni mzuri tu ila ana kundi kubwa la wachezaji ambao hawajitumi uwanjani. Period.
 
Mmemkumbuka bwana hamis

7 hag anatengeneza Project

Casemiro miaka 31

Eriksen miaka 32

Anthony kupigwa kwa €100m

Degea kuongezewa mkataba mrefu

Malacia Average player

PROJECT UCHWARA HII
 
Anakwenda msimu wake wa pili sasa..huo ndio tutamhukumu uwezo wake vizuri..

Swala la hakupewa targets zake litakosa nguvu kiasi..uza nunua ama boresha kilichopo..au omba kulinda Wasifu kwa matumizi ya baadae..
Dalili ya mvua Ni mawingu

Kitendo cha kuwaongezea na kuwapambania wabaki wachezaji Kama Degea inaonesha kabisa Nini kinakuja mbele nikionacho anaenda kumuachia mzigo mzito Sana atakayeichukua timu baada yake Kama na yeye alivyoachiwa kazi ya kuondoa mizigo
Kocha ajaye atatakiwa kuwaondoa Anthony wa , kina Degea ,Fred , n.k
 
Mashabiki wa Arsenal mna muandama sana ten Hag..

Ni kweli hayupo daraja moja na kina Pep, Carlo, Jurgen and co..

Lakini ni kocha mzuri kijana anaeibukia..

Manchester United ni timu kubwa na matatizo yake ni makubwa,, ikiwa ni yeye basi itahitaji muda kupata timu nzuri..hii itaambatana na back up ya wamiliki na uongozi kama watabadilika.. bila hivyo nae atafeli na mduara utaendelea..

Chelsea wamekuwa wakipata makombe kwa njia ya kushtukiza.. fukuza huyu, leta yule, weka hamasa mpya, chukua kombe, mduara unaendelea..

Ten Hag bado ni kocha kijana anajifunza.. tunamtakia mabadiliko ya haraka..

Kosa ni kwamba timu aliyopo ina kisuli suli..wala sio uwezo kuwa mdogo..

Kipanga wa UDSM kapekekwa MASSACHUSETTS
 
Dalili ya mvua Ni mawingu

Kitendo cha kuwaongezea na kuwapambania wabaki wachezaji Kama Degea inaonesha kabisa Nini kinakuja mbele nikionacho anaenda kumuachia mzigo mzito Sana atakayeichukua timu baada yake Kama na yeye alivyoachiwa kazi ya kuondoa mizigo
Kocha ajaye atatakiwa kuwaondoa Anthony wa , kina Degea ,Fred , n.k
Pengine ashaona ubovu wa management (hawapo serious).

Bora kufa na tai kulinda Kibarua chako kulko kujikuta Ranginick..dunia ya watu hii..ajira ngumu
 
1683495338083.png
 
Mi nilishawahi kuuliza hapa accuracy ya anthony iko wapi maana pass butu vishuti uchwara etc
Anakera sn kila shuti analopiga anataka azungushe/apige ndizi.. kuna move za counter nyng anaziua unakuta anapewa mpira tupo kwny counter anatulia kumsubir adui aje ampige chenga
 
Tatizo la hii timu sio kocha wala wamiliki au bodi ya timu , shida kubwa ya hii timu ni machawa , timu ina machawa na wajuaji wengi Sana , nikikumbuka hao madogo akina rashford na machawa wao walivyomsagia kunguni Ronaldo mpak akasepa daah nouma Sana , bahati mbaya kocha Naye kaingia kwenye mtego huo , ni ngumu kufanya maamuz sasa, wachezaji wabovu Ila Wana machawa Hatare,

Kama huku bongo Tu machawa wa Man u ni nouma sembuse pale OT
 
Back
Top Bottom