Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Timu kama Madrid ipo juu kwenye soka Ulaya na Duniani kwa kufanya kazi bila kuangaliana usoni.

Unalipwa ufanye kazi ya watu kama kazi nyingine tu na siyo mchezo.

Hilo limewasaidia Madrid wachezaji wao wakongwe kuishi ktk misingi hiyo hata hawa madogo wakienda wanakuta ni kazikazi.

United alipoondoka SAF aliondoka na nguvu na ushawishi wake, kizazi cha wakina Rashford na Lingard kikakutana na mhuni kama Rooney (heshima kwake legend).

Sasa hivi timu imejaa mabishoo tu. Sancho, Rashford, Garnacho, Antony. Wakija madogo wengine nao wanakuta Carrington ni sehemu ya kula bata tu.
Real Madrid kwangu mimi ndio timu pekee inayoweza sajili jina na likazaa matunda..

Mchezaji kama Pogba Pale Madrid wala asingekuwa anaongea shit..

Ibebe timu, ikubebe..

Imagine waliachana na Ronaldo ambaye bado alibeba kiatu Serie A..

Sancho tumefukuzia miaka miwili..
Anthony tumelipa €100

Then eti anacheza show off..

Nakumbuka Man City Vs nimesahau,,
Walikuwa wakiongoza magoli mengi sana, ikapatikana penalty..
Ederson akataka kwenda kuipiga ili nae aingie kwenye vitabu vya wafungaji..
Pep alikataa huo ushenzi..
Nidhamu kwa na heshima kwa mpinzani iwepo haijalishi unaongoza ngapi wala ni dakika ya ngapi..
 
Timu kama Madrid ipo juu kwenye soka Ulaya na Duniani kwa kufanya kazi bila kuangaliana usoni.

Unalipwa ufanye kazi ya watu kama kazi nyingine tu na siyo mchezo.

Hilo limewasaidia Madrid wachezaji wao wakongwe kuishi ktk misingi hiyo hata hawa madogo wakienda wanakuta ni kazikazi.

United alipoondoka SAF aliondoka na nguvu na ushawishi wake, kizazi cha wakina Rashford na Lingard kikakutana na mhuni kama Rooney (heshima kwake legend).

Sasa hivi timu imejaa mabishoo tu. Sancho, Rashford, Garnacho, Antony. Wakija madogo wengine nao wanakuta Carrington ni sehemu ya kula bata tu.
Ni bahati tu wote Chelsea, Tottenham, na Liverpool wapo vibaya..

Haijalishi form ya Rashy wala uwezo wa Casi..
Ni dhahiri EtH angekuwa kwenye red zone..
 
ETH anaweza vizur sana kama akipata nguvu ya wamiliki Pep mwenyewe hatoboi na wakina Martial mpe heshima ETH

Chaguo la kwanza kabla hajaja lilikuwa Frenkie De Jong ma boss wa wa hii timu waliishia kupiga soga tu sajili zilizokamilika zilikuwa zimebak siku mbili au moja dirisha kufungwa ina maana pre season kocha hakupata machaguo yake mfumo ushaanguka hapo

Pep msimu wa kwanza alipigania top 4 tena city imetimia haswaa kuna David silva, Kdb,Kun Aguero ,Yaya Toure , Raheem Sterling ,Kompany & Fernandinho tena hao ni top player ambao united hamna hata mmoja mwenye uwezo huo kwa kipind kile hivyo bas kapata nguvu ya wamiliki yupo pale

Mwez wa kwanza aliomba striker wakat Martial kaumia hakupata ikabidi kocha aangalie option nyingine ya mkopo wa Wout Weghorst

Eriksen anaumia wanampa mkopo wa Marcel Sabitzer timu gani iliyo serious na mashindano wanafanya huo upuuzi? Manchestet united inang'ang'ana na mikopo tena iliyojifia

Mwezi wa kwanza kulitakiwa kununuliwa striker kisha mwez wa 6 anaongezwa mshambuliaji mwingine sasa mwez wa 6 anaweza kununuliwa mshambuliaji mmoja tu akiumia timu inarudi kwa sancho,rashfotd na martial + antony kocha gan anatoboa?

Pep anamuachia Jesus anamchukua halland

Manchester united wanamuachia Ronaldo wanamchukua Wout Weghorst

Huyo Pep anatoboa?

Kinachotokea sasa ndio makocha wote wazur walikipata chini ya wamiliki wa hii timu

Mourinho alilalamika sana kuhusu usajili kuna watu humu walimponda sana mourinho ila alikuwa sahihi leo tunaona kwa Martial kinachotokea

Wao wanaangalia nani anauza jez sio nani anapiga kazi

Solskjaer alitaka kumsajili Moises Caicedo kwa £4.5 Mwez 12 mwaka 2020 waligoma wakasema hela ni nyingi sasa uliza bei yake na hii kutokana na kutokuwa na jina kipind kile biashara isingeenda kwenye jez


Mpe heshim ETH hata Pep hatoboi chini ya uongozi wa hii timu.
Ole aliwadokeza United kuhusu kumsajili Haaland kipindi bado yupo Molde, akampeleka Bellingham mpaka Carrington ktk harakati za kumsajili, akamtaka Caicedo, Camavinga, Alvarez.

United imefeli pakubwa sana.
20230506_202204.jpg
 
Real Madrid kwangu mimi ndio timu pekee inayoweza sajili jina na likazaa matunda..

Mchezaji kama Pogba Pale Madrid wala asingekuwa anaongea shit..

Ibebe timu, ikubebe..

Imagine waliachana na Ronaldo ambaye bado alibeba kiatu Serie A..

Sancho tumefukuzia miaka miwili..
Anthony tumelipa €100

Then eti anacheza show off..

Nakumbuka Man City Vs nimesahau,,
Walikuwa wakiongoza magoli mengi sana, ikapatikana penalty..
Ederson akataka kwenda kuipiga ili nae aingie kwenye vitabu vya wafungaji..
Pep alikataa huo ushenzi..
Nidhamu kwa na heshima kwa mpinzani iwepo haijalishi unaongoza ngapi wala ni dakika ya ngapi..
20230506_210134.jpg

Kocha wako Pep huyo. 😂 Huyu jamaa ana mentality ya ushindi, kaongea kitu kikubwa sana. Unaona nafasi waliyopata Gundo kaipoteza na mechi ikaisha 2-1 ni kwasababu tu City wapo vizuri defensively.

Sasa rejea mechi ya United na Sevilla wakati tunaongoza 2-0 wachezaji wakawa hawatumii nafasi vizuri kwa uchoyo na ubinafsi matokeo yake dk ya 80 watu wanajua mechi imeisha, mpira unaisha 2-2.
 
View attachment 2612441
Kocha wako Pep huyo. Huyu jamaa ana mentality ya ushindi, kaongea kitu kikubwa sana. Unaona nafasi waliyopata Gundo kaipoteza na mechi ikaisha 2-1 ni kwasababu tu City wapo vizuri defensively.

Sasa rejea mechi ya United na Sevilla wakati tunaongoza 2-0 wachezaji wakawa hawatumii nafasi vizuri kwa uchoyo na ubinafsi matokeo yake dk ya 80 watu wanajua mechi imeisha, mpira unaisha 2-2.
mentality za kibingwa..

Mpe heshima mpinzani wako..

Sisi tukaleta mizaha Anfield ambako SAF anakiri ni kiwanja ambacho viti vyake alikuwa akihisi vinawaka moto..


Kwa ufupi EtH namkubali kama kocha anaeibukia ila awe makini sana na project yake.. alete wachezaji wenye maturity kama Lisandro..hawa wazee wa Spin watamwoteshea majani Kibaruani..

Miaka 21 anaitwa mtoto..

Kina Rooney wame-battle wakiwa na umri gani?
Halland ana umri gani?
ÇR7 na Leo wamebeba tuzo wakiwa na umri gani?

Rash eti bado anakua
Antony bado
Sancho bado mtoto..

Jude kakomaa?
 
Sir Jim Ratcliffe is proposing a deal that would force the Glazers’ exit after three years should he win the battle for control at #mufc, it has emerged.

James Ducker
 
huyu mpumbavu anachosha wenzake
DEJAN7
De Gea amechangia kutufungisha mechi nyingi sana.

Mechi iliyoniumiza sana msimu huu ni mechi ya Tottenham huwezi kucheza vile katika Premier League.

Kuna makosa mengi sana yanayotokana kubutua mpira hovyo muda wote tunakuwa hatuna mpira kwa sababu ya upuuzi wake.
 
Wakati 10Hag anawasili alikuwa anasisitiza kumiliki mchezo kuliko mpinzani,lakini cha ajabu karibu game zote hasa kipindi cha pili wapinzani wamekuwa wakimiliki wao mchezo na sisi tumekuwa wahangaikaji tu. Hii inaashiria kwamba bado mwalimu hajafikia pale anapotaka timu iwe labda kwa kukosa wachezaji sahihi au mbinu zake hazijakaa vizuri kwenye mafuvu ya wachezaji waliopo.

Bado nina imani na huyu kipara wetu.
Ni kukosa wachezaji sahihi timu nzima wachezaji hawawezi kupiga pass complete hata tatu tu.

Golikipa mwenyewe butuabutua
 
Licha ya form mbovu waliyoionyesha msimu huu, kuna uwezekano wa liverpool kushinda mechi zake zote za viporo alizocheza.

Upande wa manchester united hakuna hata mechi moja ya kiporo aliofanikiwa kupata alama 3.

Leeds united - draw
Crystal palace - draw
Brighton - lose
Tottenham - draw

Hii ndio tofauti yetu na wao na hata manchester city, mechi za kutusogeza mbele tumeshindwa kuzitumia vyema.

Kuna nyakati tulipitwa alama 8 dhidi ya manchester city huku tukiwa na mechi moja pungufu zaidi yao...

Tukatoa suluhu dakika ya mwisho dhidi ya crystal palace.

Mechi inayofuata tukadhalilishwa dhidi ya arsenal kimpira

Mechi ya leeds tukiwa nyumbani nayo ikatishinda.


Nyumbu ni wajinga sana
 
De Gea amechangia kutufungisha mechi nyingi sana.

Mechi iliyoniumiza sana msimu huu ni mechi ya Tottenham huwezi kucheza vile katika Premier League.

Kuna makosa mengi sana yanayotokana kubutua mpira hovyo muda wote tunakuwa hatuna mpira kwa sababu ya upuuzi wake.
Ukiangalia kwa umakini hizo clips za mechi mbili tofauti utagundua kila mechi alipiga takribani goal kick 10 au zaidi zisizofikia walengwa.

Huyu ni kipa wa brighton hapo juzi dhidi yetu
1683409403038.png
 
Hii timu ina ujinga sana. Sasa hivi Rashford anapewa mkataba mpya kwa ile performance na yeye atataka £300k.

Garnacho katoka £7k mpaka £50k per week. Mitoma huko Brighton anachukua £20k.

Martial anachukua £250k 😂
Screenshot_20230507-064510_Brave.jpg
 
Back
Top Bottom