Jackwillpower
JF-Expert Member
- Oct 4, 2017
- 2,539
- 3,860
Dirisha la usajili itakuwa vita ya Bayern na United.Kama ana misimu 2 ilitakiwa aende timu ambayo ina msingi tayari.
Hii yenu inayosema inajijenga itamuona mchawi
Kwanini mnamtoa Newcastle? Yeye hawezi kutoa draw au kufungwa angalau moja kati ya hizi?Liverpool ana points 59 na amebakiza mechi 4, kama atashinda zote atamaliza ligi na points 71.
Man Utd ana points 63 na amebakiza mechi 5, katika hizo mechi 5 kama atashinda mechi 3 atamaliza ligi na jumla ya points 72.
Je Liverpool ataweza kushinda mechi zote 4 zilizosalia na Man Utd atashindwa kupata points 9 katika mechi 5 zilizosalia?
Kwenye Soka lolote linawezekana, tusubiri ligi iishe tuanze kuchekana.
Sio mechi moja tu anaweza fungwa hata mechi 2 kati ya hizo, ila yeye tunamtoa kwa sababu walau anaonyesha yupo serious kidogo sio kama sisi wazee wa maji kupwaaa maji kujaaa.Kwanini mnamtoa Newcastle? Yeye hawezi kutoa draw au kufungwa angalau moja kati ya hizi?
1. Vs Arsenal (Home)
2. Vs Leeds (Away)
3. Vs Brighton (Home)
4. Vs Leicester (Away)
5. Vs Chelsea (Home)
Mimi swala la Top 4 sina wasiwasi nalo kabisa labda mpira unishangaze tu.
Kwani sio mchezaji wa man u?Pia nimejiuliza hili swali kwanini anaingia weghost sijapata jibu.
Hii mikimbio yake ilikuwa na manufaa kabla hawajamstukia kuwa hata ukimuachia yeye na goli anakosa,hivyo siku hizi mabeki hawashughuliki naye wanawakaba wachezaji wanaoweza kufunga tu.
Mbona umemsahau Rashford mkuu?Ten hag anapaswa awe na roho ngumu kuleta mataji United.
1. Ajenge morali ya dak 90
2. Nidhamu na ushirikiano kwa wachezaji ndani ya pitch iko Wazi ndani ya box kila mchezaji anataka afunge yeye hasa forward zetu ( martial, rash, na anthony)
3. Asajili wachezaji wafia timu, napendekeza wenye sifa aina ya i) KANE, ii) DE JONG, iii) CHIESA, iv) FIRMPONG na CB na middle no# 10 mmoja...kwa msimu huu kaonyesha mwanga kwa tactics zake na baadhi ya sajili nzur hii ni optimistic about the future....binafsi namuunga mkono na nataka awe serious na kazi tunamtengemea.
NB: awatoe martial, Maguire, elanga, fred, woughost. All the best. GGMU
Hastahili hata kuwa benchi la simba fcKwani sio mchezaji wa man u?
Hyo namba mbili ni tatizo kubwa mno , solution yake ondoa wote wenye majina leta madogo kama Mitoma , alaf ndo ulete striker finisher kama Kane ndo utaona matokeo , Ila hao selfish waliopo Huyo Kane ni Nani boya atakuwa anamlisha afunge yeye alaf wao wasionekane kitu ambacho Ronaldo mwenyewe kilimshinda sababu ya majungu ya hao madogo , kama Kane akija akifikisha magoli 15 kwenye ligi basi ni mwanaume , Antony , Rashford , Sancho , Martial etc wote wanataka wafungeTen hag anapaswa awe na roho ngumu kuleta mataji United.
1. Ajenge morali ya dak 90
2. Nidhamu na ushirikiano kwa wachezaji ndani ya pitch iko Wazi ndani ya box kila mchezaji anataka afunge yeye hasa forward zetu ( martial, rash, na anthony)
3. Asajili wachezaji wafia timu, napendekeza wenye sifa aina ya i) KANE, ii) DE JONG, iii) CHIESA, iv) FIRMPONG na CB na middle no# 10 mmoja...kwa msimu huu kaonyesha mwanga kwa tactics zake na baadhi ya sajili nzur hii ni optimistic about the future....binafsi namuunga mkono na nataka awe serious na kazi tunamtengemea.
NB: awatoe martial, Maguire, elanga, fred, woughost. All the best. GGMU
7 hag kaonesha mwanga gan ambao waliopita hawakuonesha?Ten hag anapaswa awe na roho ngumu kuleta mataji United.
1. Ajenge morali ya dak 90
2. Nidhamu na ushirikiano kwa wachezaji ndani ya pitch iko Wazi ndani ya box kila mchezaji anataka afunge yeye hasa forward zetu ( martial, rash, na anthony)
3. Asajili wachezaji wafia timu, napendekeza wenye sifa aina ya i) KANE, ii) DE JONG, iii) CHIESA, iv) FIRMPONG na CB na middle no# 10 mmoja...kwa msimu huu kaonyesha mwanga kwa tactics zake na baadhi ya sajili nzur hii ni optimistic about the future....binafsi namuunga mkono na nataka awe serious na kazi tunamtengemea.
NB: awatoe martial, Maguire, elanga, fred, woughost. All the best. GGMU
Hapo kwa Kane naomba niendelee kumkataa kwa nguvu zangu zote.Ten hag anapaswa awe na roho ngumu kuleta mataji United.
1. Ajenge morali ya dak 90
2. Nidhamu na ushirikiano kwa wachezaji ndani ya pitch iko Wazi ndani ya box kila mchezaji anataka afunge yeye hasa forward zetu ( martial, rash, na anthony)
3. Asajili wachezaji wafia timu, napendekeza wenye sifa aina ya i) KANE, ii) DE JONG, iii) CHIESA, iv) FIRMPONG na CB na middle no# 10 mmoja...kwa msimu huu kaonyesha mwanga kwa tactics zake na baadhi ya sajili nzur hii ni optimistic about the future....binafsi namuunga mkono na nataka awe serious na kazi tunamtengemea.
NB: awatoe martial, Maguire, elanga, fred, woughost. All the best. GGMU
Pep msimu wake wa kwanza alifanya nini City?Kibarua cha Kuirejesha Manchester United juu kimekuwa kigumu sana..
naweka akiba ya maneno ila..Only Pep Can Do That..
Our Ten Hag tutamuonea tu..
huwezi beba ubingwa wa EPL na wachezaji dizaini ya Sancho, Rashford, Antony, and co..
Manchester United inahitaji 5 Worldie kubeba EPL..as of now ni Only Casimiro..ndie World Class Player..
yule bwana hamis77 huwa tunamuona snitch ila kiuhalisia yupo sahihi..
Imagine Manchester United wame spend karibu £250M.. ila mpira bado hauna uelekeo..
Mchukue Rashford mpeleke Real Madrid, Bayern Munich, Manchester City, PSG, tuone atamweka nani benchi?
Safari bado ni ndefu..tuwe na subira..ingawa bila watu sahihi wa usajili safari ni ndefu zaidi..
Hii project inabidi United wacheze kamari tu kwa kusajili talents zisizo na majina maana kwa hali ilivyo budget yote itaishia kwa wachezaji wawili tu. Kane & De Jong/Caicedo ni £170m tayari.Hapo kwa Kane naomba niendelee kumkataa kwa nguvu zangu zote.
Mosi,Manchester ni Team inayojijenga,yaweza chukua miaka 2 tena tuweze kukaa katika nafasi yetu ya mwanzo (Enzi za Sir Alex).Kane anatakiwa kwenda team kama City au PSG huku kwetu tunamtafutia lawama bure.
Pili,Winger zetu zote ni self sana,sijui wakati wa usajili walifikiri nini ?.
Tatu Man inahitaji wachezaji wasiopungua watano watakaoingia moja kwa moja kikosi cha kwanza (first eleven).Ukimnunua Kane unaweza kutumia 110 hadi 130 Million hii itapunguza budget yetu na hivyo kuathiri maeneo mengine muhimu kama mlinzi wa kati,kulia,kiungo na mshambuliaji wa kulia.
Mwisho lazima mtambue wachezaji wa kiingereza wanauzwa ghali sana.Kane angekuwa Mdachi au mfaransa bei angeuzwa 30 or 40 million only.Mchezaji kama Erickson,Casemiro,Varane ni 30 or 32 hawa wapo katika kumalizia mpira wao wa kiwango cha kabla hawajatimkia Italy or USA.Varane ni mchezaji wa kiwango cha juu lakini muda mwingi anakuwa nje ya uwanja kwasababu majerui sasa hii imesababusha tatizo kubwa upande wa ulinzi.Wakati tunaka yule kubwajinga aondoke lakini pia majeruhi wa mara kwa mara waondoke pia.