Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Liverpool ana points 59 na amebakiza mechi 4, kama atashinda zote atamaliza ligi na points 71.
Man Utd ana points 63 na amebakiza mechi 5, katika hizo mechi 5 kama atashinda mechi 3 atamaliza ligi na jumla ya points 72.
Je Liverpool ataweza kushinda mechi zote 4 zilizosalia na Man Utd atashindwa kupata points 9 katika mechi 5 zilizosalia?
Kwenye Soka lolote linawezekana, tusubiri ligi iishe tuanze kuchekana.
Kwanini mnamtoa Newcastle? Yeye hawezi kutoa draw au kufungwa angalau moja kati ya hizi?

1. Vs Arsenal (Home)
2. Vs Leeds (Away)
3. Vs Brighton (Home)
4. Vs Leicester (Away)
5. Vs Chelsea (Home)

Mimi swala la Top 4 sina wasiwasi nalo kabisa labda mpira unishangaze tu.
 
Kwanini mnamtoa Newcastle? Yeye hawezi kutoa draw au kufungwa angalau moja kati ya hizi?

1. Vs Arsenal (Home)
2. Vs Leeds (Away)
3. Vs Brighton (Home)
4. Vs Leicester (Away)
5. Vs Chelsea (Home)

Mimi swala la Top 4 sina wasiwasi nalo kabisa labda mpira unishangaze tu.
Sio mechi moja tu anaweza fungwa hata mechi 2 kati ya hizo, ila yeye tunamtoa kwa sababu walau anaonyesha yupo serious kidogo sio kama sisi wazee wa maji kupwaaa maji kujaaa.
Ukiangalia hata last 3game results unamuona Newcastle ameikamia top 4 tofauti na Utd yetu.
Screenshot_20230505_113904.jpg
Screenshot_20230505_113930.jpg
 
Ten hag anapaswa awe na roho ngumu kuleta mataji United.
1. Ajenge morali ya dak 90
2. Nidhamu na ushirikiano kwa wachezaji ndani ya pitch iko Wazi ndani ya box kila mchezaji anataka afunge yeye hasa forward zetu ( martial, rash, na anthony)
3. Asajili wachezaji wafia timu, napendekeza wenye sifa aina ya i) KANE, ii) DE JONG, iii) CHIESA, iv) FIRMPONG na CB na middle no# 10 mmoja...kwa msimu huu kaonyesha mwanga kwa tactics zake na baadhi ya sajili nzur hii ni optimistic about the future....binafsi namuunga mkono na nataka awe serious na kazi tunamtengemea.
NB: awatoe martial, Maguire, elanga, fred, woughost. All the best. GGMU
 
Ten hag anapaswa awe na roho ngumu kuleta mataji United.
1. Ajenge morali ya dak 90
2. Nidhamu na ushirikiano kwa wachezaji ndani ya pitch iko Wazi ndani ya box kila mchezaji anataka afunge yeye hasa forward zetu ( martial, rash, na anthony)
3. Asajili wachezaji wafia timu, napendekeza wenye sifa aina ya i) KANE, ii) DE JONG, iii) CHIESA, iv) FIRMPONG na CB na middle no# 10 mmoja...kwa msimu huu kaonyesha mwanga kwa tactics zake na baadhi ya sajili nzur hii ni optimistic about the future....binafsi namuunga mkono na nataka awe serious na kazi tunamtengemea.
NB: awatoe martial, Maguire, elanga, fred, woughost. All the best. GGMU
Mbona umemsahau Rashford mkuu?
 
Ten hag anapaswa awe na roho ngumu kuleta mataji United.
1. Ajenge morali ya dak 90
2. Nidhamu na ushirikiano kwa wachezaji ndani ya pitch iko Wazi ndani ya box kila mchezaji anataka afunge yeye hasa forward zetu ( martial, rash, na anthony)
3. Asajili wachezaji wafia timu, napendekeza wenye sifa aina ya i) KANE, ii) DE JONG, iii) CHIESA, iv) FIRMPONG na CB na middle no# 10 mmoja...kwa msimu huu kaonyesha mwanga kwa tactics zake na baadhi ya sajili nzur hii ni optimistic about the future....binafsi namuunga mkono na nataka awe serious na kazi tunamtengemea.
NB: awatoe martial, Maguire, elanga, fred, woughost. All the best. GGMU
Hyo namba mbili ni tatizo kubwa mno , solution yake ondoa wote wenye majina leta madogo kama Mitoma , alaf ndo ulete striker finisher kama Kane ndo utaona matokeo , Ila hao selfish waliopo Huyo Kane ni Nani boya atakuwa anamlisha afunge yeye alaf wao wasionekane kitu ambacho Ronaldo mwenyewe kilimshinda sababu ya majungu ya hao madogo , kama Kane akija akifikisha magoli 15 kwenye ligi basi ni mwanaume , Antony , Rashford , Sancho , Martial etc wote wanataka wafunge
 
Kibarua cha Kuirejesha Manchester United juu kimekuwa kigumu sana..

naweka akiba ya maneno ila..Only Pep Can Do That..

Our Ten Hag tutamuonea tu..

huwezi beba ubingwa wa EPL na wachezaji dizaini ya Sancho, Rashford, Antony, and co..

Manchester United inahitaji 5 Worldie kubeba EPL..as of now ni Only Casimiro..ndie World Class Player..


yule bwana hamis77 huwa tunamuona snitch ila kiuhalisia yupo sahihi..

Imagine Manchester United wame spend karibu £250M.. ila mpira bado hauna uelekeo..

Mchukue Rashford mpeleke Real Madrid, Bayern Munich, Manchester City, PSG, tuone atamweka nani benchi?

Safari bado ni ndefu..tuwe na subira..ingawa bila watu sahihi wa usajili safari ni ndefu zaidi..
 
Ten hag anapaswa awe na roho ngumu kuleta mataji United.
1. Ajenge morali ya dak 90
2. Nidhamu na ushirikiano kwa wachezaji ndani ya pitch iko Wazi ndani ya box kila mchezaji anataka afunge yeye hasa forward zetu ( martial, rash, na anthony)
3. Asajili wachezaji wafia timu, napendekeza wenye sifa aina ya i) KANE, ii) DE JONG, iii) CHIESA, iv) FIRMPONG na CB na middle no# 10 mmoja...kwa msimu huu kaonyesha mwanga kwa tactics zake na baadhi ya sajili nzur hii ni optimistic about the future....binafsi namuunga mkono na nataka awe serious na kazi tunamtengemea.
NB: awatoe martial, Maguire, elanga, fred, woughost. All the best. GGMU
7 hag kaonesha mwanga gan ambao waliopita hawakuonesha?

Katika sajili zake Ni zipi unaweza kusema zimelipa ukimtoa Martinez?
Casemiro na Eriksen usiwahesabie hao Ni wazee ,Kama Eriksen hata dk 90 hawez kumaliza, casemiro tumeona alivyochoka had Sasa
 
Ten hag anapaswa awe na roho ngumu kuleta mataji United.
1. Ajenge morali ya dak 90
2. Nidhamu na ushirikiano kwa wachezaji ndani ya pitch iko Wazi ndani ya box kila mchezaji anataka afunge yeye hasa forward zetu ( martial, rash, na anthony)
3. Asajili wachezaji wafia timu, napendekeza wenye sifa aina ya i) KANE, ii) DE JONG, iii) CHIESA, iv) FIRMPONG na CB na middle no# 10 mmoja...kwa msimu huu kaonyesha mwanga kwa tactics zake na baadhi ya sajili nzur hii ni optimistic about the future....binafsi namuunga mkono na nataka awe serious na kazi tunamtengemea.
NB: awatoe martial, Maguire, elanga, fred, woughost. All the best. GGMU
Hapo kwa Kane naomba niendelee kumkataa kwa nguvu zangu zote.

Mosi,Manchester ni Team inayojijenga,yaweza chukua miaka 2 tena tuweze kukaa katika nafasi yetu ya mwanzo (Enzi za Sir Alex).Kane anatakiwa kwenda team kama City au PSG huku kwetu tunamtafutia lawama bure.

Pili,Winger zetu zote ni self sana,sijui wakati wa usajili walifikiri nini ?.

Tatu Man inahitaji wachezaji wasiopungua watano watakaoingia moja kwa moja kikosi cha kwanza (first eleven).Ukimnunua Kane unaweza kutumia 110 hadi 130 Million hii itapunguza budget yetu na hivyo kuathiri maeneo mengine muhimu kama mlinzi wa kati,kulia,kiungo na mshambuliaji wa kulia.

Mwisho lazima mtambue wachezaji wa kiingereza wanauzwa ghali sana.Kane angekuwa Mdachi au mfaransa bei angeuzwa 30 or 40 million only.Mchezaji kama Erickson,Casemiro,Varane ni 30 or 32 hawa wapo katika kumalizia mpira wao wa kiwango cha kabla hawajatimkia Italy or USA.Varane ni mchezaji wa kiwango cha juu lakini muda mwingi anakuwa nje ya uwanja kwasababu majerui sasa hii imesababusha tatizo kubwa upande wa ulinzi.Wakati tunaka yule kubwajinga aondoke lakini pia majeruhi wa mara kwa mara waondoke pia.
 
Kibarua cha Kuirejesha Manchester United juu kimekuwa kigumu sana..

naweka akiba ya maneno ila..Only Pep Can Do That..

Our Ten Hag tutamuonea tu..

huwezi beba ubingwa wa EPL na wachezaji dizaini ya Sancho, Rashford, Antony, and co..

Manchester United inahitaji 5 Worldie kubeba EPL..as of now ni Only Casimiro..ndie World Class Player..


yule bwana hamis77 huwa tunamuona snitch ila kiuhalisia yupo sahihi..

Imagine Manchester United wame spend karibu £250M.. ila mpira bado hauna uelekeo..

Mchukue Rashford mpeleke Real Madrid, Bayern Munich, Manchester City, PSG, tuone atamweka nani benchi?

Safari bado ni ndefu..tuwe na subira..ingawa bila watu sahihi wa usajili safari ni ndefu zaidi..
Pep msimu wake wa kwanza alifanya nini City?

Wala huhitaji World class players kubeba EPL, unahitaji wachezaji sahihi tu. Wengi mnashindwa kuelewa United ina matatizo kwenye kila eneo: kuanzia GK, CB, RB, CM, ST.

Hata wakisajili hayo maeneo yote bado nafasi ya kubeba EPL msimu ujao ni ndogo sana, zaidi tutakuwa title contenders. Maana ndiyo kwanza kila usajili tunafanya kwa ajili ya first eleven na siyo squad depth.

Tumetumia £250m kuboresha maeneo kadhaa. Timu ni kiungo na hilo ni eneo United hatuna watu sahihi, hatuna striker, hatuna top quality CBs: ameumia Martinez na Varane tuna-drop points. Hatuna RB wa kuweza ku-link up na RW: ikumbukwe Sancho pale Dortmund alikuwa anacheza na Hakimi.

Ten Hag ni kocha anayeonyesha mwanga, kwanza kaleta ball-passing CB "Martinez" baada ya kipindi kirefu United tumepata DM "Casemiro" kamleta Antony na sasa anamtaka Frimpong ambaye sasa anacheza RW ila yeye anataka amtumie kama RB ku-influence RWs zake.

Huwezi kucheza total football ukimtegemea De Gea "stopper" ambaye anashindwa kuanzisha mashambulizi na hawezi kumiliki eneo lake vizuri. De Gea ndiyo chanzo cha United kupoteza mipira kila muda anapopata anabutua, kipa wa Brighton (2nd GK) jana katoa somo.

Rashford, Sancho, Antony ni wachezaji wazuri sana tu, tukiboresha eneo la kiuongo kwa kumpata ball carrier "De Jong", ST, CB, RB, GK tutabadilika kiuchezaji.

Suala la ku-spend na kufanya vizuri havina uhusiano. Chelsea £600m imetumika na bado timu haina muunganiko.
 
EtH akipata kikosi kama hiki, lengo kuu msimu ujao inakuwa ni kubeba Champions League. Kwenye mbio ndefu za EPL unahitaji squad depth. UCL uwe na watu wa kazi tu na mbinu.

Mwarabu apewe timu. EtH niletee Harry Kane.
formation_05_05_2023_ 07_57_04.png
 
Hapo kwa Kane naomba niendelee kumkataa kwa nguvu zangu zote.

Mosi,Manchester ni Team inayojijenga,yaweza chukua miaka 2 tena tuweze kukaa katika nafasi yetu ya mwanzo (Enzi za Sir Alex).Kane anatakiwa kwenda team kama City au PSG huku kwetu tunamtafutia lawama bure.

Pili,Winger zetu zote ni self sana,sijui wakati wa usajili walifikiri nini ?.

Tatu Man inahitaji wachezaji wasiopungua watano watakaoingia moja kwa moja kikosi cha kwanza (first eleven).Ukimnunua Kane unaweza kutumia 110 hadi 130 Million hii itapunguza budget yetu na hivyo kuathiri maeneo mengine muhimu kama mlinzi wa kati,kulia,kiungo na mshambuliaji wa kulia.

Mwisho lazima mtambue wachezaji wa kiingereza wanauzwa ghali sana.Kane angekuwa Mdachi au mfaransa bei angeuzwa 30 or 40 million only.Mchezaji kama Erickson,Casemiro,Varane ni 30 or 32 hawa wapo katika kumalizia mpira wao wa kiwango cha kabla hawajatimkia Italy or USA.Varane ni mchezaji wa kiwango cha juu lakini muda mwingi anakuwa nje ya uwanja kwasababu majerui sasa hii imesababusha tatizo kubwa upande wa ulinzi.Wakati tunaka yule kubwajinga aondoke lakini pia majeruhi wa mara kwa mara waondoke pia.
Hii project inabidi United wacheze kamari tu kwa kusajili talents zisizo na majina maana kwa hali ilivyo budget yote itaishia kwa wachezaji wawili tu. Kane & De Jong/Caicedo ni £170m tayari.

Kama vipi striker wamchukue hata yule dogo Hojlund maana bila Mwarabu kupewa timu watu watakimbiana pale Carrington. 😁
 
Back
Top Bottom