Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,870
- 16,425
Pale kwa Fred hamna kitu mule, hata huo Ubrazil wake unatia mashaka mashaka, mpuuzi yule akitakata kwenye mechi moja lazima ataflop kwenye mechi 10 mfululizo zinazofata.Mashabiki wa man u huwa wananifurahisha Sana Fred aliperfome Sana hapo katikati game ya city na zingineakasifiwa sana kwamba hamna mbrazil mbovu Ona leo
![]()
Shida yake mpuuzi yule ni usharobaro kauweka mbele kuliko kucheza mpira, mimi binafsi naona angefaa zaidi kwenye muziki lakini sio kwenye soka.

