Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mashabiki wa man u huwa wananifurahisha Sana Fred aliperfome Sana hapo katikati game ya city na zingine akasifiwa sana kwamba hamna mbrazil mbovu Ona leo

Pale kwa Fred hamna kitu mule, hata huo Ubrazil wake unatia mashaka mashaka, mpuuzi yule akitakata kwenye mechi moja lazima ataflop kwenye mechi 10 mfululizo zinazofata.
Shida yake mpuuzi yule ni usharobaro kauweka mbele kuliko kucheza mpira, mimi binafsi naona angefaa zaidi kwenye muziki lakini sio kwenye soka.
Screenshot_20230505_082926.jpg
 
Pale kwa Fred hamna kitu mule, hata huo Ubrazil wake unatia mashaka mashaka, mpuuzi yule akitakata kwenye mechi moja lazima ataflop kwenye mechi 10 mfululizo zinazofata.
Shida yake mpuuzi yule ni usharobaro kauweka mbele kuliko kucheza mpira, mimi binafsi naona angefaa zaidi kwenye muziki lakini sio kwenye soka. View attachment 2610505
 
Mki bottle hii top 4 aisee mtakua wajinga Sana watu hawatoicheka liva ila nyie ombeni msi bottle
na kwa huu mwendo tunaoenda nao lolote tu linaweza tokea.
Kikubwa Liverpool muendelee kukakaza hivyohivyo msipoteze hata mechi moja kwenye hizo 4 zilizosalia huenda hii nafasi ikawa yenu.
Kwangu mimi binafsi ni bora tukaikosa hata Uefa kuliko zile Kima za Arteta kuchukua ubingwa msimu huu.
tapatalk_-1158663258_360x420.jpg
 
Ila mpira bwana

Ligi inaanza Arsenal mpango wake asiwe nje ya top four.

Nyumbu mpango ulikua asifungwe tena na Liva na awanie kombe.

Ligi ilipofikia nyumbu kapigwa 7 na Liva na anapambania top four
 
Huyu Mzee mnampeleka wap aisee? Kane ni selfish , pale Tottenham wanambeba Sana , pale United atakutana na selfish wengine akina rashford , martial , Antony , Sancho etc , Nani wa kuwa anampa pasi yeye Tu afunge sioni akitoboa
Kama tuna selfish wingers wakisajili goal poacher ndiyo itakuwa hatari zaidi.

Kane ndiyo complete striker bora duniani. Kigezo cha umri hakina tija, ana misimu 2-3 kukiwasha EPL.
 
Kama tuna selfish wingers wakisajili goal poacher ndiyo itakuwa hatari zaidi.

Kane ndiyo complete striker bora duniani. Kigezo cha umri hakina tija, ana misimu 2-3 kukiwasha EPL.
Kama ana misimu 2 ilitakiwa aende timu ambayo ina msingi tayari.

Hii yenu inayosema inajijenga itamuona mchawi
 
Liverpool ana points 59 na amebakiza mechi 4, kama atashinda zote atamaliza ligi na points 71.
Man Utd ana points 63 na amebakiza mechi 5, katika hizo mechi 5 kama atashinda mechi 3 atamaliza ligi na jumla ya points 72.
Je Liverpool ataweza kushinda mechi zote 4 zilizosalia na Man Utd atashindwa kupata points 9 katika mechi 5 zilizosalia?
Kwenye Soka lolote linawezekana, tusubiri ligi iishe tuanze kuchekana.
Kwanini mnamtoa Newcastle? Yeye hawezi kutoa draw au kufungwa angalau moja kati ya hizi?

1. Vs Arsenal (Home)
2. Vs Leeds (Away)
3. Vs Brighton (Home)
4. Vs Leicester (Away)
5. Vs Chelsea (Home)

Mimi swala la Top 4 sina wasiwasi nalo kabisa labda mpira unishangaze tu.
 
Kwanini mnamtoa Newcastle? Yeye hawezi kutoa draw au kufungwa angalau moja kati ya hizi?

1. Vs Arsenal (Home)
2. Vs Leeds (Away)
3. Vs Brighton (Home)
4. Vs Leicester (Away)
5. Vs Chelsea (Home)

Mimi swala la Top 4 sina wasiwasi nalo kabisa labda mpira unishangaze tu.
Sio mechi moja tu anaweza fungwa hata mechi 2 kati ya hizo, ila yeye tunamtoa kwa sababu walau anaonyesha yupo serious kidogo sio kama sisi wazee wa maji kupwaaa maji kujaaa.
Ukiangalia hata last 3game results unamuona Newcastle ameikamia top 4 tofauti na Utd yetu.
Screenshot_20230505_113904.jpg
Screenshot_20230505_113930.jpg
 
Ten hag anapaswa awe na roho ngumu kuleta mataji United.
1. Ajenge morali ya dak 90
2. Nidhamu na ushirikiano kwa wachezaji ndani ya pitch iko Wazi ndani ya box kila mchezaji anataka afunge yeye hasa forward zetu ( martial, rash, na anthony)
3. Asajili wachezaji wafia timu, napendekeza wenye sifa aina ya i) KANE, ii) DE JONG, iii) CHIESA, iv) FIRMPONG na CB na middle no# 10 mmoja...kwa msimu huu kaonyesha mwanga kwa tactics zake na baadhi ya sajili nzur hii ni optimistic about the future....binafsi namuunga mkono na nataka awe serious na kazi tunamtengemea.
NB: awatoe martial, Maguire, elanga, fred, woughost. All the best. GGMU
 
Ten hag anapaswa awe na roho ngumu kuleta mataji United.
1. Ajenge morali ya dak 90
2. Nidhamu na ushirikiano kwa wachezaji ndani ya pitch iko Wazi ndani ya box kila mchezaji anataka afunge yeye hasa forward zetu ( martial, rash, na anthony)
3. Asajili wachezaji wafia timu, napendekeza wenye sifa aina ya i) KANE, ii) DE JONG, iii) CHIESA, iv) FIRMPONG na CB na middle no# 10 mmoja...kwa msimu huu kaonyesha mwanga kwa tactics zake na baadhi ya sajili nzur hii ni optimistic about the future....binafsi namuunga mkono na nataka awe serious na kazi tunamtengemea.
NB: awatoe martial, Maguire, elanga, fred, woughost. All the best. GGMU
Mbona umemsahau Rashford mkuu?
 
Back
Top Bottom